DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sina hofu na wanyarwanda,hofu yangu kubwa ni hawa magabachori,waatabu,wahindi na wachina kuendelea kujipenyeza hadi kwenye siasa za nchi hii,hao ndio hawafai kabisa tuwakatae.
 
Huenda tusione hatari kwa sasa, lakini baada ya miaka mingi kukawa na hatari kubwa sana endapo hali itaendelea hivi
 
Wabongo wengi hawawapendi sana raia wageni wa Kenya na Rwanda, nafikiri kuna hali fulani ya wivu mbaya dhidi ya hizi nchi. Kila wakati utakapozungumziwa uhamiaji haramu reference kubwa zaidi ni Wanyarwanda na Wakenya.
Wageni waje na vibali
Huwezi kujua Nia ya mtu
Kama wana Nia njema kwanini wasije kihalali, waingie Kwa njia za panya.
Wanyarwanda wametesa Congo, Burundi na Uganda Kwa kuingiza vikundi vya waasi
Huwezi kwenda Rwanda kirahisi bila vibali
Tuchukue tahadhari
 
We ulienda lini USA bila vibali ?
Acha ujuaji Kwa wenzetu ukikamatwa wahamiaji haramu Huwa wanazamisha meli na kuwauwa
 
Bora wanyarwanda ila kuna hawa kenge wa kutoka BURUNDI aloo wanaingia nchini kama utitiri na wakijua kiswahili wanajiita WAHA,WASUBI,WASHUBI,WAHANGAZA ambapo hayo makabira mawili wanafanana lafudhi na pia wanasikilizana
Inasikitisha sana mkuu
 
hakuna tatizo lolote waruwanda na waburundi kuishi ndani ya nchi yetu, ila kupata vitambulisho na vya tanzania na kupewa Passpoti ni jambo la hatari sana linalotokana na mfumo wa CCM wa rushwa mbele.
Watusi wanamiliki ardhi ya kutisha hapo Kahama.Kuna kijiji kinaitwa Nuja walijimilikisha nusu ardhi ya kijiji na hakuna wa kuwafanya chochote.Shukrani kwa jeshi la Magereza kulitwaa lile eneo kwa mikong'oto na virungu vya ugoko.
Tabora nako maporini yamejificha majamaa na ng'ombe,ujambazi yamejimilikisha na uchumi na maelfu ya ardhi .Miswahili imekuwa manamba na mitumwa ya hawa pua ndefu kama filimbi.Tuamke.
 
Hii taarifa yako imenisikitisha
Yaani Warwanda wanavusha ng'ombe hadi Tabora, vyombo vya usalama vimelala tu
 
Reactions: EEX
Bora wanyarwanda ila kuna hawa kenge wa kutoka BURUNDI aloo wanaingia nchini kama utitiri na wakijua kiswahili wanajiita WAHA,WASUBI,WASHUBI,WAHANGAZA ambapo hayo makabira mawili wanafanana lafudhi na pia wanasikilizana
Kazi kweli
 
Du
Duh. Na serikali yetu ipo tu!
 
Acha upimbi wa kututusi kenge usie na madoa wewe. Unafurahia uhamiaji haramu unajua impact zake au unaongea tuu kufurahisha genge. Rwandese mna roho mbaya mno.
 

Inasikitisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…