DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
We Kagame feki ukijua kwanini umeweka picha ya Kagame utapata jibu lako. You're mentally defeated already.
Nakwambia najiamini ndo maana naweza kumkubali kagame na nikapinga uhamiaji Haram wa wanyarwanda Hadi warundi?

Sema inferiority complex ndo inakufanya uone tukipinga uhamiaji Haram uone kama tuna chuki binafsi na nyie hakuna nchi Wala raia wanaokubali wahamiaji Haram duniani
 
Yaani watanganyika tuuze chips, halafu na waburundi nao humo humo wamebanana wanauza chips?

Ukigeuka kushoto wakenya nao wamo wanauza mitumba na Kingereza chao cha ukwaju, HAIWEZEKANIII mrudi kwenyu msituletee vingereza vya Kijinga hapa.

Tanzania ni kwa ajili ya watanzania, hatutakubali kuona manyang'au yanajipenyeza, kwanza yanakuja kutuharibia uzao na sura zao mbaya wanatuchafulia sana DNA zetu mwisho tuanze kuzaa MASOKWE.

Kila mtu abaki kwao, hatutaki vingereza hapa.
 
Tutajie hata mmoja tukuamini
 
wapo wengi sana jijini Daslama. Uzuri ni rahisi sana kuwatambua kwa facial features zao na hata nywele zao
 
Bora wanyarwanda ila kuna hawa kenge wa kutoka BURUNDI aloo wanaingia nchini kama utitiri na wakijua kiswahili wanajiita WAHA,WASUBI,WASHUBI,WAHANGAZA ambapo hayo makabira mawili wanafanana lafudhi na pia wanasikilizana
Warunfi ni wengi sana wengi utawakuta masokoni jijini Daslama na hufanya kazi za kuuza kahawa. Hujifanya ni waha ila ni warudi typical
 
tunaokaa huku mipakani tunayaona mengi na hakika ni bomu la miaka ijayo. we tetea kwa ujuaji wako lakini tatizo linakuja. kuna athari zaidi ya alizozitaja mleta mada.

'ulinzi wa nchi yetu ni jukumu la mwananchi mwenyewe'
 
Wamasai na wamakonde awajawai kulazimisha kuingizwa kwenye sekta za umma kwa lazima,na wala awajioni wao ni bora na wenye hadhi kuliko wengine,awana roho mbaya za kinyama.
Hujajibu swali langu, Nimekuuliza hayo makabila ni raia wa nchi zipi kwa sababu hata historia huelewi unaposema Watusi "waliruhusiwa" kuingia Congo usijue kwamba kuna Watusi wamekuwepo Congo ya leo tangu karne 18 wakati ambapo hata hilo taifa la Congo lililotengenezwa na Wakoloni Wabelgiji halikuwepo.
 
Nchi yetu kuingilika mipakani ni rahisi sana ila kwa Rwanda ni ngumu mno kulingana mifumo waliyojiwekea
 
Binafsi nilienda kwenye mgahawa mmoja usiku kuchukua chakula take away, nikawakuta vijana wanaangalia taarifa kwenye simu yao iliyokuwa inazingumzwa na mwanajeshi wa Rwanda kinyarwanda, waliposhituka nipo karibu yao wakazima ghafla NAMI nikajifanya sijaelewa chochote.
 
Wamasai na wamakonde awajawai kulazimisha kuingizwa kwenye sekta za umma kwa lazima,na wala awajioni wao ni bora na wenye hadhi kuliko wengine,awana roho mbaya za kinyama.
Roho mbaya wakati mwingine ni jinsi wewe unavyoyatafsiri mambo, Wakenya wengi pia wanaona Watanzania wana roho mbaya kulinganisha na majirani zao wengine.
 
Unatokea Burundi au Rwanda?
 
Roho mbaya wakati mwingine ni jinsi wewe unavyoyatafsiri mambo, Wakenya wengi pia wanaona Watanzania wana roho mbaya kulinganisha na majirani zao wengine.
Unawapakazia wakenya mambo ya uongo,wapi na lini wakenya wamesema watanzania wanaroho mbaya?.wewe mbichwa wako una shida.
 
hakuna tatizo lolote waruwanda na waburundi kuishi ndani ya nchi yetu, ila kupata vitambulisho na vya tanzania na kupewa Passpoti ni jambo la hatari sana linalotokana na mfumo wa CCM wa rushwa mbele.
 
Unawapakazia wakenya mambo ya uongo,wapi na lini wakenya wamesema watanzania wanaroho mbaya?.wewe mbichwa wako una shida.
Wewe mbichwa wako ndio unashida na pia hujui Kingereza kwa hiyo umekalia tu mijadala ya Kiswahili.
 
wapo wengi sana jijini Daslama. Uzuri ni rahisi sana kuwatambua kwa facial features zao na hata nywele zao
Ukimuona Mwarabu, Mhindi au Msomali hapa Tanzania huwa unamtambua kama raia wa wapi kwa facial features zao na hata nywele zao??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…