Ngiama makanda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,552
- 2,741
Niko mwanza kwa sasa, cha ajabu hapa jirani ninapoishi kuna vijana wengi wa kirundi wamepanga chumba kimoja wanauza mishkaki ile 200/= ,wanajiita eti waha wakati cjawahi kuwasikia hata siku moja wakiongea hicho kihaBora wanyarwanda ila kuna hawa kenge wa kutoka BURUNDI aloo wanaingia nchini kama utitiri na wakijua kiswahili wanajiita WAHA,WASUBI,WASHUBI,WAHANGAZA ambapo hayo makabira mawili wanafanana lafudhi na pia wanasikilizana
SawaHuna unalolijua
Usalama wa taifa sijui wanafanya kazi gani sijui aiseeZamani ilikuwa ni kawaida Kwa sisi watu wa wa mkoa wa Kagera kuishi na Wanyarwanda na wamesoma hapa Tanzania na Sasa wana kazi kubwa serikalini na likizo Huwa wanaenda kwao Rwanda kusherehekea na ndugu zao huku, na likizo zikiisha hurejea Tanzania katika ajira za serikali kabisa
Wanyarwanda wameingia kinyemera Kwa kuhonga kupata kitambulisho cha mpiga kura,
Wengine wamesoma hadi vyuo vikuu na mikopo wa elimu ya juu wamepata, yàani raia wa kigeni anasomeshwa na Kodi zetu na vijana wetu wanakosa mkopo.
Vyombo vya usalama kwanini hamfanyi operation za mara Kwa mara kubaini wahamiaji haramu.
Wanyarwanda sio wageni waziri kuingia kwenye Taifa letu bila taratibu na vibali au kujulikana,
kila siku serikali za Congo, Burundi na Uganda zinawalalamikia sana kusababisha maafa, mauaji na kipenyeza vikundi vya waasi wanaokesesha raia amani
Nilishituka Kuna kipindi Niko zangu Tandahimba huko Niko bar napata safari lager, nikasikia mabinti wahudumu wanazungumza Kinyarwanda, wao walidhani sijui kumbe me natokea Ngara ni jirani Yao.
Hii ilinishtua yaani mtu kavuka Rwanda mpaka na kutembea zaidi ya km 2000 na hajakamatwa
Hii ni hatari Kwa usalama wa Taifa letu, watu kuingia nchini bila kutambuliwa na vibali maalumu au passport
Wanyarwanda wamejaa hapa nchini, hadi wanapenya na kupata nafasai nyeti serikalini
Nadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
Ukienda Rwanda natumaini wapo watz kule hivyo sio ajabu uenda mmiliki wa bar ni mnyaruZamani ilikuwa ni kawaida Kwa sisi watu wa wa mkoa wa Kagera kuishi na Wanyarwanda na wamesoma hapa Tanzania na Sasa wana kazi kubwa serikalini na likizo Huwa wanaenda kwao Rwanda kusherehekea na ndugu zao huku, na likizo zikiisha hurejea Tanzania katika ajira za serikali kabisa
Wanyarwanda wameingia kinyemera Kwa kuhonga kupata kitambulisho cha mpiga kura,
Wengine wamesoma hadi vyuo vikuu na mikopo wa elimu ya juu wamepata, yàani raia wa kigeni anasomeshwa na Kodi zetu na vijana wetu wanakosa mkopo.
Vyombo vya usalama kwanini hamfanyi operation za mara Kwa mara kubaini wahamiaji haramu.
Wanyarwanda sio wageni waziri kuingia kwenye Taifa letu bila taratibu na vibali au kujulikana,
kila siku serikali za Congo, Burundi na Uganda zinawalalamikia sana kusababisha maafa, mauaji na kipenyeza vikundi vya waasi wanaokesesha raia amani
Nilishituka Kuna kipindi Niko zangu Tandahimba huko Niko bar napata safari lager, nikasikia mabinti wahudumu wanazungumza Kinyarwanda, wao walidhani sijui kumbe me natokea Ngara ni jirani Yao.
Hii ilinishtua yaani mtu kavuka Rwanda mpaka na kutembea zaidi ya km 2000 na hajakamatwa
Hii ni hatari Kwa usalama wa Taifa letu, watu kuingia nchini bila kutambuliwa na vibali maalumu au passport
Wanyarwanda wamejaa hapa nchini, hadi wanapenya na kupata nafasai nyeti serikalini
Nadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
CCM HoyeeeZamani ilikuwa ni kawaida Kwa sisi watu wa wa mkoa wa Kagera kuishi na Wanyarwanda na wamesoma hapa Tanzania na Sasa wana kazi kubwa serikalini na likizo Huwa wanaenda kwao Rwanda kusherehekea na ndugu zao huku, na likizo zikiisha hurejea Tanzania katika ajira za serikali kabisa
Wanyarwanda wameingia kinyemera Kwa kuhonga kupata kitambulisho cha mpiga kura,
Wengine wamesoma hadi vyuo vikuu na mikopo wa elimu ya juu wamepata, yàani raia wa kigeni anasomeshwa na Kodi zetu na vijana wetu wanakosa mkopo.
Vyombo vya usalama kwanini hamfanyi operation za mara Kwa mara kubaini wahamiaji haramu.
Wanyarwanda sio wageni waziri kuingia kwenye Taifa letu bila taratibu na vibali au kujulikana,
kila siku serikali za Congo, Burundi na Uganda zinawalalamikia sana kusababisha maafa, mauaji na kipenyeza vikundi vya waasi wanaokesesha raia amani
Nilishituka Kuna kipindi Niko zangu Tandahimba huko Niko bar napata safari lager, nikasikia mabinti wahudumu wanazungumza Kinyarwanda, wao walidhani sijui kumbe me natokea Ngara ni jirani Yao.
Hii ilinishtua yaani mtu kavuka Rwanda mpaka na kutembea zaidi ya km 2000 na hajakamatwa
Hii ni hatari Kwa usalama wa Taifa letu, watu kuingia nchini bila kutambuliwa na vibali maalumu au passport
Wanyarwanda wamejaa hapa nchini, hadi wanapenya na kupata nafasai nyeti serikalini
Nadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
Mkulanga wapo kibao yaani wanadhalilisha Sana waha Hawa jamaa tangu lini muha akauza kahawa mitaani 😂😂Bora wanyarwanda ila kuna hawa kenge wa kutoka BURUNDI aloo wanaingia nchini kama utitiri na wakijua kiswahili wanajiita WAHA,WASUBI,WASHUBI,WAHANGAZA ambapo hayo makabira mawili wanafanana lafudhi na pia wanasikilizana
Kwan wapo pia hapo Kitambaa cheupe hao wanyarandwa?Huna unalolijua wewe tulia
Malaya wa Kinyarwanda hapo kitambaa cheupe wamepewa wake kujiuza
Utakuwa ni mmoja wapo, umeongea kwa hasiraNyie mmekatazwa kwenda kwao?
Mtu kuongea kinyarwanda inamaanisha ni mhamiaji haramu?
FYI: Ha language, also called Kiha, Ikiha or Giha. It is closely related to the Kirundi and Kinyarwanda spoken in neighbouring Burundi and Rwanda, and belongs to the Niger-Congo family of languages.[4
Mitanganyika mna inferiority complex ya ajabu sana. Kitu chochote kile cha nje mnaogopa na kuwa wanyonge ghafla ndo maana mwendazake alikua anawaita wanyonge maana ni wanyonge kweli. Mkisika tu Rwanda au Kenya mnaloa. Jielimisheni dunia imekua kijiji kila kitu kinashindaniwa globally nyie endeleeni na unyonge unyonge wenu hadi mnyongwe.
Huyo atakuwa mmoja wanyarwanda wahamiaji haramu. Anajaribu kutuliza mada, anahofia operesheni kimbungaHuna unalolijua ndo maana unaropoka ujinga
Kwahiyo wewe umemzidi CDF aliyesema Kuna hadi viongozi wa ngazi za juu ambao uraia wao una mashaka?
Wanyarwanda ni wengi hasa Kagera na hawafati taratibu zozote, hapo Dar wapo na hawana vibali
Utakuwa mmoja wapoFungueni akili na tafuteni exposure. Mna mawazo mgando sana, dunia ya Leo kuona kila mgeni ni spy ni uzwazwa wa kiwango cha lami na inferiority complex ya juu. Hizi ndo effects za ujamaa bado mnawaza kijima.
anaTabia gani hiyo mkuuwengi ni spies. Wamejaa kila kona.Kuna dada alikuwa muhudumu wa bar Nyamongo. Mara kaenda Arusha. mara Dodoma. Kuna siku akaonekana Gisenyi.
Ukimuuliza anasema kwao Babati. Ila ana tabia tata sana
kwani wanyarwanda si ni waafrika au?Zamani ilikuwa ni kawaida Kwa sisi watu wa wa mkoa wa Kagera kuishi na Wanyarwanda na wamesoma hapa Tanzania na Sasa wana kazi kubwa serikalini na likizo Huwa wanaenda kwao Rwanda kusherehekea na ndugu zao huku, na likizo zikiisha hurejea Tanzania katika ajira za serikali kabisa
Wanyarwanda wameingia kinyemera Kwa kuhonga kupata kitambulisho cha mpiga kura,
Wengine wamesoma hadi vyuo vikuu na mikopo wa elimu ya juu wamepata, yàani raia wa kigeni anasomeshwa na Kodi zetu na vijana wetu wanakosa mkopo.
Vyombo vya usalama kwanini hamfanyi operation za mara Kwa mara kubaini wahamiaji haramu.
Wanyarwanda sio wageni waziri kuingia kwenye Taifa letu bila taratibu na vibali au kujulikana,
kila siku serikali za Congo, Burundi na Uganda zinawalalamikia sana kusababisha maafa, mauaji na kipenyeza vikundi vya waasi wanaokesesha raia amani
Nilishituka Kuna kipindi Niko zangu Tandahimba huko Niko bar napata safari lager, nikasikia mabinti wahudumu wanazungumza Kinyarwanda, wao walidhani sijui kumbe me natokea Ngara ni jirani Yao.
Hii ilinishtua yaani mtu kavuka Rwanda mpaka na kutembea zaidi ya km 2000 na hajakamatwa
Hii ni hatari Kwa usalama wa Taifa letu, watu kuingia nchini bila kutambuliwa na vibali maalumu au passport
Wanyarwanda wamejaa hapa nchini, hadi wanapenya na kupata nafasai nyeti serikalini
Nadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
Umenena madini matupuUwepo wa raiya wa kigeni ndani ya nchi si jambo la kuogofya. Tatizo ni pale uwepo wao kutofuata kanuni, taratibu na sheria. Mbaya zaidi wageni hao kutotambulika na mamlaka husiko (wako wapi, idadi yao na wanajihusisha na shughuli gani).
Katika kuimarasha Ulinzi na Usalama katika taifa lolote, mamlaka za nchi husika huweka utaratibu wa kung’amua na kusimamia mienendo ya utokaji na uingiaji wa raiya wake na wageni. Hivyo basi, vyombo vyenye dhaman katika hili inabid ijisahihishe
22-01-2024 katika hafla ya kufunga Mkutano wa Saba wa Mkuu wa Majeshi na Makamanda, Mkuu wa Majeshi Jenerali J Mkunda aliwasilisha kwa Amiri Jeshi Mkuu SSH hofu/hatari ya wahamiaji haramu na wakimbizi kuteuliwa katika nyadhifa za kimaamuzi serikalini na wengine kuajiriwa huku wazawa kukosa fursa hizo.
Ni kweli pasipo na shaka Tanzania Bara(Tanganyika) tumeathirika pakubwa zaidi ya wenzetu (Zanzibar), hii ni kutokana na Chombo kilichopewa dhamana kulisimamia hili kushindwa kutekeleza wajibu wake kikamilifu, yaweza kuwa ni kutokana na kukosa watu sahihi wenye sifa za kuisimamia Idara ya husika kutokana na rushwa, upendeleo au mapandikizi ndani ya Idara.