Raia Mwema: Paul Makonda kushtakiwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka

"Naomba niwahakikishie Watanzania kuwa Roma Mkatoliki ataonekana kabla ya Jumapili"- Nabii Albert Bashite, DSM 1250 B.C
 
Hii ni strategy ya ccm kuwaondoa watanzania kwenye mijadala ya msingi ya katiba mpya, ukosefu wa umeme kwa zaidi ya miezi miwili, na hali ya kukosekana maji katika jiji la Dar es Salaam.

Watanzania akili zao ni fupi sana
We ni mkenya?
 
Muda haujafika tu.
 
ongeeni tu M A T A G A ... hakuna mkate mgumu mbele ya chai
sabaya anakula miaka 30 shimoni huyu nae BASHITE atakula mvua ya kutosha haswaaa
 
ongeeni tu M A T A G A ... hakuna mkate mgumu mbele ya chai
sabaya anakula miaka 30 shimoni huyu nae BASHITE atakula mvua ya kutosha haswaaa
Na wewe ni expert member kama huu ndio usomaji na uelewaji wako ?
 
ongeeni tu M A T A G A ... hakuna mkate mgumu mbele ya chai
sabaya anakula miaka 30 shimoni huyu nae BASHITE atakula mvua ya kutosha haswaaa
Na "Gaidi" naye siku akipigwa mvua 30 msianze ngonjera za eti mahakama haina uhuru...[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…