DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuna mmoja humu alitaka watutsi watambulike na serikali ya Tanzania kama makabila mengine yanavyotambulika imagine!

Inaonekana Watutsi ndo wengi kuliko wahutu humu ndani 💀
Mtusi akipata uraia wa Tanzania kwa kufuata sheria wakati anapewa NIDA yake, passport, huduma za police n.k akiulizwa kabila atajitambulisha kwa kabila gani??
 
Umeambiwa Warwanda wamemiliki ardhi kubwa huko Tabora, ambapo ni kinyume cha katiba Kwa mtu asiye raia kumiliki ardhi Tanzania
Wapo tu kwenye mabaa
CDF alisema wengine wamepenya hadi kwenye nafasi nyeti serikalini
Hali ni mbaya
Wakiiachia hiyo ardhi wewe utaweza kuimiliki??
 
Andika hapahapa kwa faida ya wengi
Ni nani atakayenilipa nikiandika?

Nimeomba namba yako ili kurahisisha kiherehere chako cha kuuliza maswali ya kifala.

Weka namba nikuthibitishie, na kama huweki namba basi mtafute mkwewe na afande Mwema akuthibitishie....

Mie sio mtu wa kukusanya vithibiti na kuwapelekea watu wasiowajibika kwa nafasi zao ilhali wanalipwa mshahara.
 
Nchi zote zina wahamiaji haramu, Wahamiaji haramu hapa Tanzania wapo kutoka mataifa yote yanayoizunguka, wewe kwa nini umeamua kujikita na Wanyarwanda tu?? Huwaoni Wakongo waliojaa tele Tanzania??

Pia huna uelewa hata chembe wa chanzo cha migogoro inayohusisha Rwanda, Congo, Uganda na Burundi.
 
Uwe unaandika vitu ukiwa na ushahidi sio unaandika kama aliye kwenye kijiwe cha kahawa
 
Mkuu hukusikia ile ripoti ya CDF? hilo linajulikana mpaka juu.
 
Wakiiachia hiyo ardhi wewe utaweza kuimiliki??
Nisipoimiliki Mimi atamiliki Mtanzania mwingine
Kwanini unalazimisha ardhi ya Tanzania imilikiwe na Warwanda kinyume cha katiba
Wewe unaweza kwenda Rwanda kumiliki ardhi Kwa Kagame
 
Warwanda kila walipofika wameleta vita na uasi,
Wamepeleka vita Congo, Burundi, Uganda na Mozambique
 
Nadhani kwa sasa Zambia ndo inatakiwa ilalamike kuhusu wahamiaji haramu... huko Lusaka na Copperbelt wamejaa watanzania, wanyarwanda na warundi. Wapo wengi wasio na vibali. Bongo udhibiti ni mkali sana.
 
Nadhani kwa sasa Zambia ndo inatakiwa ilalamike kuhusu wahamiaji haramu... huko Lusaka na Copperbelt wamejaa watanzania, wanyarwanda na warundi. Wapo wengi wasio na vibali. Bongo udhibiti ni mkali sana.
Huna unalolijua wewe
Hapa Tanzania Warwanda ni wengi mno
Wanamiliki ardhi, wanazaliana hapa, Watoto wao wanasoma hadi vyuo vikuu na mikopo wanapata, na ajira wanapata serikalini
 
Huna unalolijua wewe
Hapa Tanzania Warwanda ni wengi mno
Wanamiliki ardhi, wanazaliana hapa, Watoto wao wanasoma hadi vyuo vikuu na mikopo wanapata, na ajira wanapata serikalini
Wewe mpumbavu unanijua hadi useme sina ninalolijua? Ache ungese. Punguza roho mbaya. Kuna kijana wa kitanzania kaondoka hapa mwaka 2019 na kwenda Marekani akajiunga na jeshi. Kwa sasa ni mojawapo ya watu wa kwenye msafara wa Rais. Ukiwa na exposure utapunguza hiyo roho yako mbaya. Maku wewe.
 
We mrembo una mimba changa?
Alienda huko Marekani bila vibali.?
Kwaiyo kwako kuwa na roho nzuri ni kuruhusu raia wa kigeni kuingia nchini bila passport au vibali.
 
Kenya ndo wamejazana hatari wanyarwanda, yani kama kasarani streets Nairobi imejaa wao tu kama uko rwanda
 
Kigoma imekuwa chaka lao!
Sijajua Taifa langu eidha limeamua kuacha uhamiaji holela au mamlaka zimeshindwa kupambana na wimbi la wahamiaji MI

Warundi na Wanyaru ni wengi sana Kigoma, in fact wao ndio cheap Labor huko kigoma
Hapo Kigoma ndio sehemu ya kufikia kwanza kabla ya kuendelea na safari.
Mwaka juzi nilisafiri na basi kutoka BK kuja Dar..nilibaini wakongo wanne na walitoka Kigoma-Bk then Dar bila karatasi wala kitambulisho chochote.
 
mbona watu wenye asili ya kutoka malawi wamejazana kuanzia tegeta kuja huku mbuyuni sala sala na africana mbezi mbona hauoji hili
 
Uwe unaandika vitu ukiwa na ushahidi sio unaandika kama aliye kwenye kijiwe cha kahawa
Na wewe usiwe mtu wa kusubiri uletewe uthibitisho kama mlemavu wa ubongo.

Jiongeze kujua yaliyomo yamo tupo global village kila kitu ni available muda wote, ukitaka ukae tu uletewe utalatewa uzushi kama wa CCM kuvunja katiba
 

Umechanganya madesa.

Sijasema huyo banker ni CIA huyo niliweka habari yake baada ya mitanganyika ya humu kusema hakuna wabongo Rwanda. Hizo ni habari mbili tofauti. Relax nisome tena this went over your head.

Unabisha kwamba wabongo hawapo CIA au FBI? Vp US army, navy na air force?

Kuna wabongo wengi sana tunajuana nao na wengine tumepita hizo sehemu. Check out YT utajionea.

Si wabongo tu hata watu wenye asili na uraia pacha wa nchi zingine waliopo kwenye hizo taasisi ni wengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…