Raia milioni moja wa Iran wabadili dini na kuwa wakristo

Raia milioni moja wa Iran wabadili dini na kuwa wakristo

Uislam siyo dini ya abraham
Mud hakuwa na konection yyte na abraham
Unabishana na Facts. Watanzania mpoje ?.
Rudi usome tena bado hujaelimika mambo ya dini. Huwezi hata kutumia tu google search ikupe majibu ?
Mnatia aibu sana.
Kukusaidia tu.
Abrahamic religions;
Uyahudi
Ukristo
Uislamu.
Kwa hio mkuu hujui kuwa Idd kubwa ni sherehe ya kumuenzi Ibrahimu ?
Ulifauluje huko shule ?
Hujui hata watu wanaozungumziwa ni wale wale ? Musa , Ibrahim , Isaka, Yakubu.
Ukiendelea kujibu ujinga sitakujibu chochote. .
 
Unabishana na Facts. Watanzania mpoje ?.
Rudi usome tena bado hujaelimika mambo ya dini. Huwezi hata kutumia tu google search ikupe majibu ?
Mnatia aibu sana.
Kukusaidia tu.
Abrahamic religions;
Uyahudi
Ukristo
Uislamu.
Kwa hio mkuu hujui kuwa Idd kubwa ni sherehe ya kumuenzi Ibrahimu ?
Ulifauluje huko shule ?
Hujui hata watu wanaozungumziwa ni wale wale ? Musa , Ibrahim , Isaka, Yakubu.
Ukiendelea kujibu ujinga sitakujibu chochote. .
mud alijipachika tu,,,inaeleweka.
Usijifanye mwerevu mkuu!! afu unaongea emotions.
Mud baada ya kuanzisha dini yake mecca akaona watu hawamfuati na kushindwa kupata wafuasi kwa miaka 12 akaenda miji ya wayahudi na kupachika historia na baadhi ya vitu vya torate lakini bado akaona wayahudi hawamsikilizi wala hapati wafuasi.
Ndipo chuki dhidi ya wayahudi ilipoanza na kuanzisha vifungu vya chuki na kuwaua waliokua hawatak kuamini .

Nadhan umeelewa sasa!!…..
 
◄ 2 Corinthians 4:4 ►
Audio Crossref Comment Greek
Verse (Click for Chapter)
New International Version
The god of this age has blinded the minds of unbelievers, so that they cannot see the light of the gospel that displays the glory of Christ, who is the image of God.
Bibilia inasema Mungu kawapofua akili wasio amini hizo bibilia zenu hahaha

Sa swali walio ziamini afu wakazikimbia na wao vipi. Afu huyo ni Mungu au ni Shetani ndio anapofua akili ili wasiamini, sidhani kama Mungu, huyo ni shetani tu.
 
◄ 2 Corinthians 4:4 ►
Audio Crossref Comment Greek
Verse (Click for Chapter)
New International Version
The god of this age has blinded the minds of unbelievers, so that they cannot see the light of the gospel that displays the glory of Christ, who is the image of God.
Bibilia inasema Mungu kawapofua akili wasio amini hizo bibilia zenu hahaha

Sa swali walio ziamini afu wakazikimbia na wao vipi. Afu huyo ni Mungu au ni Shetani ndio anapofua akili ili wasiamini, sidhani kama Mungu, huyo ni shetani tu.
Haya utachagua mwenyewe kati ya mungu anayetaka kupiganiwa na Mungu anaewapigania watu wake
 
Haya utachagua mwenyewe kati ya mungu anayetaka kupiganiwa na Mungu anaewapigania watu wake
Hivi kwanini wakristo wengi mnakuwaga watu wa kumezeshwa mistari flani na nyie mnabakia hapohapo kibubusa? Hii concept ya kuwa Mungu wa kiislamu anahitaji kupiganiwa mnadanganywa na nani? ... Mungu amewaruhusu waislamu wajihami pale wanapodhulumiwa. Haya mapigano yote ya waislamu mnayoyaona mshawahi kuona waislamu wanaenda kuwapiga watu katika nchi zao? wao wanapigana kwao katika ardhi zao kupinga dhuma walizokuja kufanyiwa kwao na hao ambao unadanganywa kuwa Mungu wao ndo anawapigania, ila kuna mtu akili kisoda kama wewe unadanganywa na wazungu kwa propaganda na wewe unajaa! ... yani jambazi kaja kwako na wewe unajitahidi kupambania familia yako lakini unaitwa wewe ndo mhalifu?????

Ikiwa kuna dini inampigania Mungu wake basi itakuwa ni Ukristo, ama hujui wewe kama vita vya msalaba vilivyo ongozwa na papa ndo inayoongoza kwa kufanya mauaji ya kikatili in the name of christian God katika historia? tena haikuwa vita ya kujihami bali ni offensive war!!!!

Kwanini mnakubali kuwa wajinga kiasi hiki lakini? yani ukweli upo wazi lakini mnakubali kufumba macho na kujiaminisha picha unayotengenezewa kwa kuambiwa ilhali ukifumbua macho ukweli wote upo uchi mbele yako???
 
siku nikisikia kichwa cha ayatoula kimeliwa itakuwa poa sana, badala ya kuwaza maendeleo ya nchi anawaza kujenga misikiti na kufadhili ugaid, bure kabisa.
Si kila mtu na anacho kiwaza
Sasa si bora anaewaza kujenga miskiti kuliko anaewaza kuendeleza ufiranaji na usagaji kama mungu wenu papa
 
Kafiri ni kwanyinyi mliofundishwa chuki
Kwa wakristu kafiri ni mtu ambae hana dini!
chuki inaua mkuu achana na hiyo chuki ya waarabu
Nawewe kafiri nini mbona umekasirika sana

Ukafiri utabakia pale pale kama huamini Allah na Mtume s a w utakua kafiri tu yaani kama ulivyo wewe tena kafiri kitabu

Usilie kafiri wa jf
 
Nchi yenye nguvu zaidi Middle East or Arab World ni Saudi Arabia, na pia ndio nchi yenye uchumi mkubwa zaidi kuliko nchi nyingine yoyote ile ya ki-Arab hapa duniani. Aidha, Saudi Arabia ni rafiki mkubwa zaidi wa nchi ya Marekani.
Hapo umeongelea majambo mawili ama matatu

Unaposema saudia inanguvu kwenye arab world yes upo sawa sababu iran sio waarabu kwahio hapa utakua upo sawa kwa ulimwengu wa kiarabu SA ndio taifa lenye nguvu ya kijeshi kisiasa na kiuchumi

Ila unapoongelea nguvu katika eneo la mashariki ya kati unaongelea nguvu ipi kama nguvu ya kiuchumi pia utakua upo sawa SA anakaa namba moja

Ila kama unaongelea nguvu ya kijeshi hapo mashariki yakati SA kama sio ya nne basi ya tano

Nyuma ya
Iran
Turkey
Palestine inayokaliwa kwa mabavu (israhell)
Halaf anakuja saudia
 
Iran inatakiwa kuachana na mfumo wa kuendesha nchi kidini. Nchi yenyewatu wenye IQ kubwa duniani inaendeshwa kidini ni kudumiza matumizi ya akili za watu.
Nyie hapo kwenu munaendeshwa kidini pia?

Mbona akili zimedumaa zaidi ya mtoto alokosa lishe😂
 
Wakuu
Serikali ya kiislam ya mapinduzi ya iran haina muda mrefu kwa kua wengi wao hawaamini tena katika dini ya kiislam.

Wairan kama mnavyojua ni watu wenye Akili sana.Kwao kuendeshwa kwa kulazimishwa kuvaa hijabu,kufuata sheria za kidini ambazo wengi hawaziamini ni kiu kigumu.
Kifupi wairan ni kama wazungu hawatak kuamini katika nadharia za kidini .

Na pili wengi wao saizi hawaswali na mamilioni wanabadili dini kwenda kwene ukristu.

Kongole kwenu wairan

View: https://youtu.be/0gYVbK4kP2A?si=A4a5n2G-7pHIXk4e

Hawa wote zamani kabla ya bwana yule kuleta dini yake na kuineneza kwa technolojia ya upanga iitwayo JIHADI walikuwa na wakristu. Asili huwa haipotei lazima Kuna kizazi kitairudisha. Hata ALGERIA iliyokuwa ardhi ya kikatoliki Kuna siku itarudi
 
WaIran ni watu makini na waliwahi kuwa taifa lenye nguvu kuzidi hata marekani ilivyo leo. Sasa wameona kwamba kuendelea kushikilia desturi, mila, tamaduni na ustaarabu wa waarabu ni ujinga na siyo matumizi sahihi ya uwezo wa kufikiri. Baada ya hapo tegemea kuona mabadiliko makubwa ya kijamii na kitamaduni ya watu wa Irani. Pia mjue ya kuwa waIran na waarabu ni chui na paka. Hawaivi chungu kimoja ndiyo maana wanamkakati wa kuachana kabisa na desturi za kiarabu walizozificha kwenye kivuli cha dini ya kiislam.
Alokwambia kama uislamu ni desturi ya kiarabu nani napi kakudanganya tena haswaaa

Unajua kabla ya ujio wa uislamu kwnye bara aramu kwamba waarabu walikua sio waislamu tena wote
 
Wakuu
Serikali ya kiislam ya mapinduzi ya iran haina muda mrefu kwa kua wengi wao hawaamini tena katika dini ya kiislam.

Wairan kama mnavyojua ni watu wenye Akili sana.Kwao kuendeshwa kwa kulazimishwa kuvaa hijabu,kufuata sheria za kidini ambazo wengi hawaziamini ni kiu kigumu.
Kifupi wairan ni kama wazungu hawatak kuamini katika nadharia za kidini .

Na pili wengi wao saizi hawaswali na mamilioni wanabadili dini kwenda kwene ukristu.

Kongole kwenu wairan

View: https://youtu.be/0gYVbK4kP2A?si=A4a5n2G-7pHIXk4e

Hawa wote zamani kabla ya bwana yule kuleta dini yake na kuineneza kwa technolojia ya upanga iitwayo JIHADI walikuwa na wakristu. Asili huwa haipotei lazima Kuna kizazi kitairudisha. Hata ALGERIA iliyokuwa ardhi ya kikatoliki Kuna siku itarudi
 
Hii ndio sababu nawadharau sana wafuata dini kikondoo, hasa wa Kiafrikakama wewe. Dini haina faida yoyote wala mchango wowote kiakili, kiuchumi wala kimaendeleo. La sivyo China, Korea na Japan wangekuwa masikini wa kutupwa sababu hawaamini dini yoyote kati ya hizo mbili.

Ni kujitambua, kujiamini kwao na uthubutu wao ndio umewafikisha Asians walipo. Kitu ambacho ni highly admirable kwa wanaojitambua.

On another hand hii thread inasikitisha. It's despicable.
Hakuna mtu asiekua na dini duniani acha kujidanganya

Unaelewa kwanza maana ya dini ?
 
si ya ugaidi ukifia kwenye mission
Daah huu upunguani sasa ,akina Mahlangu wa South zawadi pekee baada ya kufia kwenye mapambano si uhuru wa watu wao pale Sauzi au wee unaleta stori zipi ??? Weka mambo ya dini pembeni kule watu wanapambania uhuru wao wa kujitambua sio leo unajenga nyumba kesho anakuja settler kutoka new york anasema hapi kwake anabomoa unakuwa homeless hivi watu mnashabikia vipi uonevu hii sio sawa ni sawa tu anachofanya Russia sio sawa kuvamia watu na kuwafanya wakimbizi ndani ya territory no matter what the justifications .
 
Back
Top Bottom