kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Sawa ,heading ibadilishwe ,TAIFA la marekani haliwezi kua raia wa namna hiyo.......Huyu mtu sio kwamba hajulikani na serikali,isipokuwa ameamua kutoa msaada lakini asitajwe jina.
Yaani uwe tajiri hivyo halafu serikali na Marekani isikujue halafu bado wapokee msaada wako tena Ubalozini,haiwezekani