Mlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliekua akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowasa
Sio Kwa Ngumi hii aisee halafu Huyu aliepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisaView attachment 2904937
serikali ya ovyo tuNi upuuzi tu na matumizi mabaya ya fedha za umma.
Alafu mwana ccm [emoji1]Mzee wa watu maskini, itabidi akaweke meno ya bandia
Kaonyesha mahaba kwa kiongozi wake,still mlinzi kazingua hakupaswa kutumia nguvuHakutakiwa kuusogelea misafara kapata posho yake
Kubugia Viroba vya pombe huyo vimemponza pombe sio chai Ona Sasa kilichomkuta angelewa akabaki nyumbani yasingemkuta
Kulikuwa kuna Ulazma wa Kumpiga Ngumi?Mlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliekua akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowasa
Sio Kwa Ngumi hii aisee halafu Huyu aliepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisaView attachment 2904937
Taasisi iabishwe mara ngapiAna aibisha taasisi sasa mlevi ndo usukume konde,badala TU ya kumpush TU kidogo.
Kutafuta tuu kupigwa ngumi ya UsoSasa uende msibani kwa waliokuibia kodi zako itakusaidia nini?
Afya ya akili na sifa za kijinga
Halafu harakaharaka ile sehemu wameiondoa kweye streaming, uki replay huipati tenaKumbe tuwaachie muwe mnazikana wenyewe tuh maana mmetuona viherehere. Watanzania wote Arusha na monduli kwa ujumla jiepushane na msiba wa lowasa msije mkapigwa ngumi za uso au Risasi. Waachieni kina Nape na Makonda hao ndio walio mpenda.
Huyu Lucas wetu chawa uchwara Lucas de mwashambwa.Unaweza kukuta aliyechapwa konde ni Lucas
Ajira zenyewe zinatokea kwenye vyuo vya TPSC mule 4 na zero kibaoooo, unadhani akili zitakuwepo?Hakutakiwa kuusogelea misafara kapata posho yake
Kubugia Viroba vya pombe huyo vimemponza pombe sio chai Ona Sasa kilichomkuta angelewa akabaki nyumbani yasingemkuta
Kwenye mtandao gani mkuuHalafu harakaharaka ile sehemu wameiondoa kweye streaming, uki replay huipati tena
Sawa,na huyo anayepel3kwa ndy harudi mileleHicho kipigo kapata ni Cha kipekee hakitatoka kwenye kumbukumbu zake milele
Viherehere vya watuhivi hii ya kujaa barabarani nayo ni taratibu ya wapi?