Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwezi kuficha maradhi acha ushamba hamna mtu atanyamaza kuficha maumivu ya kupoteza ndugu na kwa maendelea haya ya tehama huwezi kumzuia MTU akitaka kusema ya moyoni, kwa hiyo wewe jua kwambaa korona Tanzania imeshaisha shule zimefunguliwa hakuna mwanafunzi aliyefariki.watu wanaendelea na kazi zao.Mimi nawashangaa wanaotoa povu hapa, hivi nani anaijua status ya korona hapa nchini? Mmejifanya vichwa ngumu, hampimi, hamjaweka system yoyote inayoeleweka; wagonjwa wa korona nasikia sasa hivi wakipatikana wanaambiwa waende waugulie nyumbani, isije julikana kuna cases hospitali, wanaofariki wanazikwa tu kama kawaida na akifia hospitali unaambiwa beba maiti yako ukazike! Hata ningekuwa mimi ningewawekea pini tu! India na Urusi wanapima, na hao watakokuja watakuwa wamepimwa, hata Marekani na Brazil wanapima, waje tu! Nyinyi hamjielewi, period!
Korona ipo na watu bado wanakufa, hilo halina mjadala; kwamba kesi zimepungua na hivyo ku-achieve herd immunity nalo halina mjadala; lakini, hali halisi iko wapi? Nani anajua?
Wa Tz wachache unaowajua si wanajuana na wa Tz wengi wanaojua wengine na wengine, like a fvckin chain, something you can't even decipher, haiwezekani kuficha kitu kama icho, kama kweli kinatokea, unaogopa kuwauliza sababu unajua jibu utalopewa which will make u and your government look dumb.
Mimi nawashangaa wanaotoa povu hapa, hivi nani anaijua status ya korona hapa nchini? Mmejifanya vichwa ngumu, hampimi, hamjaweka system yoyote inayoeleweka; wagonjwa wa korona nasikia sasa hivi wakipatikana wanaambiwa waende waugulie nyumbani, isije julikana kuna cases hospitali, wanaofariki wanazikwa tu kama kawaida na akifia hospitali unaambiwa beba maiti yako ukazike! Hata ningekuwa mimi ningewawekea pini tu! India na Urusi wanapima, na hao watakokuja watakuwa wamepimwa, hata Marekani na Brazil wanapima, waje tu! Nyinyi hamjielewi, period!
Korona ipo na watu bado wanakufa, hilo halina mjadala; kwamba kesi zimepungua na hivyo ku-achieve herd immunity nalo halina mjadala; lakini, hali halisi iko wapi? Nani anajua???
Hivi wewe unaweza kujamiana na MTU anayekataa kupima gono?
Nchi yetu haiaminiki huko nje, maana haipimi watu wake huku ikijiaminisha imepona kwa maombi ya Gwajima
Wamekufa wapi wewe? Corona imeshaisha, ni hao mebeberu wanaforce iwepo ili waje wauze vaccine zaoMimi nawashangaa wanaotoa povu hapa, hivi nani anaijua status ya korona hapa nchini? Mmejifanya vichwa ngumu, hampimi, hamjaweka system yoyote inayoeleweka; wagonjwa wa korona nasikia sasa hivi wakipatikana wanaambiwa waende waugulie nyumbani, isije julikana kuna cases hospitali, wanaofariki wanazikwa tu kama kawaida na akifia hospitali unaambiwa beba maiti yako ukazike! Hata ningekuwa mimi ningewawekea pini tu! India na Urusi wanapima, na hao watakokuja watakuwa wamepimwa, hata Marekani na Brazil wanapima, waje tu! Nyinyi hamjielewi, period!
Korona ipo na watu bado wanakufa, hilo halina mjadala; kwamba kesi zimepungua na hivyo ku-achieve herd immunity nalo halina mjadala; lakini, hali halisi iko wapi? Nani anajua???
Mimi nawashangaa wanaotoa povu hapa, hivi nani anaijua status ya korona hapa nchini? Mmejifanya vichwa ngumu, hampimi, hamjaweka system yoyote inayoeleweka; wagonjwa wa korona nasikia sasa hivi wakipatikana wanaambiwa waende waugulie nyumbani, isije julikana kuna cases hospitali, wanaofariki wanazikwa tu kama kawaida na akifia hospitali unaambiwa beba maiti yako ukazike! Hata ningekuwa mimi ningewawekea pini tu! India na Urusi wanapima, na hao watakokuja watakuwa wamepimwa, hata Marekani na Brazil wanapima, waje tu! Nyinyi hamjielewi, period!
Korona ipo na watu bado wanakufa, hilo halina mjadala; kwamba kesi zimepungua na hivyo ku-achieve herd immunity nalo halina mjadala; lakini, hali halisi iko wapi? Nani anajua?
Wewe mbuzi, taarifa za watu kufa unazitolea wapi kama zimefichwa?Mimi nawashangaa wanaotoa povu hapa, hivi nani anaijua status ya korona hapa nchini? Mmejifanya vichwa ngumu, hampimi, hamjaweka system yoyote inayoeleweka; wagonjwa wa korona nasikia sasa hivi wakipatikana wanaambiwa waende waugulie nyumbani, isije julikana kuna cases hospitali, wanaofariki wanazikwa tu kama kawaida na akifia hospitali unaambiwa beba maiti yako ukazike! Hata ningekuwa mimi ningewawekea pini tu! India na Urusi wanapima, na hao watakokuja watakuwa wamepimwa, hata Marekani na Brazil wanapima, waje tu! Nyinyi hamjielewi, period!
Korona ipo na watu bado wanakufa, hilo halina mjadala; kwamba kesi zimepungua na hivyo ku-achieve herd immunity nalo halina mjadala; lakini, hali halisi iko wapi? Nani anajua???
Matusi ya nini ndugu yangu? Sayansi haiendani na matusi? Tatizo Lumumba mkikosa reasoning mnabaki kutukana tuu! Nina ndugu waliokuafa kwa korona na yule aliyekutwa positive na kuambiwa aende nyumbani! Pia nina jamaa na marafiki wanaongea! Sasa wewe kama huyajui haya, basi ungejitahidi kufanya utafiti kidogo, au wasiliana na madaktari husika! Nyinyi na huyo baba yenu akili zenu sijui mmezitupa wapi? Kweli unaamini Tanzania ni tofauti na nchi nyingine zote zinazoripoti kesi za korona ikiwemo majirani zetu? Pole sana.wewe mbuzi, taarifa za watu kufa unazitolea wapi kama zimefichwa???
kama unatafuta kampany ya basha wa kikenya angalia kwa namna nyingine, sio kupitia corona.
Sent from my G3226 using JamiiForums mobile app
Sisi na Uganda tupo wamoja sana acha uongo!! Mtanyooka tu sisi hatuna mpango kabisa na Nyang'ao hata USA hawataki wananchi wao waje kwenu na mnaendelea kufa na corona tu pamoja na karantine na lockdown zenu wakati sisi tunapiga kazi kama kawaida!! Watalii wanaendelea kuja TZ tu.... Mtanyooookaaa!!Wenyewe mlijichokea kwenye vita dhidi ya corona na kuachia raia wenu wahangaike wenyewe na kuifanya corona iwe kama ugonjwa wa aibu kwenu kwamba mtu akiumwa corona analazimika kuficha na kutesekea kwa ndani, halafu mnataka mlazimishe kuingia nchi za watu. Nilipenda sana alichofanya Museveni, kawawekea jeshi kabisa mpakani, huo ndio uongozi uliodhamiria kulinda watu wake.
Familia yako imekufa na corona?Matusi ya nini ndugu yangu? Sayansi haiendani na matusi? Tatizo Lumumba mkikosa reasoning mnabaki kutukana tuu! Nina ndugu waliokuafa kwa korona na yule aliyekutwa positive na kuambiwa aende nyumbani! Pia nina jamaa na marafiki wanaongea! Sasa wewe kama huyajui haya, basi ungejitahidi kufanya utafiti kidogo, au wasiliana na madaktari husika! Nyinyi na huyo baba yenu akili zenu sijui mmezitupa wapi? Kweli unaamini Tanzania ni tofauti na nchi nyingine zote zinazoripoti kesi za korona ikiwemo majirani zetu? Pole sana.
Unasubiri nini kuugua nawewe[emoji38][emoji38][emoji38].Matusi ya nini ndugu yangu? Sayansi haiendani na matusi? Tatizo Lumumba mkikosa reasoning mnabaki kutukana tuu! Nina ndugu waliokuafa kwa korona na yule aliyekutwa positive na kuambiwa aende nyumbani! Pia nina jamaa na marafiki wanaongea! Sasa wewe kama huyajui haya, basi ungejitahidi kufanya utafiti kidogo, au wasiliana na madaktari husika! Nyinyi na huyo baba yenu akili zenu sijui mmezitupa wapi? Kweli unaamini Tanzania ni tofauti na nchi nyingine zote zinazoripoti kesi za korona ikiwemo majirani zetu? Pole sana.
nataka nimshauri nayeye afe.Familia yako imekufa na corona??
Huyo nae si fara tu kama lisu, vichaa kama hawa hawakosekani, sasa linasema wanakufia hospital na majumbani pasipo kupimwa, anajuaje ni Corona imewaua, lisu linasema kuna Corona, hajawahi kuvaa barakoa, mikutano yake zero distance. Sasa hao ni watu au nyumbu.Hoshea aliyeandika hili bango ni Mrundi wa wapi....maana najua utakatalia sio Mtanzania kwa ulivyo na jazba.
Wenyewe mlijichokea kwenye vita dhidi ya corona na kuachia raia wenu wahangaike wenyewe na kuifanya corona iwe kama ugonjwa wa aibu kwenu kwamba mtu akiumwa corona analazimika kuficha na kutesekea kwa ndani, halafu mnataka mlazimishe kuingia nchi za watu. Nilipenda sana alichofanya Museveni, kawawekea jeshi kabisa mpakani, huo ndio uongozi uliodhamiria kulinda watu wake.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Usijipendekeze, hatuna raia km ww hapa Tz.. We Kenyan then ati wajifanya mTz.
Uchumi wa kati umewauma sana.
Sisi na Uganda tupo wamoja sana acha uongo!! Mtanyooka tu sisi hatuna mpango kabisa na Nyang'ao hata USA hawataki wananchi wao waje kwenu na mnaendelea kufa na corona tu pamoja na karantine na lockdown zenu wakati sisi tunapiga kazi kama kawaida!! Watalii wanaendelea kuja TZ tu.... Mtanyooookaaa!!
Huyo nae si fara tu kama lisu, vichaa kama hawa hawakosekani, sasa linasema wanakufia hospital na majumbani pasipo kupimwa, anajuaje ni Corona imewaua, lisu linasema kuna Corona, hajawahi kuvaa barakoa, mikutano yake zero distance. Sasa hao ni watu au nyumbu
Hii picha ina uhusiano gani na korona? Ina maana hapa TZ hakuna sehemu kama hizi?