Raia wa Marekani wapiga kura kumchagua Rais mpya kati ya Donald Trump anayewania muhula wa pili au mpinzani wake Joe Biden

Raia wa Marekani wapiga kura kumchagua Rais mpya kati ya Donald Trump anayewania muhula wa pili au mpinzani wake Joe Biden

Biden kabeba Arizona, haya sasa kabakiza Nevada yenye points 6 tu na itamfikisha 244 baada ya hapo uko kwingine sijui atachomoa vipi kama matokeo hayatapinduliwa na hesabu za mwisho. Trump ana majimbo yenye points nyingi anaongoza
 
Biden kabeba Arizona, haya sasa kabakiza Nevada yenye points 6 tu na itamfikisha 244 baada ya hapo uko kwingine sijui atachomoa vipi kama matokeo hayatapinduliwa na hesabu za mwisho. Trump ana majimbo yenye points nyingi anaongoza
Wanasema joe kashinda majimbo ya trump mpaka sasa... Ila majimbo ya Hillary Clinton ya 2016 trump hajachomoa hata moja... Kwahiyo trump hayo majimbo bado haaminiki
 
Kashapewa muda bado anapitwa kura 25
Haya majimbo yaliyo na weak red, have not yet been called for anyone, but trump is leading in margin., the only state Biden is likely to win now is Nevada with only 6 electoral vote,

WI, PA, MI,NC,GA are red states
Screenshot_20201104-115306.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila nadhani kwa watanzania ni bora trump ashinde ili bwana pompeo aendeleze harakati zake
Democrats ndio wabaya kuliko Pompeo linapokuja swala la demokrasia.

Wangekuwa Dem hata wasingetoa matamko ni nondo tu.
 
Wanasema joe kashinda majimbo ya trump mpaka sasa... Ila majimbo ya Hillary Clinton ya 2016 trump hajachomoa hata moja... Kwahiyo trump hayo majimbo bado haaminiki
Jimbo moja tuu,Arizona ndio amefanikiwa kumpokonya Trump hadi sasa..
 
Haya majimbo yaliyo na weak red, have not yet been called for anyone, but trump is leading in margin., the only state Biden is likely to win now is Nevada with only 6 electoral vote,

WI, PA, MI,NC,GA are red statesView attachment 1619331

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaa ukijua wadems ndio wana idadi ya marais wengi..... Hiyo ya kusema jimbo la joe biden kushinda limebaki moja danganya watoto.... Angalia wachambuzi wao wa ndani wanasemaje.... Angalia mtandao wa financial news utaelewa
 
Kaa ukijua wadems ndio wana idadi ya marais wengi..... Hiyo ya kusema jimbo la joe biden kushinda limebaki moja danganya watoto.... Angalia wachambuzi wao wa ndani wanasemaje.... Angalia mtandao wa financial news utaelewa
Looks likes you are not well informed.


There has been:
Democratic 14
Republican 19

Presidents as of now!!!
 
Kaa ukijua wadems ndio wana idadi ya marais wengi. Hiyo ya kusema jimbo la joe biden kushinda limebaki moja danganya watoto. Angalia wachambuzi wao wa ndani wanasemaje. Angalia mtandao wa financial news utaelewa
Ni sawa na kusema trump atashinda calfonia au biden atashinda alabama/texas,which is less likely to happen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
What a messy country! thank God i never immigrated there!

Sadly I think there will be a lot of civil unrest after this election which Trump is inciting!!
 
Kaa ukijua wadems ndio wana idadi ya marais wengi..... Hiyo ya kusema jimbo la joe biden kushinda limebaki moja danganya watoto.... Angalia wachambuzi wao wa ndani wanasemaje.... Angalia mtandao wa financial news utaelewa
Aisee..kumbe
 
Ila nadhani kwa watanzania ni bora trump ashinde ili bwana pompeo aendeleze harakati zake
Hujamjua Biden wewe. Tazama rekodi yake akiishutumu South African apartheid govt kipindi ambacho serikali ya US kipindi kile haina shaka na RSA. Biden ni mkali usimuone ana matatizo ya kuongea na umri huu. Kwanza chama chake si unawaona kina Pelosi walivyo. Very strict hawa na hawakosi vita
 
Ashinde tu yoyote yule mi sioni hata mwenye afadhali hapo
 
Kwa demokrasia iliyopo Marekani lakini Bado mgombea anahofia kuibiwa kura. Hii ni aibu kwa taifa kubwa kama hilo.
 
Back
Top Bottom