Raia Mwema: Wanawake 40 wajitokeza TAKUKURU kutoa ushahidi wa unyanyasaji wa kingono na ubakaji wa Ole Sabaya

Wewe ni ngumbaru. Ukiendesha gari umelewa polisi huwa hawakupi faini kisa sio akili zako?
 
Eti kama mwenda zake angekuwepo hadi leo, huyu mtu angeliendelea kubaki kwenye uongozi kama vile hakijatokea kitu, World is not fair at all.
And it was never fair since the beginning
 
The udakuuu tz waliku wap muda wote huu mtoa mada [emoji42][emoji42][emoji42]
 
Write your reply...Sabaya ni msabato, amesoma shule za wasabato, huo uhuni kautoa wapi?
 
Sheria ya wapi inayosema ukifanya Maovu ukiwa umelewa unaachwa? Kua hujafanya kosa.
 
Hizi ni tuhuma tu jamani sasa mnataka Mama Rais Samia afanye nini amhukumu?
 
Ukitaka kumwua paka au mbwa kwanza unampa jina baya
 
Hivi inaruhusiwa kuandika Uzi usio na ushahidi ?
Weka chanzo acha UMBEYA
 
Ukiangalia warembo wengi,watoto misambwanda hiyooo,watoto mishep hatar
Arhhhh Acha awanyooshe tu 😂😂

Ova
 
Kama Jamaa alipiga mbupu wanawake 40, huyo aliyemuweka hapo atakuwa kapiga wangapi? aise kweli madaraka raha...
 
Unamaanisha Raia Mwema ni gazeti la Chadema?

Hoja hata kama chungu ijadili tu, usiiogope na kuikimbia kwa style hiyo unayoleta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…