matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Yawezekana ni protokali za kijeshi mkuu.Hiki ni kiburi cha hali juu. Mwili wa Lowassa una thamani kuliko mtu aliye hai. Kwanza kuna mantiki gani ya kukimbia pembeni ya gari utadhani wamebeba kitu cha thamani sana? Kwa upande wa pili wa shilingi. Na sisi raia tumezidi ukondoo. Watu kama hawa wanapofariki kwa nini tusijikalie nyumbani ili wajue kuwa hatuwathamini kama wasivyotuthamini?
Mlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliekua akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowasa
Sio Kwa Ngumi hii aisee halafu Huyu aliepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisaView attachment 2904937
Atapandishwa cheo kuonyesha uwezo mkubwa wa kuzingatia details za protocol za misafara kuwa any suspected intruder anashughulikiwa chapchap perpendicularlyKadri inavyotrend lazima atachukuliwa hatua, mitandao ina nguvu, watawala wakiona vilio na masononeko mengi lazima tamko litolewe.
Wangefanyaje mtu anajitosa kwenye mdomo wa mamba mwenyeweNa wananchi wanatazama tu 😁 ndio wanakaskazini hao😁
Huyo aliyepigwa ngumi ni lazima kuna meno kadhaa ameyatema chini coz ngumi imeenda kwenya taya direct.
SahihiMuombolezaji naye anazingua,akaenda mazima barabarani,kit u ambacho kinahatarisha hata kibarua cha huyo askari,maana angegongwa na gari ya msafara,sidhani kama askari angebaki na kibarua.Pole kwa mpigwaji.
InahuzunishaInahudhunisha na kuchekesha 😀😀😀
Unaweza kukuta aliyechapwa konde ni LucasNchi ya wababe hii ila masikini mwenzangu Lucas mwashambwa siku zote kuwasifia
Alidhani anaenda iba maitiHuzuni lakini ni jambo la kuchekesha, kwani mlinzi alikuwa na tatizo gani? Ulevi?
Mkuu wakati mwingine hata sisi raia tunakuwa wajinga. Kilichotokea wakati wa kifo cha Magufuli kilinifanya nifikirie mara mbili kuhusu mazishi ya viongozi. Wale waliokufa kwa kukanyagana walikuwa wengi kweli kweli lakini serikali ikadanganya idadi. Kuna jamaa alikwenda kumcheki ndugu yake vyumba vya maiti vya hospital za Muhimbili na Amana akasema kulikuwa na maiti nyingi sana. Na serikali haikujali hata kidogo ilifanya kama ni mbwa wamekufa. Imefika wakati kwa raia kuacha kujipanga au kwenda kwenye mazishi ya hawa viongozi.Very nice comment. Angefanya hivyo lingekuwa jambo la busara. Hili tukio limeniuma sana.
Umeona hiyo left aliyopewa jamaa [emoji1]Mlinzi kazingua sana.
Kwa kipigo hicho pombe Lazima aache na kuokoka Lazima ataokoka hicho kipigo kinampeleka msalabani kuungama moja Kwa mojaKwahiyo jina la Yesu linamfanya mtu aache pombe baada ya kipigo tu?