Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Hawezi kushtakiwa kwasababu hakuna jinai ambayo aliitenda zaidi ya utumishi uliotukuka!Huyu akipelekwa ubaoni hachomoki especially hilo kosa la matumizi mabaya ya madaraka watamdaka mapema mno maana alikuwa anasumbua watu then mwishoni hakuna kinachotokea zaidi ya kuwapakazia watu Mambo ambayo amekosa ushahidi.
Shukurani mkuu.Mimi nimemsikiliza vizuri sana hajasema lolote linaloashiria makonda kushtakiwa bali alitoa ushauri kwa chuo cha jeshi kuwapa elimu ma rc na madc
Na mahakama imuulize kwa kiapo jina lake Nani, hii ndo iwe kesi ya msingi.Na kwa kauli ya Prezda jana wakati anazindua jengo la chuo cha Jeshi kunduchi sasa naweza amini DAB a.k.a Paul makonda huenda akashtakiwa
Yule ashtakiwe kwa ugaidi.Ok, ngoja tuone.
Makonda awe makini, hilo kosa linaweza "kutengenezwa" lifanane na lile la Sabaya limpeleke jela na yeye, nikiangalia kwa jicho la tatu naliona litamkalia vibaya sana, kwenye utetezi sioni kama atakuwa na pakutokea.
Siasa tuHuyu akipelekwa ubaoni hachomoki especially hilo kosa la matumizi mabaya ya madaraka watamdaka mapema mno maana alikuwa anasumbua watu then mwishoni hakuna kinachotokea zaidi ya kuwapakazia watu Mambo ambayo amekosa ushahidi.
Mwamba unapogeuka mfinyanziPale jiwe linapogeuka kifusi
Loh! Pengine hiyo account imeibiwa.Hata wewe pia!
Hata kulazimisha watu kupima mikojo bila hiari Yao na majibu kupewa mwanasiasa ni kuingilia faragha za watu wengineMwendazake aliharibu nchi katika kiwango ambacho hakijawahi kutokea.
Nakuona ukiwa kwenye majukumu yako ya kila siku ili mradi mkono uende kinywani.Mwamba unapogeuka mfinyanzi
Inawezekana shida ni wewe maana wenzio wameelewaKwako wewe ni sawa tu gazeti kuandika utumbo kama huo....habari front page na headline kuubwa huku kilichoandikwa hakieleweki...
Jamaa alikuwa mbaya saana. Utekaji, uuwaji, uvunjaji wa makazi ya watu na nkMwendazake aliharibu nchi katika kiwango ambacho hakijawahi kutokea.
Ni wapi tupaone mkuuHivi pale anapoishi makonda mfanyakazi wa serikali atachukua miaka mingapi kukusanya pesa ya kupanunua na kufanya ukarabati mkubwa kama ule?