Tuje kutafuta nini uko akati uhuru tuliwapa sisi.Nachosema thubutu kuvuka kinyemela, kuna watu wanaitwa UPDF pale, unarushwa kichura, lazima mpanue midomo, sijui kwanini hamvumilii kwenu na njaa zenu hizo mnalazimishia kuingia kwenye nchi za watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuje kutafuta nini uko akati uhuru tuliwapa sisi.Nachosema thubutu kuvuka kinyemela, kuna watu wanaitwa UPDF pale, unarushwa kichura, lazima mpanue midomo, sijui kwanini hamvumilii kwenu na njaa zenu hizo mnalazimishia kuingia kwenye nchi za watu.
Huyo jamaa ni MnyarwandaUsijipendekeze, hatuna raia km ww hapa Tz.. We Kenyan then ati wajifanya mTz.
Uchumi wa kati umewauma sana.
Master of information spin, tangu lini UPDF ikawa mpakani? Nadhani hujui masuala ya international relations, nchi moja ikiweka Askari mpakani ni sawa na kutangaza Vita na nchi inayopatikana nayo...unless kuwe na mawasiliano na maelewano, stupid.Mko wamoja kiu kikudanganye uthubutu kuingia kwa kinyemela uone utakavyochezea vichura, UPDF wamewekwa mpakani kila unayeingia kwao lazima upanue mdomo utumbukizwe kifaa cha kupima corona, ila Mseveni huwa sipendi sera zake lakini kwa hili ameonyesha ni kiongozi hodari na asiyeyumbishwa.
Master of information spin...tangu lini UPDF ikawa mpakani? Nadhani hujui masuala ya international relations...nchi moja ikiweka Askari mpakani ni sawa na kutangaza Vita na nchi inayopatikana nayo...unless kuwe na mawasiliano na maelewano....stupid
Kenya mnachotaka kwetu hakijulikani. Ambao wana cases nyingi za Corona mnawaruhusu. Ambao wana cases kidogo mnawaruhusu. Je, mnataka tukipima iwasaidie nini?Watz bana, kama hamtaki kupimwa na hamtaki kuwekwa karantini pia, si mbaki huko huko kwenu Kolomije. Simple!
Ongea vitu current acha kuleta habari za May. As of now hakuna chochote mpakani mwa tanzania na Uganda. We are friends na usijaribu kuhamisha chuki.Nachosema thubutu kuvuka kinyemela, kuna watu wanaitwa UPDF pale, unarushwa kichura, lazima mpanue midomo, sijui kwanini hamvumilii kwenu na njaa zenu hizo mnalazimishia kuingia kwenye nchi za watu.
Ongea vitu current acha kuleta habari za May. As of now hakuna chochote mpakani mwa tanzania na Uganda. We are friends na usijaribu kuhamisha chuki
Ujinga wa kuji incline kwenye hearsay hao wote tunatrade nao na hivi navyozungumza na wewe jamaa zangu watatu wapo kwenye hizo nchi kupeleka mzigo kutoka bandari ya salama. Nyinyi mnahororojoka humu watu wenu wanakufa njaa na umasikini mwingi. Lisheni watu wenu acheni kujipendekeza kwa mabeberu. Beberu ukijipendekeza linakufanya tu.Muwe kimya kwa majirani zenu wote maana mumetengwa, Uganda kawawekea wanajeshi kabisa, Rwanda ndio naskia hamtakiwi kabisa, na ndio taswira kote hadi Zambia, Malawi, Msumbiji.
Burundi walijifanya kuwaiga wakapoteza rais.
Ipo siku for sure utakuja kamatwa kwa uzushi na uchonganishi wako. This world has become a small village due to advancement and revolution in communication technology...this is no more a hiding place for rumour mongers like you.Tatizo wakazi wa Buza huwa hamtoki, mnategemea hadithi za vijiweni tu na kuja kuandika andika humu.....Uganda wameweka jeshi la UPDF mpakani ili kuwakamata Watanzania wenye njaa kali wanaong'ang'ania kuingia kwao, soma hizi taarifa hapa, na kama unajua kingereza au utafute mtu akutafsirie hii " task force has received reinforcements from UPDF Armored Brigade-Masaka to intensify day and night patrols across porous borders to arrest the intruders from Tanzania. "
Five Tanzanians arrested for violating COVID-19 guidelines in Rakai
Such a story can be written by anybody who is paid to spread rumours. Mwanzoni tulisoma kuwa Tanzania kuna mass Graves. Walipiga picha makaburi ya kinondoni wakaandika kuwa ni ya waliokufa kwa Corona. Wakawahoji madaktari fake waliojiita ni wa Muhimbili lakini hiyo haikusaidia kitu. Sasa unasema UPDF iko mpakani mwa Tanzania. Huwezi kutofautisha Kati ya polisi na UPDFTatizo wakazi wa Buza huwa hamtoki, mnategemea hadithi za vijiweni tu na kuja kuandika andika humu.....Uganda wameweka jeshi la UPDF mpakani ili kuwakamata Watanzania wenye njaa kali wanaong'ang'ania kuingia kwao, soma hizi taarifa hapa, na kama unajua kingereza au utafute mtu akutafsirie hii " task force has received reinforcements from UPDF Armored Brigade-Masaka to intensify day and night patrols across porous borders to arrest the intruders from Tanzania. "
Five Tanzanians arrested for violating COVID-19 guidelines in Rakai
Ujinga wa kuji incline kwenye hearsay hao wote tunatrade nao na hivi navyozungumza na wewe jamaa zangu watatu wapo kwenye hizo nchi kupeleka mzigo kutoka bandari ya salama. Nyinyi mnahororojoka humu watu wenu wanakufa njaa na umasikini mwingi. Lisheni watu wenu acheni kujipendekeza kwa mabeberu. Beberu ukijipendekeza linakufanya tu.
Ujinga wa kuji incline kwenye hearsay hao wote tunatrade nao na hivi navyozungumza na wewe jamaa zangu watatu wapo kwenye hizo nchi kupeleka mzigo kutoka bandari ya salama. Nyinyi mnahororojoka humu watu wenu wanakufa njaa na umasikini mwingi. Lisheni watu wenu acheni kujipendekeza kwa mabeberu. Beberu ukijipendekeza linakufanya tu.
Hawa wajinga ndo wanatafuta ligi. Ukweli ni kwamba wakiitaka hii mechi wao ndio watapoteza zaidi.Wenzetu hapo wame target UTALII ili wapate pesa. Utaona Nchi nyingi hapo ni zile zinazoonekana zinaweza kuleta watalii kenya.
Hii ya kutembeleana itakuwa resolved kwa Kuwa Kenya inaitegemea Tanzania kuliko Tanzania kuitegemea Kenya. Wakenya kwa maelf wapo TZ wanafanya kazi na Biashara; NAMAANISHA, Wakenya wanategemea Tanzania kiasi kikubwa kwa Chakula na Biashara.
Hata Hivyo TZ inategemea kenya kama soko la mazao ya kilimo. ILA kwa ujirani mwema ni vizuri kuresolve na sio kutafuta mshindi
Hivi kuna mtalii mwenye akili timamu ataacha kwenda TZ kwenye usalama na bila Corona aende Kenya ambako kila siku wanatangaza New cases na vifo vya Corona?Kenya imetoa nchi 130 ambazo raia wake wataruhusiwa kuingia nchini humo bila masharti ya raia hao kukaa karantini.
Katika orodha ya nchi hizo Tanzania haimo. Hii ikiwa na maana kwamba raia wa Tanzania atakayeingia Kenya atalazimika kukaa karantini.
Baadhi ya raia wa nchi wanaoruhusiwa kuingia Kenya bila masharti ya kukaa karantini ni India ambayo ni ya tatu kwa wingi wa maambukizi ya #COVID19 na Urusi ambaye ni ya nne kwa maambukizi.
====
kwaivo kenya tukaacha kutangaza leo corona inaisha gafla ?? ujinga uliopo tanzania ni level nyingine kabisaHivi kuna mtalii mwenye akili timamu ataacha kwenda TZ kwenye usalama na bila Corona aende Kenya ambako kila siku wanatangaza New cases na vifo vya Corona?
Saikolojia ya binadamu yeyote huwa ni kuchagua usalama wake zaidi. Hiyo mambo ya kupima pima pima na kutangaza namba mpya za maambukizi kila siku ndio kitanzi cha hao jirani...
[emoji38][emoji38][emoji38]kwaivo kenya tukaacha kutangaza leo corona inaisha gafla ?? ujinga uliopo tanzania ni level nyingine kabisa
Hivyo ndivyo Tanzania imefanya na matokeo ndio kama unavyoona.kwaivo kenya tukaacha kutangaza leo corona inaisha gafla ?? ujinga uliopo tanzania ni level nyingine kabisa