MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Huenda na yeye ana mpango kama wako kwamba siku akikuona lazima akupigeNiliwahi kuahidi hapa jukwaani kwamba siku nitakayokutana na Lucas live ni lazima nimtandike makofi 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda na yeye ana mpango kama wako kwamba siku akikuona lazima akupigeNiliwahi kuahidi hapa jukwaani kwamba siku nitakayokutana na Lucas live ni lazima nimtandike makofi 3
Amekosa cha maana cha kufanyaWangefanyaje mtu anajitosa kwenye mdomo wa mamba mwenyewe
Ni kweli, Kimsingi dunia ilipofika ugomvi haupaswi kuwa option. Mwananchi alimuoverlook kamanda.Ndio maana si busara kugombana na usiemjua.
Hivi ngumi ya kushtukizwa unaikwepaje? Imagine tuko jogging halafu ghafla nikuchape left hook unafikiri utakaa uione?😂Safi kabisa, huyo alitaka kuingia barabarani, akajirudi, hiyo ngumi ya kushoto ni nzuri sana, huyo mwananchi hajui hata kukwepa ngumi, alafu kwanini asogee barabarani kiasi hicho, kosa hilo
Hakujua alichokifanya kina repercussion ganiNi kweli, Kimsingi dunia ilipofika ugomvi haupaswi kuwa option. Mwananchi alimuoverlook kamanda.
Kama akibahatika kufika ha ha haToo late. By the time unazinduka msafara uko Monduli na wewe hospitali unajiuliza umefikaje huku unasikia maumivu makali shingoni. 🤣🤣😇😇
Hapo sio rahisi kukwepa kwasababu hata hujui kuwa umefanya kitu cha kupewa adhabu kali hivyo.Hivi ngumi ya kushtukizwa unaikwepaje? Imagine tuko jogging halafu ghafla nikuchape left hook unafikiri utakaa uione?😂
Duh unamfahamu?Amepoteza fahamu mpaja saa hizi
Hapo hata angekuwa Mwakinyo lazma angelamba udongo. Jamaa kaenda kama mgomba chwaaa yuko deki😂Hapo sio rahisi kukwepa kwasababu hata hujui kuwa umefanya kitu cha kupewa adhabu kali hivyo.
hatari sana kwa kweliKumbe tuwaachie muwe mnazikana wenyewe tuh maana mmetuona viherehere. Watanzania wote Arusha na monduli kwa ujumla jiepushane na msiba wa Lowassa msije mkapigwa ngumi za uso au risasi.
Waachieni kina Nape na Makonda hao ndio waliompenda.
Mwananchi
Jamaa ukiangalia ni kama kabla ya kupigwa alitaka kuweka kitu au kuvukq akasita angalia sekunde za mwanzo za clip kabla hapaewa ile keleb. Ndio maana jamaa alikuwa interested naye.Hapo sio rahisi kukwepa kwasababu hata hujui kuwa umefanya kitu cha kupewa
Mpuuzi,sifa za kijinga, mtu mwenyewe hana madhara, mtu mzima, unashindwa ata kumsukuma tu? Mpaka umpige hook yote ile na akifa? Hizi ni sifa za kijinga sana. Zikemewe na yule bwana awajibishwe. Ila ipo siku yao.Mlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliyekuwa akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowassa
Sio kwa ngumi hii aisee halafu huyu aliyepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisa.
Chama chetu kilitoa maelekezo kwa chombo chake cha habari kupitia waziri wake kukifuta kipande hicho haraka sanaWatu wameipata inaji-trendia yenyewe kwa uzuri tu,
Ogopa teknolojia😀
Bahati mbaya.......sasa hyu ukimtuma kumkabiri mpinzani si lazima amuueMlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliyekuwa akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowassa
Sio kwa ngumi hii aisee halafu huyu aliyepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisa.