Raia Mwema: Safari ya Halima Mdee na wenzake kuelekea ACT Wazalendo yaiva

Raia Mwema: Safari ya Halima Mdee na wenzake kuelekea ACT Wazalendo yaiva

Wewe wa kumfundisha Siasa Halima James Mdee Mbunge wa vipindi vinne mfululizo, Mbunge wa viti maalum, Mbunge wa Jimbo wa kwanza Mwanamke wa jiji la Dsm kutokea upinzani, mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama kikuu cha Upinzani, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Serikali za Mitaa, Mwanasheria nguli aliesomea ndani na nje ya Nchi na kubwa zaid ni 'Mzalendo' tangu akiwa Udsm.

ikiamriwa arudi ndani ya Chadema na Chadema wamteuwe kuwa Mbunge itafanywa hivyo,

Zitto tangu 2009 ilipotangazwa ni msaliti, anatumiwa na Ccm, n.k lakini bado 2010 iliamriwa Chadema imeteuwe agombee Kigoma kaskazini na akagombea na pia Chadema ikafanywa kwny vikao vyake vya ndani baada ya uchaguzi wa 2010 kumteua Zitto kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya PAC ikamteua

This is united republic of Tanzania
Hayo yote uliyoyaandika hayana msingi wowote, Halina na kundi lake wana hiyari ya kwenda popote, ni watu wazima wanaijua siasa vizuri sana, karibuni ACT-WAZALENDO.
 
Kesi ile mwisho wake ni hadi june 2025
Time will tell, kama hili uliloandika litatimia, basi watakuwa wasaliti kamili kama ilivyotokea kwa kiongozi muanzilishi wa ACT, hakika hao wanafaa kuungana, kwani wanafanana tabia.
 
Gazeti la Raia Mwema linaandika, aliyekuwa mwanachama wa Chadema na Mwenyekiti wa BAWACHA na wenzake 18 wanatarajia kujiunga na ACT Wazalendo muda wowote kuanzaia sasa na watazunguka Tanzania nzima kukinadi.

Yeye asema, Kwa hiyo tukitambua jambo jema linalofanywa na wenzetu, ni ‘kuinyatia’? Uzuri hata mwandishi (Mmiliki wa gazeti) anajua Chama changu, ni suala la muda tu. Kama ingekuwa kutambua zuri la wengine ni ‘kunyatia’ basi tuna wanyatiaji’ wengi sana nchi hii.

Ester Bulaya naye kawajibu Raia Mwema: “Acha Kuandika Uongo watu wapo Kimyaa … nina Chama Kimoja tu ninachokipenda kinaitwa CHADEMA … Muda na Kunyamaza Ni Hukumu Nzuri sana . Endelea kula Mtori Nyama utazikuta Chini”.

View attachment 2525791
ndo itakuwa mwisho wao kisiasa
 
Huko kwa Zitto Halima anaenda kujisagia kunguni tu.
 
Chama pekee chenye matumaini ni CDM, hawa wengine ni wachumia tumbo - siku wakikorofishana huko namna ya kugawana mafao na vyeo utawaona hao CHAUMA.

Tunawaombea safari njema, tena wamechelewa mno.
 
Kwangu mimi sioni tatizo la wao kwenda ACT kwanza ni vzr sana hasa kweny mikutano na kampeni 🤣🤣🤣🤣
Gazeti la Raia Mwema linaandika, aliyekuwa mwanachama wa Chadema na Mwenyekiti wa BAWACHA na wenzake 18 wanatarajia kujiunga na ACT Wazalendo muda wowote kuanzaia sasa na watazunguka Tanzania nzima kukinadi.

Yeye asema, Kwa hiyo tukitambua jambo jema linalofanywa na wenzetu, ni ‘kuinyatia’? Uzuri hata mwandishi (Mmiliki wa gazeti) anajua Chama changu, ni suala la muda tu. Kama ingekuwa kutambua zuri la wengine ni ‘kunyatia’ basi tuna wanyatiaji’ wengi sana nchi hii.

Ester Bulaya naye kawajibu Raia Mwema: “Acha Kuandika Uongo watu wapo Kimyaa … nina Chama Kimoja tu ninachokipenda kinaitwa CHADEMA … Muda na Kunyamaza Ni Hukumu Nzuri sana . Endelea kula Mtori Nyama utazikuta Chini”.

View attachment 2525791
 
Kwangu mimi wanasiasa wa upinzani kutukanana, kufukuzana, kuhama chama hiki na kuhamia chama kile na kurudi tena, kwangu mimi sio habari. Kama kwako na kwa Raia Mwema ni habari, basi sawa.

Wanaohama na kurudi ni wanachama wa upinzani tu?
 
Gazeti la Raia Mwema linaandika, aliyekuwa mwanachama wa Chadema na Mwenyekiti wa BAWACHA na wenzake 18 wanatarajia kujiunga na ACT Wazalendo muda wowote kuanzaia sasa na watazunguka Tanzania nzima kukinadi.

Yeye asema, Kwa hiyo tukitambua jambo jema linalofanywa na wenzetu, ni ‘kuinyatia’? Uzuri hata mwandishi (Mmiliki wa gazeti) anajua Chama changu, ni suala la muda tu. Kama ingekuwa kutambua zuri la wengine ni ‘kunyatia’ basi tuna wanyatiaji’ wengi sana nchi hii.

Ester Bulaya naye kawajibu Raia Mwema: “Acha Kuandika Uongo watu wapo Kimyaa … nina Chama Kimoja tu ninachokipenda kinaitwa CHADEMA … Muda na Kunyamaza Ni Hukumu Nzuri sana . Endelea kula Mtori Nyama utazikuta Chini”.

View attachment 2525791
COVID 19 ni maghalasha matupu, wacha waende kwa msaliti mwenzao CDM ilishamalizana nao hatuwahitaji tena hao malaya wa kisiasa!
 
Ukweli unabaki kuwa ukweli hata uupinge vipi. Ndio maana Waingereza wana msemo, "If it walks like a duck, cries like a duck and resembles a duck, it's always a duck"!

Hoja yako ni ipi hapa, au umetaka kutuonyesha unajua kiingereza kwa quote hiyo sentensi hapa?
 
Wewe na Raia Mwema ndio wajinga na malimbukeni. Kwani Mdee akihamia ACT - Wazalendo kinakuuma nini? Mbona Lissu anaunga mkono ushoga na hawaandiki?
Na weee punguza upimbi bhana, lini Lissu amekuambia ukagonoke ??? Acha kumsingizia mhe Lissu ... Hiyo itakuwa ndo starehe yko tu ...usisingizie watu
 
Limeandika gazeti la Raia Mwema

View attachment 2525867

Pia niliiona tweet Ya Halima Mdee kule Twitter. Na baadae nikaikumbuka tweet ingine ya Mdee hukohuko Twitter.

Ndio nikaelewa kinachokuja kutokea 2025. Ni kwa mantiki hiyo, ndio nimeona kazi kubwa watakayokuwa nayo Chadema, pale itakapofika 2025.

Huku kutakuwa na CCM. Kwingine kutakuwa na wafuasi wa Magufuli. Na huku kutakuwa na Mliowaita COVID-19!

Halafu Zitto na ACT yake inaendelea kuwabinya taratibu muda wote. Hii ikiwa ni kabla hata ya 2025.

Ndio maana nikaja na jibu kwamba CHADEMA mtafika 2030 mkiwa hoi bin taaban baada ya mapambano hayo makali.

Siasa haina adui wa kudumu.
Una mawazo ya hovyo sana aiseee, hv Act wazalendo waisumbue chadema kwa lipi?? Hata wamchukue Mdee na wenzake bado hawawezi kuisumbua chadema... Chadema ni dude kubwaaaaa ambalo kuliparamia tu unatafuta kifo
 
itahakikishwa Chadema na ACT wana nguvu zinazokaribiana ili kurahisisha mchakato wa Katiba mpya huko mbele ya safari

Chadema wakitaka kususa wahisi nafasi yao itachukuliwa na ACT na ACT wakitaka kususa wahisi nafasi yao itachukuliwa na Chadema

Znz huko ACT ilitishia kujitoa kwny Serikali ya umoja wa kitaifa ikakumbushwa CUF ya Nguli wa uchumi Duniani inasubiria hiyo chance, mkijitoa ombwe linajazwa

huku bara Mbowe ilibidi ajiongeze ili chombo kisiende mrama

Chadema wakigomea uchaguzi Mkuu ujao (ngumu sana kugomea ) ACT inaingiza Team na kina Mdee wanapewa majimbo kazi inaendelea, vivyo hivyo kwa ACT visiwani, ikigomea Prof anaingiza basi lake kinyume nyume
Siku zote huwa una mawazo ya kipimbi sana mkuu..hao Act wazalendo nchi nzima wana wanachama 14000 tu alafu wapambane na chadema yenye wanachama 12,000,000 ??? Labda kama mtawakopesha wanachama wenu kutoka ccm
 
Kwa kweli hawa Dada zangu amekosa washauri mpaka wajiunge ACT kwanza lazima wakumbuke hiki chama kilivyoasisiwa mpaka anakabidhiwa Zitto.
Labda wangejiunga na Cuf afadhali au waombe msamaha kwa chama Chao kwani wakiondoka ndo mwisho wao kisiasa.
 
Back
Top Bottom