Raia Mwema: Wanawake 40 wajitokeza TAKUKURU kutoa ushahidi wa unyanyasaji wa kingono na ubakaji wa Ole Sabaya

Ushindani umekua mkubwa sana........ wanaume nao wanayaonesha yao kwa speed ya 5G
Hapana...wanawake wamezidi
Sahv mwanamke mwenye kalio kubwa
Anajiamini kuliko mwenye profession yake
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
7sabay kwa hilo simlaumu mimi mitego imekuwa mingi

Ova
 
Mimi sio mwanasheria, ilakama anafanya ukatili wa kijinsia kingono, akiwa amelewa, sabaya atashinda mcha kweupe manake utetezi utakuja kuwa ni akili ya pombe sio akili yake, je akiwa katika akili ambayo haina pombe huwa anabaka na kufanya ukatili wa kijinsia?

 
Je ni kwa nini habari za sabaya wanaopost negatively wengi ni wa mlengo wa chama flani cha kisiasa. Ingekuwa vyema kama tungeachia vyombo vya dola vifanye kazi yake. Kama mtu ana ushahidi aupeleke mahala husika. Sabaya bado ni mtanzania na kama mtuhumiwa ana haki zake kisheria.
 
Hahahah! Aache mjadala utandazwe mkekani [emoji3][emoji3][emoji3]
 
apo ndo ninapokumbuka wimbo wa mjomba mpoto ' anayelia sana msibani ana lake jambo zito "
 
Kwahiyo ukimtwanga risasi mtu ukiwa umelewa huna kesi?
 
Duuh kazi kweli kweli yani pombe ndio iwe excuse inayokubalika kisheria?
Kumbe humu tuna wajinga wengi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…