- Thread starter
- #81
Kiwewe gani sasa kwani raia mwema ni la CDM.Mi naiona chadema kama inapatwa na kiwewe hivi.au wenzangu mnaonaje.Huyu Kijana Zitto ataua watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiwewe gani sasa kwani raia mwema ni la CDM.Mi naiona chadema kama inapatwa na kiwewe hivi.au wenzangu mnaonaje.Huyu Kijana Zitto ataua watu.
Hahahha umeandika kinyonge sanaWacha waende kwa wasaliti wenzao.
Kama Tanzania daima tu watoto wa shule wanaliita gazeti la kufungia mihogoRaia Mwema limeishakuwa gazeti la hovyo kabisa.
Msaliti/wasaliti ni wasaliti na huko kukitokea nafasi ya kusaliti, watasaliti tu!Gazeti la Raia Mwema linaandika, aliyekuwa mwanachama wa Chadema na Mwenyekiti wa BAWACHA na wenzake 18 wanatarajia kujiunga na ACT Wazalendo muda wowote kuanzaia sasa na watazunguka Tanzania nzima kukinadi.
Yeye asema, Kwa hiyo tukitambua jambo jema linalofanywa na wenzetu, ni ‘kuinyatia’? Uzuri hata mwandishi (Mmiliki wa gazeti) anajua Chama changu, ni suala la muda tu. Kama ingekuwa kutambua zuri la wengine ni ‘kunyatia’ basi tuna wanyatiaji’ wengi sana nchi hii.
Ester Bulaya naye kawajibu Raia Mwema: “Acha Kuandika Uongo watu wapo Kimyaa … nina Chama Kimoja tu ninachokipenda kinaitwa CHADEMA … Muda na Kunyamaza Ni Hukumu Nzuri sana . Endelea kula Mtori Nyama utazikuta Chini”.
View attachment 2525791
Kwahiyo wewe unadhani halima ni zaidi yangu kwa sababu ya hayo uliyo sema ...mimi ninge kuwa mwanasiasa basi sisiemu isinge kuwa madarakani mpaka muda huu washukuru wanashindana na watu wenye akili finyuWewe wa kumfundisha Siasa Halima James Mdee Mbunge wa vipindi vinne mfululizo, Mbunge wa viti maalum, Mbunge wa Jimbo wa kwanza Mwanamke wa jiji la Dsm kutokea upinzani, mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama kikuu cha Upinzani, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Serikali za Mitaa, Mwanasheria nguli aliesomea ndani na nje ya Nchi na kubwa zaid ni 'Mzalendo' tangu akiwa Udsm.
ikiamriwa arudi ndani ya Chadema na Chadema wamteuwe kuwa Mbunge itafanywa hivyo,
Zitto tangu 2009 ilipotangazwa ni msaliti, anatumiwa na Ccm, n.k lakini bado 2010 iliamriwa Chadema imeteuwe agombee Kigoma kaskazini na akagombea na pia Chadema ikafanywa kwny vikao vyake vya ndani baada ya uchaguzi wa 2010 kumteua Zitto kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya PAC ikamteua
This is united republic of Tanzania
Ni "Kiingereza" sio 'kiingereza'.Unajua kiingereza au unajua kucopy na kupaste quote za kiingereza?
Ni "Kiingereza" sio 'kiingereza'.
Lissu mwenyewe hajakanusha kuwa anaunga mkono ushoga, lakini ninyi chawa povu linawatooooka!Na weee punguza upimbi bhana, lini Lissu amekuambia ukagonoke ??? Acha kumsingizia mhe Lissu ... Hiyo itakuwa ndo starehe yko tu ...usisingizie watu
Haya ni magazeti ya hovyo kabisa!Kama Tanzania daima tu watoto wa shule wanaliita gazeti la kufungia mihogo
USSR
Ahahahahah! Nina mtoto yupo chuo kikuu mwaka wa kwanza, halafu unaniita mtoto. Bila shaka wewe una vitukuu! Ahahahahah!Punguza utoto dogo.
Haaahaaa mlisema haya Toka 2010 ila ndio kwanza Chadema inadunda. Hiyo 2025 nakuhakikishia ACT itavurugika kwenye mgombea Urais hasa Zanzibar maana OMO ni mtu wa system ilihali kina Duni, Jussa wamepambana miaka na miaka kukifikisha CUF/ACT hapo ilipo!! So sitegemei ku mount challenge yoyote kwa CCM au Chadema.Limeandika gazeti la Raia Mwema
View attachment 2525867
Pia niliiona tweet Ya Halima Mdee kule Twitter. Na baadae nikaikumbuka tweet ingine ya Mdee hukohuko Twitter.
Ndio nikaelewa kinachokuja kutokea 2025. Ni kwa mantiki hiyo, ndio nimeona kazi kubwa watakayokuwa nayo Chadema, pale itakapofika 2025.
Huku kutakuwa na CCM. Kwingine kutakuwa na wafuasi wa Magufuli. Na huku kutakuwa na Mliowaita COVID-19!
Halafu Zitto na ACT yake inaendelea kuwabinya taratibu muda wote. Hii ikiwa ni kabla hata ya 2025.
Ndio maana nikaja na jibu kwamba CHADEMA mtafika 2030 mkiwa hoi bin taaban baada ya mapambano hayo makali.
Siasa haina adui wa kudumu.
Wasipohama wakabaki CHADEMA? How is it possible wakati hawapo CHADEMA, walishatimuliwa kitambo(kwa mujibu wa CHADEMA yenyewe).Kwani wangesubiri wakahama ndio wakaandika wangepungukiwa nini? Na wasipohama wakabaki Chadema je?
Acheni kujipa ujiko msiokua nao kwamba Chadema inapangiwa na mfumo? Mbona huyo Zitto alitimuliwa na hakuna kitu mlifanya??Wewe wa kumfundisha Siasa Halima James Mdee Mbunge wa vipindi vinne mfululizo, Mbunge wa viti maalum, Mbunge wa Jimbo wa kwanza Mwanamke wa jiji la Dsm kutokea upinzani, mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama kikuu cha Upinzani, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Serikali za Mitaa, Mwanasheria nguli aliesomea ndani na nje ya Nchi na kubwa zaid ni 'Mzalendo' tangu akiwa Udsm.
ikiamriwa arudi ndani ya Chadema na Chadema wamteuwe kuwa Mbunge itafanywa hivyo,
Zitto tangu 2009 ilipotangazwa ni msaliti, anatumiwa na Ccm, n.k lakini bado 2010 iliamriwa Chadema imeteuwe agombee Kigoma kaskazini na akagombea na pia Chadema ikafanywa kwny vikao vyake vya ndani baada ya uchaguzi wa 2010 kumteua Zitto kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya PAC ikamteua
This is united republic of Tanzania
Magazeti ya kufungia mihogo yanayojulikana wazi ni ya Uhuru na Daily News (kama bado yanachapishwa), magazeti mpaka hayauziki wanayagawa bure hovyo hovyo kwa kuwa huandika rubbish, uzushi na propaganda mfu.Kama Tanzania daima tu watoto wa shule wanaliita gazeti la kufungia mihogo
USSR
Pathetic, hizo story mnazodanganyana vijiweni mkishakunywa gongo unazileta JF? Hearsay blah blahs unajitoanazo ufahamu hapo mwenyewe kwa upeo wako unaona umeshusha nondo za maana, bullshit.Wewe wa kumfundisha Siasa Halima James Mdee Mbunge wa vipindi vinne mfululizo, Mbunge wa viti maalum, Mbunge wa Jimbo wa kwanza Mwanamke wa jiji la Dsm kutokea upinzani, mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama kikuu cha Upinzani, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Serikali za Mitaa, Mwanasheria nguli aliesomea ndani na nje ya Nchi na kubwa zaid ni 'Mzalendo' tangu akiwa Udsm.
ikiamriwa arudi ndani ya Chadema na Chadema wamteuwe kuwa Mbunge itafanywa hivyo,
Zitto tangu 2009 ilipotangazwa ni msaliti, anatumiwa na Ccm, n.k lakini bado 2010 iliamriwa Chadema imeteuwe agombee Kigoma kaskazini na akagombea na pia Chadema ikafanywa kwny vikao vyake vya ndani baada ya uchaguzi wa 2010 kumteua Zitto kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya PAC ikamteua
This is united republic of Tanzania
Mdude Chadema huwa anapiga kwenye mshono.
Ahahahahah! Nina mtoto yupo chuo kikuu mwaka wa kwanza, halafu unaniita mtoto. Bila shaka wewe una vitukuu! Ahahahahah!
Halima na wenzake hawana chaguo jingine zaidi ya kwenda ACT au chama kingine cha upinzanj.Limeandika gazeti la Raia Mwema
View attachment 2525867
Pia niliiona tweet Ya Halima Mdee kule Twitter. Na baadae nikaikumbuka tweet ingine ya Mdee hukohuko Twitter.
Ndio nikaelewa kinachokuja kutokea 2025. Ni kwa mantiki hiyo, ndio nimeona kazi kubwa watakayokuwa nayo Chadema, pale itakapofika 2025.
Huku kutakuwa na CCM. Kwingine kutakuwa na wafuasi wa Magufuli. Na huku kutakuwa na Mliowaita COVID-19!
Halafu Zitto na ACT yake inaendelea kuwabinya taratibu muda wote. Hii ikiwa ni kabla hata ya 2025.
Ndio maana nikaja na jibu kwamba CHADEMA mtafika 2030 mkiwa hoi bin taaban baada ya mapambano hayo makali.
Siasa haina adui wa kudumu.