Raia wa nchi 130 wataingia Kenya bila kuwekwa karantini, Tanzania haimo

Raia wa nchi 130 wataingia Kenya bila kuwekwa karantini, Tanzania haimo

Jamaa angu we si Tanzanian, tuachie maisha yetu.

Sisi tumemuomba Mungu katuondelea corona nyie mmeomba msaada wa wazungu haya endeeleni na misaada yenu.
Mimi ni mtanzania hakika; ila ni msema kweli, siyo nyie danganya danganya tu mkifuata mawazo ya huyo kiongozi anayetupeleka gizani!
 
Nonsense kutoka kwa Punga la kibera
Matusi ya nini ndugu yangu? Sayansi haiendani na matusi? Tatizo Lumumba mkikosa reasoning mnabaki kutukana tuu! Nina ndugu waliokuafa kwa korona na yule aliyekutwa positive na kuambiwa aende nyumbani! Pia nina jamaa na marafiki wanaongea! Sasa wewe kama huyajui haya, basi ungejitahidi kufanya utafiti kidogo, au wasiliana na madaktari husika! Nyinyi na huyo baba yenu akili zenu sijui mmezitupa wapi? Kweli unaamini Tanzania ni tofauti na nchi nyingine zote zinazoripoti kesi za korona ikiwemo majirani zetu? Pole sana.
 
Mimi nawashangaa wanaotoa povu hapa, hivi nani anaijua status ya korona hapa nchini? Mmejifanya vichwa ngumu, hampimi, hamjaweka system yoyote inayoeleweka; wagonjwa wa korona nasikia sasa hivi wakipatikana wanaambiwa waende waugulie nyumbani, isije julikana kuna cases hospitali, wanaofariki wanazikwa tu kama kawaida na akifia hospitali unaambiwa beba maiti yako ukazike! Hata ningekuwa mimi ningewawekea pini tu! India na Urusi wanapima, na hao watakokuja watakuwa wamepimwa, hata Marekani na Brazil wanapima, waje tu! Nyinyi hamjielewi, period!

Korona ipo na watu bado wanakufa, hilo halina mjadala; kwamba kesi zimepungua na hivyo ku-achieve herd immunity nalo halina mjadala; lakini, hali halisi iko wapi? Nani anajua???
Subir tarehe 22 utajua kama korona ipo au hamna na kama hautagundua korona hamna bc utakua unawaz Kwa kutumia kiongo cha kukalia
 
unasubiri nini kuugua nawewe[emoji38][emoji38][emoji38].

nyumbu kabisa.

Sent from my G3226 using JamiiForums mobile app
Mbwa huyo tena anatangaza kuna korona watu wanajifia sijui yeye sio mtu wa kupata hiyo korona iliozagaa kila kona maana anaongea upumbavu huo huku akizurula na wala avai barakoa wala hana sanitizer mfukoni lakini anatangaza watu wanajifia Kwa korona sasa sijui yeye anasubiri nini au ndio mwenzetu sio mtu mbwa?
 
Mimi nawashangaa wanaotoa povu hapa, hivi nani anaijua status ya korona hapa nchini? Mmejifanya vichwa ngumu, hampimi, hamjaweka system yoyote inayoeleweka; wagonjwa wa korona nasikia sasa hivi wakipatikana wanaambiwa waende waugulie nyumbani, isije julikana kuna cases hospitali, wanaofariki wanazikwa tu kama kawaida na akifia hospitali unaambiwa beba maiti yako ukazike! Hata ningekuwa mimi ningewawekea pini tu! India na Urusi wanapima, na hao watakokuja watakuwa wamepimwa, hata Marekani na Brazil wanapima, waje tu! Nyinyi hamjielewi, period!

Korona ipo na watu bado wanakufa, hilo halina mjadala; kwamba kesi zimepungua na hivyo ku-achieve herd immunity nalo halina mjadala; lakini, hali halisi iko wapi? Nani anajua???
Wewe mwenzetu mbwa we?
 
Wenyewe mlijichokea kwenye vita dhidi ya corona na kuachia raia wenu wahangaike wenyewe na kuifanya corona iwe kama ugonjwa wa aibu kwenu kwamba mtu akiumwa corona analazimika kuficha na kutesekea kwa ndani, halafu mnataka mlazimishe kuingia nchi za watu. Nilipenda sana alichofanya Museveni, kawawekea jeshi kabisa mpakani, huo ndio uongozi uliodhamiria kulinda watu wake.
Kwa nchi gani akati uhuru wao tuliwapa sisi.......ogopa Tanzania maana ni taifa teule la Mungu
 
Matusi ya nini ndugu yangu? Sayansi haiendani na matusi? Tatizo Lumumba mkikosa reasoning mnabaki kutukana tuu! Nina ndugu waliokuafa kwa korona na yule aliyekutwa positive na kuambiwa aende nyumbani! Pia nina jamaa na marafiki wanaongea! Sasa wewe kama huyajui haya, basi ungejitahidi kufanya utafiti kidogo, au wasiliana na madaktari husika! Nyinyi na huyo baba yenu akili zenu sijui mmezitupa wapi? Kweli unaamini Tanzania ni tofauti na nchi nyingine zote zinazoripoti kesi za korona ikiwemo majirani zetu? Pole sana.
Wakisharipoti ndio ugonjwa utaisha? Hao unao wasifia omba list ya wanaokufa kwa njaa na wanaokufa kwa kupigwa na polisi kuotokana na kuto kutii kukaa ndani sababu familia zao zinahitaji chakula.

Usifanye sababu fulani kafanya,FANYA HUKU UKIWA NA SABABU YA KUFANYA KITU HIKO.
 
Tulazimishe kuja Kenya Kuna Nini Cha ziada?
Ndugu zenu wanalia huku permits renewal zinakuwa rejected na hakuna new application inayokatiza bila ya kufyekwa

Sasa mbona mnapiga makelele mkae kwenu na njaa zenu msubiri corona iishe ndio muanze kutangatanga.
 
Kwa nchi gani akati uhuru wao tuliwapa sisi.......ogopa Tanzania maana ni taifa teule la Mungu

Umaskini unawasumbbua sana nyie, mkae kwenu msubiri corona iishe, jaribu kuinga Uganda, wamewawekea wanajeshi kabisa.
 
Nyie ni maskini wa kutupwa
Sasa mbona mnapiga makelele mkae kwenu na njaa zenu msubiri corona iishe ndio muanze kutangatanga.
tapatalk_1594367514521.jpeg
 
Mtuondolee njaa zenu huku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]
Muwe kimya kwa majirani zenu wote maana mumetengwa, Uganda kawawekea wanajeshi kabisa, Rwanda ndio naskia hamtakiwi kabisa, na ndio taswira kote hadi Zambia, Malawi, Msumbiji.
Burundi walijifanya kuwaiga wakapoteza rais.
tapatalk_1594367514521.jpeg
 
Maskini ya mungu aibu naona mimi ndo maana mkaitwa nyani[emoji85][emoji85][emoji85]


Muwe kimya kwa majirani zenu wote maana mumetengwa, Uganda kawawekea wanajeshi kabisa, Rwanda ndio naskia hamtakiwi kabisa, na ndio taswira kote hadi Zambia, Malawi, Msumbiji.
Burundi walijifanya kuwaiga wakapoteza rais.
tapatalk_1594367514521.jpeg
 
Muwe kimya kwa majirani zenu wote maana mumetengwa, Uganda kawawekea wanajeshi kabisa, Rwanda ndio naskia hamtakiwi kabisa, na ndio taswira kote hadi Zambia, Malawi, Msumbiji.
Burundi walijifanya kuwaiga wakapoteza rais.
Mbona umetaja hao sema tumetengwa dunia nzima mpaka marekani wametutenga
 
Umaskini unawasumbbua sana nyie, mkae kwenu msubiri corona iishe, jaribu kuinga Uganda, wamewawekea wanajeshi kabisa.
Huyo Museveni bwana wako sisi ndio tulimpa nchi ajiwezi kwa lolote kazeeka mpaka zivu.........mishavu kama kalimati la jero.......na wewe una utajili gani ......kira siku mko Tanzania kuja kuomba kazi.......napofanyia mimi kazi mko kama arobaini.........mkifukuzwa mnaanza kulia lia.......subiri jibu kutoka juu utaufuraiya mchezo....
 
Huyo Museveni bwana wako sisi ndio tulimpa nchi ajiwezi kwa lolote kazeeka mpaka zivu.........mishavu kama kalimati la jero.......na wewe una utajili gani ......kira siku mko Tanzania kuja kuomba kazi.......napofanyia mimi kazi mko kama arobaini.........mkifukuzwa mnaanza kulia lia.......subiri jibu kutoka juu utaufuraiya mchezo....

Nachosema thubutu kuvuka kinyemela, kuna watu wanaitwa UPDF pale, unarushwa kichura, lazima mpanue midomo, sijui kwanini hamvumilii kwenu na njaa zenu hizo mnalazimishia kuingia kwenye nchi za watu.
 
Back
Top Bottom