DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kigoma imekuwa chaka lao!
Sijajua Taifa langu eidha limeamua kuacha uhamiaji holela au mamlaka zimeshindwa kupambana na wimbi la wahamiaji MI

Warundi na Wanyaru ni wengi sana Kigoma, in fact wao ndio cheap Labor huko kigoma

Kwahiyo Rwanda iliyoendelea, inayotuma ma spy na kuhatarisha usalama wenu ndo wamekua cheap labor wenu? Info wanazopata kijasusi haziwasaidii 😂
 
Watanzania tuna wivu wa kipumbavu sana,mleta mada akiwa miongoni mwa haa wapumbavu ni ujinga na upumbavu kwa taifa kubwa kama taifa kulihofia taifa dogo kama Rwanda.

Hakuna watu waoga hii East Africa kama Watanzania.

Word.
 

Mtu kuongea Kinyarwanda hiyo tu inatosha kumfanya mtu kuwa mhamiaji haramu? Hayo ndo madai ya mleta uzi.

Mimi nikiongea Kiswahili London downtown, does that make me an illegal immigrant?

Umewahi kusikia malalamiko ya wabongo against wamalawi, wacongo, wazambia nk zaidi ya kelele against Rwanda na Kenya?
 
Nadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
Ushachelewa mpaka aje rais mwenye akili hio ila kwa kupitia Mapinduzi ya Chama hakuna rais atakaefanya hivyo
 

Kama unajua hawawezi pewa kazi nchini nini kinakuuma? Kwanini uliamini maneno ya CDF ambayo hadi leo hayana proof?

Unajua mrwanda au mgeni yeyote akiwa naturalized ana haki zote kama raia wengine?

Wabongo walio wengi including wewe na mleta uzi mkisia warwanda au wakenya mnaloa tepe tepe bila sababu za msingi.
 
Jussa kasha wahi sema "Watanganyika hawaijui historia"
 
Hii haina tofauti na Watanzania ambao ni manamba kwenye viwanda vya wahindi na waarabu
 
Reactions: EEX
Huyo mbulula alieanzisha uzi kaukimbia...
Mibongo asilimia 90 ni mipumbavu
Elimu mbovu, Mahospitali hakuna huduma, maji na umeme bado ni ndoto...
Wamebaki na ule ujinga wa enzi za nyerere, kuogopeshwa na wageni ni hatari kwa usalama wa taifa
Wakati hapo Kenya wanajielewa kuwa ukosefu wa huduma za jamii ndio kuhatarisha usalama wa taifa ndio maana wanajua kukiwasha......huku kwetu mizobwe ni ujingaujinga mwingi.....
 
Tuko Dodoma tunasosomola akina Doto Magari, Diamond, Zuchu nk.

Hayo mambo yenu magumumagumu hayatuhusu.
 
Afrika ni nchi moja. Hata hivyo, tuna waafrika wabaya kama vile Wanigeria na matapeli wengine wnaaaotaka riziki bila kufanya kazi halali. Ukienda Mara wamejaa Wajaluo, wakisii na wengine toka Kenya. Ukienda Kigoma ndo usiseme. Wamejaa wakongomani wengi tu wanaojiita wamanyema ambao nao wakiwa Kigoma wanajiita wazaramo. Kimsingi, Tanzania hakuna utaratibu wa maana wa uraia zaidi ya kuwa na roho mbaya kwa watanzania wanaotwaa uraia wa kigeni hasa kwenye nchi za ulaya. Kuna wanyasa wengi toka Malawi wanaofanya kazi Masaki na kwingineko kwa wenye nazo. Mie, naona tuunganishe Afrika Mashariki na kuwa na nchi moja ili kuondoa ujinga huu.
 
Watu weusi ndio namba moja kwa ubaguzi so hiyo mikopo waliyopewa kusoma chuo ndio ilikuzuia wewe kupata PhD yako ama?
 
Wabongo wengi hawawapendi sana raia wageni wa Kenya na Rwanda, nafikiri kuna hali fulani ya wivu mbaya dhidi ya hizi nchi. Kila wakati utakapozungumziwa uhamiaji haramu reference kubwa zaidi ni Wanyarwanda na Wakenya.
Kabisa mkuu sasa sijui ni chuki au uelewa hawa wanyarwanda washakuwa wakimbizi sasa kuwepo mpaka leo kuna ajabu gani, kuna watanzania kibao Kenya wa halali na wasio halali.
 
Wana uzi wao humu JF niliingia nikawauliza wanaongea lugha gani? Nikashangaa nimechezea ban. Hii ilinifanya nitafakari sana juu usalama wa taifa na raia wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…