Limeandika gazeti la Raia Mwema
View attachment 2525867
Pia niliiona tweet Ya Halima Mdee kule Twitter. Na baadae nikaikumbuka tweet ingine ya Mdee hukohuko Twitter.
Ndio nikaelewa kinachokuja kutokea 2025. Ni kwa mantiki hiyo, ndio nimeona kazi kubwa watakayokuwa nayo Chadema, pale itakapofika 2025.
Huku kutakuwa na CCM. Kwingine kutakuwa na wafuasi wa Magufuli. Na huku kutakuwa na Mliowaita COVID-19!
Halafu Zitto na ACT yake inaendelea kuwabinya taratibu muda wote. Hii ikiwa ni kabla hata ya 2025.
Ndio maana nikaja na jibu kwamba CHADEMA mtafika 2030 mkiwa hoi bin taaban baada ya mapambano hayo makali.
Siasa haina adui wa kudumu.