Raia Mwema: Safari ya Halima Mdee na wenzake kuelekea ACT Wazalendo yaiva

Raia Mwema: Safari ya Halima Mdee na wenzake kuelekea ACT Wazalendo yaiva

Gazeti limesema ukweli wajinga tu ndiyo watapinga.
 
Gazeti la Raia Mwema linaandika, aliyekuwa mwanachama wa Chadema na Mwenyekiti wa BAWACHA na wenzake 18 wanatarajia kujiunga na ACT Wazalendo muda wowote kuanzaia sasa na watazunguka Tanzania nzima kukinadi.

Yeye asema, Kwa hiyo tukitambua jambo jema linalofanywa na wenzetu, ni ‘kuinyatia’? Uzuri hata mwandishi (Mmiliki wa gazeti) anajua Chama changu, ni suala la muda tu. Kama ingekuwa kutambua zuri la wengine ni ‘kunyatia’ basi tuna wanyatiaji’ wengi sana nchi hii.

Ester Bulaya naye kawajibu Raia Mwema: “Acha Kuandika Uongo watu wapo Kimyaa … nina Chama Kimoja tu ninachokipenda kinaitwa CHADEMA … Muda na Kunyamaza Ni Hukumu Nzuri sana . Endelea kula Mtori Nyama utazikuta Chini”.

View attachment 2525791
Msaliti/wasaliti ni wasaliti na huko kukitokea nafasi ya kusaliti, watasaliti tu!
 
Ni haki yao kwenda popote iwe ACT au wabaki hapo hapo CCM sisi huku Chadema tulishawafukuza hatuwezi kuwapangia pa kwenda
 
Wewe wa kumfundisha Siasa Halima James Mdee Mbunge wa vipindi vinne mfululizo, Mbunge wa viti maalum, Mbunge wa Jimbo wa kwanza Mwanamke wa jiji la Dsm kutokea upinzani, mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama kikuu cha Upinzani, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Serikali za Mitaa, Mwanasheria nguli aliesomea ndani na nje ya Nchi na kubwa zaid ni 'Mzalendo' tangu akiwa Udsm.

ikiamriwa arudi ndani ya Chadema na Chadema wamteuwe kuwa Mbunge itafanywa hivyo,

Zitto tangu 2009 ilipotangazwa ni msaliti, anatumiwa na Ccm, n.k lakini bado 2010 iliamriwa Chadema imeteuwe agombee Kigoma kaskazini na akagombea na pia Chadema ikafanywa kwny vikao vyake vya ndani baada ya uchaguzi wa 2010 kumteua Zitto kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya PAC ikamteua

This is united republic of Tanzania
Kwahiyo wewe unadhani halima ni zaidi yangu kwa sababu ya hayo uliyo sema ...mimi ninge kuwa mwanasiasa basi sisiemu isinge kuwa madarakani mpaka muda huu washukuru wanashindana na watu wenye akili finyu
 
Na weee punguza upimbi bhana, lini Lissu amekuambia ukagonoke ??? Acha kumsingizia mhe Lissu ... Hiyo itakuwa ndo starehe yko tu ...usisingizie watu
Lissu mwenyewe hajakanusha kuwa anaunga mkono ushoga, lakini ninyi chawa povu linawatooooka!
 
Limeandika gazeti la Raia Mwema

View attachment 2525867

Pia niliiona tweet Ya Halima Mdee kule Twitter. Na baadae nikaikumbuka tweet ingine ya Mdee hukohuko Twitter.

Ndio nikaelewa kinachokuja kutokea 2025. Ni kwa mantiki hiyo, ndio nimeona kazi kubwa watakayokuwa nayo Chadema, pale itakapofika 2025.

Huku kutakuwa na CCM. Kwingine kutakuwa na wafuasi wa Magufuli. Na huku kutakuwa na Mliowaita COVID-19!

Halafu Zitto na ACT yake inaendelea kuwabinya taratibu muda wote. Hii ikiwa ni kabla hata ya 2025.

Ndio maana nikaja na jibu kwamba CHADEMA mtafika 2030 mkiwa hoi bin taaban baada ya mapambano hayo makali.

Siasa haina adui wa kudumu.
Haaahaaa mlisema haya Toka 2010 ila ndio kwanza Chadema inadunda. Hiyo 2025 nakuhakikishia ACT itavurugika kwenye mgombea Urais hasa Zanzibar maana OMO ni mtu wa system ilihali kina Duni, Jussa wamepambana miaka na miaka kukifikisha CUF/ACT hapo ilipo!! So sitegemei ku mount challenge yoyote kwa CCM au Chadema.
 
Kwani wangesubiri wakahama ndio wakaandika wangepungukiwa nini? Na wasipohama wakabaki Chadema je?
Wasipohama wakabaki CHADEMA? How is it possible wakati hawapo CHADEMA, walishatimuliwa kitambo(kwa mujibu wa CHADEMA yenyewe).
Media kuandika tetesi ni jambo la kawaida kwani hiyo kwao ni biashara, kinachotakiwa ni kama hawajathibitisha wanachokiandika waweke wazi kuwa hiyo habari ni tetesi ambayo haijathibitishwa.
 
Wewe wa kumfundisha Siasa Halima James Mdee Mbunge wa vipindi vinne mfululizo, Mbunge wa viti maalum, Mbunge wa Jimbo wa kwanza Mwanamke wa jiji la Dsm kutokea upinzani, mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama kikuu cha Upinzani, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Serikali za Mitaa, Mwanasheria nguli aliesomea ndani na nje ya Nchi na kubwa zaid ni 'Mzalendo' tangu akiwa Udsm.

ikiamriwa arudi ndani ya Chadema na Chadema wamteuwe kuwa Mbunge itafanywa hivyo,

Zitto tangu 2009 ilipotangazwa ni msaliti, anatumiwa na Ccm, n.k lakini bado 2010 iliamriwa Chadema imeteuwe agombee Kigoma kaskazini na akagombea na pia Chadema ikafanywa kwny vikao vyake vya ndani baada ya uchaguzi wa 2010 kumteua Zitto kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya PAC ikamteua

This is united republic of Tanzania
Acheni kujipa ujiko msiokua nao kwamba Chadema inapangiwa na mfumo? Mbona huyo Zitto alitimuliwa na hakuna kitu mlifanya??

Waliondoka kina Slaa na Kaborou ndio sembuse hivi vibinti ambavyo Mbowe amevitoa UDSM havijui kuoga akavipa ubunge??

2020 tulisimamisha wagombea 70 wa kike hivyo tuna reserve ya wagombea wengi sana kureplace kina Mdee na Wala hakuna madhara wataleta.
 
Kama Tanzania daima tu watoto wa shule wanaliita gazeti la kufungia mihogo

USSR
Magazeti ya kufungia mihogo yanayojulikana wazi ni ya Uhuru na Daily News (kama bado yanachapishwa), magazeti mpaka hayauziki wanayagawa bure hovyo hovyo kwa kuwa huandika rubbish, uzushi na propaganda mfu.
 
Wewe wa kumfundisha Siasa Halima James Mdee Mbunge wa vipindi vinne mfululizo, Mbunge wa viti maalum, Mbunge wa Jimbo wa kwanza Mwanamke wa jiji la Dsm kutokea upinzani, mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama kikuu cha Upinzani, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Serikali za Mitaa, Mwanasheria nguli aliesomea ndani na nje ya Nchi na kubwa zaid ni 'Mzalendo' tangu akiwa Udsm.

ikiamriwa arudi ndani ya Chadema na Chadema wamteuwe kuwa Mbunge itafanywa hivyo,

Zitto tangu 2009 ilipotangazwa ni msaliti, anatumiwa na Ccm, n.k lakini bado 2010 iliamriwa Chadema imeteuwe agombee Kigoma kaskazini na akagombea na pia Chadema ikafanywa kwny vikao vyake vya ndani baada ya uchaguzi wa 2010 kumteua Zitto kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya PAC ikamteua

This is united republic of Tanzania
Pathetic, hizo story mnazodanganyana vijiweni mkishakunywa gongo unazileta JF? Hearsay blah blahs unajitoanazo ufahamu hapo mwenyewe kwa upeo wako unaona umeshusha nondo za maana, bullshit.
 
Ahahahahah! Nina mtoto yupo chuo kikuu mwaka wa kwanza, halafu unaniita mtoto. Bila shaka wewe una vitukuu! Ahahahahah!

Umri humu ndani kwa hizi fake I'd unapimwa na hoja, kama hoja zako ni za kitoto huo ndio umri wako, hata kama una miaka 100.
 
Limeandika gazeti la Raia Mwema

View attachment 2525867

Pia niliiona tweet Ya Halima Mdee kule Twitter. Na baadae nikaikumbuka tweet ingine ya Mdee hukohuko Twitter.

Ndio nikaelewa kinachokuja kutokea 2025. Ni kwa mantiki hiyo, ndio nimeona kazi kubwa watakayokuwa nayo Chadema, pale itakapofika 2025.

Huku kutakuwa na CCM. Kwingine kutakuwa na wafuasi wa Magufuli. Na huku kutakuwa na Mliowaita COVID-19!

Halafu Zitto na ACT yake inaendelea kuwabinya taratibu muda wote. Hii ikiwa ni kabla hata ya 2025.

Ndio maana nikaja na jibu kwamba CHADEMA mtafika 2030 mkiwa hoi bin taaban baada ya mapambano hayo makali.

Siasa haina adui wa kudumu.
Halima na wenzake hawana chaguo jingine zaidi ya kwenda ACT au chama kingine cha upinzanj.

1) CHADEMA walikwishafukuzwa, hawatakiwi.

2) CCM aliyewapa ubunge alikwishafariki, na mlinzi wao kafukuzwa uspika, na ndani ya CCM, zile siasa za udikteta wa mtu mmoja zimepungua sana kiasi cha kutowapa uhakika wakienda huko watapata hata nafasi ya kuteuliwa kuwa wagombea wa ubunge.

Lakini kwa vyovyote, nafasi yao ya kuupata ubunge kwa njia halali ni finyu sana.

Kwa upande wa CHADEMA,nafasi yao ya kushinda majimbo mengi ya uchaguzi, hasa maeneo ya mijini, alimradi wawe na wagombea makini, ni kubwa kuliko chama chochote.
 
Back
Top Bottom