Raia milioni moja wa Iran wabadili dini na kuwa wakristo

Kwani kusimama kwa serikali ya irani kunategemea dini au wahuni walitumia mwamvuli wa dini?
 
Sasa si umeshamkana mola kwa kumuita yesu mungu kwahiyo jina kafiri liko sehemu sahihi
 
Sasa si umeshamkana mola kwa kumuita yesu mungu kwahiyo jina kafiri liko sehemu sahihi
Utaokoka ukifa chuki inaonekana iko deep

we kwako kweli iko mbali naww mfupi
 
Hapa Rufiji, Kuwait fund wanaleta tende na Kujenga visima vya maji Safi. Takbiir
 
Yes peaceful coexistence nor matter what or else choose violence which is bad choice.
 
Nchi yenye nguvu zaidi Middle East or Arab World ni Saudi Arabia, na pia ndio nchi yenye uchumi mkubwa zaidi kuliko nchi nyingine yoyote ile ya ki-Arab hapa duniani. Aidha, Saudi Arabia ni rafiki mkubwa zaidi wa nchi ya Marekani.
Powerful ni relative term russia is military power vs china financial power ila usa has both.
 
Kafiri ni kwanyinyi mliofundishwa chuki
Kwa wakristu kafiri ni mtu ambae hana dini!
chuki inaua mkuu achana na hiyo chuki ya waarabu
FACT AND TRUTH, TRADE MARK YA QURAN ANAYO MWARABU, NA TRADE MARK YA BIBLIA ANAYO MZAYUNI, MNAGOMBANIA KITU GANI?
 
Kumbe iran ndo ina highest number of drugs addiction????
Kama vile Zanzibar walivojaan wa kina nani viileee.... 🀭🀭wenzie yule Askari ALIESHATAKIWA, akashinda... Na sheria ya Imani yao wameishika haswa.... 😁 😁 😁
 
Ayatoallah ni little usitishie watu hapa mna tabia ya kuabudu watu kweli ndo maana Mohamad licha ya ushetani wake wote aloutenda bado mnamwona ni mtume wa Mungu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…