Raia wa Iran afukuzwa Tanzania baada ya kuwa tishio kwa usalama wa taifa

Raia wa Iran afukuzwa Tanzania baada ya kuwa tishio kwa usalama wa taifa

Hehehe napenda namna huwa mnalaumu Marekani na Israel kwa kila pumba zenu...
Ishini na binadamu wenzenu kwa amani, abuduni huyo mnayemuabudu bila kuchokonoa wenzenu, sema tatizo liko kwenye maandiko yenu kwamba muwavuruge wasio wa imani yenu, hapo ndio huwa kero.
Mwingine aitwaye Sofiane boufal kasema Ushindi wa Morocco kwenye World Cup belong to Arabs and Muslims. Haya washabiki mnasemaje hapo.? Mimi naishabikia England.
 
Kwa hivyo hivyo mzungu ndiye aliyeandika hizo aya kwenye quran zinazoelekeza muue watu wasio wa dini, ambazo zinasababishe mfanye ugaidi.
Kuna vitabu 4 Mwenyezi Mungu ameviteremsha.
Quran - Amepokea Muhammad
Zaburi - Amepokea Ebrahim
Tourati - Amepokea Mussa
Injili - Amepokea Issa / Yesu.
Angalia hawa mitume asili yao ni wapi, halafu ndio ulete upuuzi wa wazungu,.
 
Kuna vitabu 4 Mwenyezi Mungu ameviteremsha.
Quran - Amepokea Muhammad
Zaburi - Amepokea Ebrahim
Tourati - Amepokea Mussa
Injili - Amepokea Issa / Yesu.
Angalia hawa mitume asili yao ni wapi, halafu ndio ulete upuuzi wa wazungu,.
Zaburi ina vitabu gani?
Torati ina vitabu gani?
Injili ina vitabu gani?

#MaendeleoHayanaChama
 
Si kweli,hapo hakuna ushahidi wowote zaidi ya kupewa maelekezo na wanaotupa msaada

Waache wa-Iran wengine wote wamfukuze huyo mmoja, tatizo wafuasi wa hiyo dini huwa mumeshikiliwa akili, mmoja akifanya kosa mnatetea.
 
Kuna vitabu 4 Mwenyezi Mungu ameviteremsha.
Quran - Amepokea Muhammad
Zaburi - Amepokea Ebrahim
Tourati - Amepokea Mussa
Injili - Amepokea Issa / Yesu.
Angalia hawa mitume asili yao ni wapi, halafu ndio ulete upuuzi wa wazungu,.

Alichopokea huyo Mohammed ndio kilimuongoza kufumua papuchi la katoto ka miaka 9
 
Raia huyo wa Iran bwana Hamidreza Mohammad Abraheh alidanganya uhamiaji kwamba ameoa Tanzania, kisha akaanza mipango yake ya hovyo kama kawaida yao...ila wamemshtukia na kumfurusha.

Sielewi kwanini hawa watu wasiishi kwa amani dunia hii, wamuabudu 'mungu' wao kwa njia za amani bila kuwa kero kwa wengine, kila wanapokwenda ni mabomu na ugaidi tu.

Dar es Salaam. An Iranian national known by the name of Mr Hamidreza Mohammad Abraheh has been deported from the country by the Tanzania Immigration Department after it was found that he was involved in planning and carrying out activities that endanger the security of the country and that of other nations (cross-border crime).
Mr Abraheh was granted a visa to live in Tanzania after he misled the Immigration Department that he was married in the country while presenting various government documents to prove that and Immigration failed to realise it.
The information about the arrest and extradition of the Iranian was given yesterday by Tanzania’s Commissioner for Immigration, Management and Border Control, Mr Samwel Mahirane while speaking to reporters in Dar es Salaam about the wave of immigrants in the country, who connive with Tanzanians to commit crimes.

Mr Mahirane said on December 6, this year (yesterday), the Immigration Department removed the Iranian with passport number H46000576 after it was found that he had committed various immigration offences.​

“He gave false information when applying for a visa, which is contrary to section 45(1)(a)(b)(c) and (h) of the Immigration Act Chapter 54, he submitted a forged marriage certificate that he claimed to have married a Tanzania citizen, whereby our authorities failed to prove the certificate and he used it repeatedly to come into the country,” he said. (Baraka Loshilaa)
The Iranian violated the terms of his tourist visa contrary to section 45(1)(m) of the Immigration Act Chapter 54 reference 2016 and managed to live in the country for six months without being detected.

Commissioner Mahirane said after the arrest of the Iranian nation and interrogated thoroughly, it was confirmed that he was a criminal who was determined to plan and carry out activities that could endanger the security of the country and that of other nations.
CC: Bwana Utam

Kwanini, asifunguliwe mashtaka?, Au awekwe ndani wakati uchunguzi wa suala lake ukiendelea.
Kama mtu alikuwa ana nia ovu anapokuwa huru anapata nafasi ya kutekeleza nia yake ovu kwa kutumia mbinu mbadala ( Inaonesha kuwa, hatuko serious na watu wa hatari kwa Ulinzi na Usalama wetu).
 
Kwanini, asifunguliwe mashtaka?, Au awekwe ndani wakati uchunguzi wa suala lake ukiendelea.
Kama mtu alikuwa ana nia ovu anapokuwa huru anapata nafasi ya kutekeleza nia yake ovu kwa kutumia mbinu mbadala ( Inaonesha kuwa, hatuko serious na watu wa hatari kwa Ulinzi na Usalama wetu).

Kuna mengine inawezekana yalifanywa nyuma ya pazia, taifa lake liliagiza arejeshwe wenyewe chakufanya, Iran inavyofahamika kwa maugaidi usitake malumbano nayo.
 
Waache wa-Iran wengine wote wamfukuze huyo mmoja, tatizo wafuasi wa hiyo dini huwa mumeshikiliwa akili, mmoja akifanya kosa mnatetea.
Hapa ambaye akili kashikiwa ni wewe,huwezi hoji,kafanya makosa ya kupanga ugaidi hapa tz,kwa nini umrudishe kwao badala kumfungulia mashtaka na kumfunga hapahapa!?..means huna ushahidi na makosa umevimba,au we akili yako ndogo inaonaje!?
 
Hapa ambaye akili kashikiwa ni wewe,huwezi hoji,kafanya makosa ya kupanga ugaidi hapa tz,kwa nini umrudishe kwao badala kumfungulia mashtaka na kumfunga hapahapa!?..means huna ushahidi na makosa umevimba,au we akili yako ndogo inaonaje!?

Taifa la kigaidi gaidi la Iran hauwezi ukashkilia raia wake wasikusababishie maugaidi zaidi, tatizo liko pale pale dini...
 
Unaweza onesha kwenye Quran alipofanya Hilo!?..

Imebidi nitazame jina lako "inamankusweke", yaani mumekaa kingono ngono kwenye kila kitu......
Huyo mzee wa miaka 53 hakua na aibu kusweka katoto ka miaka 9 na mijasho yote ya uarabuni leo mnamuabudu bila aibu....

1. Sahih al-Bukhari 810-870 BK, 256 BH

1a. "Alisimulia baba wa Hisham: Khadija alkufa miaka mitatu kabla ya Nabii kuondoka Madina. Alikaa huko miaka miwili au zaidi kisha akamuoa 'Aisha alipokuwa msichana mwenye umri wa miaka sita, na Muhammad aliikamilisha ndoa yao kwa tendo la unyumba wakati 'Aisha alipokuwa na umri wa miaka tisa."Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.236, uk.153.

1b. Habari hizo zipo pia kwenye Bukharijuzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.234, uk.152.

1c. "Alisimulia 'Urwa: Nabii aliandika (mkataba wa ndoa) na 'Aisha wakati msichana alipokuwa na umri wa miaka sita na aliikamilisha ndoa yake nay eye kwa tendo la unyumba wakati akiwa na miaka tisa na 'Aisha aliendelea kuwa naye kwa miaka tisa (yaani mpaka kifo cha Nabii). Bukhari juzuu ya 7 kitabu cha 62 sura ya 60 na.88, uk.65.

1d. Alisimulia 'Aisha: Nabii alikuwa akinisitiri kwa Rida (vazi lenye kukinga sehemu ya juu ya mwili) yake nilipokuwa nawaangalia Waethiopia waliokuwa wanacheza kwenye ua wa nyuma wa msikiti. (Niliendelea kuangalia) hadi nilipotosheka. Hivyo unaweza kuelewa ni jinsi gani binti mdogo (ambaye hajafikia umri wa kuvunja ungo) ambaye ana hamu ya kufurahia burudani alivyofanyiwa mambo ya namna hii. Bukhari juzuu ya7 kitabu cha 62 sura ya 115 na.163, uk.119.

1e. "Alisimulia 'Aisha: (mke wa Nabii) sikumbuki kama wazazi wangu waliamini dini yoyote ile isipokuwa dini ya kweli (yaani Uislam), na (sikumbuki) siku yoyote iliyopita bila sisi kutembelewa na Mtume wa Allah asubuhi na jioni." Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 4 na.245, uk.158. Kwa hiyo, 'Aisha ama hakuwa mkubwa ama hakuwa amezaliwa kabisa wakati wazazi wake walipo badili dini na kuwa Waislam. Jambo hili linaendana na yeye kuwa mtoto wakati ndoa yake na Muhammad ilipokamilishwa kwa tendo la unyumba.


2. Sahih Muslim 817-875 BK, 261 BH

Mkusanyiko huu unachukuliwa kuwa wa pili wenye kuaminika zaidi miongoni mwa Hadithi.

2a. "(3309) A'isha (Allah na apendezwe naye) aliripoti: Mjumbe wa Allah (amani na iwe juu yake) alinioa nilipokuwa na miaka sita, na niliingizwa nyumbani mwake nikiwa na miaka tisa. (A'isha) Aliendelea kusema: Tulikwenda Madina na nilishikwa na homa kwa muda wa mwezi mmoja, na nywele zangu zilianguka hadi kwenye ndewe (masikioni). Umm Ruman (mama yangu) alikuja kwangu na wakati huo nilikuwa kwenye bembea pamoja na wenzangu ninaocheza nao. Mama aliniita kwa sauti na nilikwenda kwake na sikujua kwa nini aliniita. Alinishika mkono na kunipeleka mlangoni, na nilikuwa ninasema: Ha, ha (kana kwamba nilikuwa natweta kwa mshangao), mpaka msukosuko wa moyo ulipomalizika. Alinipeleka kwenye nyumba ambako walikuwa wamekusanyika wanawake wa the Ansar. Walinibariki na kunitakia bahati njema na kusema: Uwe na sehemu katika mambo mazuri. Mama alinikabidhi kwao. Waliniosha kichwa changu na kuniremba na hapakuwa na kitu kilichonitisha. Mjumbe wa Allah (amani na iwe juu yake) alikuja pale asubuhi, na nilikabidhiwa kwake." Sahih Muslim juzuu ya 2 kitabu cha 8 sura ya 548 na.3309, uk.715-716.

2b. "(3310) A'isha (Allah na apendezwe naye) aliripoti: Mtume wa Allah (amani na iwe juu yake) alinioa nilipokuwa na miaka sita, na niliingizwa kwenye nyumba yake nilipokuwa na miaka tisa."
(3311) A'isha (Allah na apendezwe naye) aliripoti kuwa Mtume wa Allah (amani na iwe juu yake) alimuoa alipokuwa na miaka saba, na alipelekwa kwenye nyumba yake (Mtume) kama bibi arusi alipokuwa na miaka tisa, na hapa midoli (wanasesere) yalikuwa pamoja naye: na (Nabii Mtakatifu) alipokufa 'Aisha alikuwa na miaka kumi na nane." Sahih Muslim juzuu ya 2 kitabu cha 8 sura ya 548 na.3310, 3311, uk.716.
 
Back
Top Bottom