DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
We mrembo una mimba changa?
Alienda huko Marekani bila vibali.?
Kwaiyo kwako kuwa na roho nzuri ni kuruhusu raia wa kigeni kuingia nchini bila passport au vibali.
Punguza kiherehere.... utauponza
 
Wana uzi wao humu JF niliingia nikawauliza wanaongea lugha gani? Nikashangaa nimechezea ban. Hii ilinifanya nitafakari sana juu usalama wa taifa na raia wake.
Usikute Paw huyo ndo alikutembezea ban!!
 
Huyo mbulula alieanzisha uzi kaukimbia...
Mibongo asilimia 90 ni mipumbavu
Elimu mbovu, Mahospitali hakuna huduma, maji na umeme bado ni ndoto...
Wamebaki na ule ujinga wa enzi za nyerere, kuogopeshwa na wageni ni hatari kwa usalama wa taifa
Wakati hapo Kenya wanajielewa kuwa ukosefu wa huduma za jamii ndio kuhatarisha usalama wa taifa ndio maana wanajua kukiwasha......huku kwetu mizobwe ni ujingaujinga mwingi.....
Kama akili za Watanzania ndo hizi acha CCM itawale MILELE
Hivi wewe utaenda Taifa Gani ubishi bila vibAli
Mgeni mzuri anafata taratibu za kuwa ugenini, laZima mamlaka zijue
We nyumbani kwako akina mgeni bila taarifa ukamkuta anamshika mkeo kalio utakaa kimya
 
Kama unajua hawawezi pewa kazi nchini nini kinakuuma? Kwanini uliamini maneno ya CDF ambayo hadi leo hayana proof?

Unajua mrwanda au mgeni yeyote akiwa naturalized ana haki zote kama raia wengine?

Wabongo walio wengi including wewe na mleta uzi mkisia warwanda au wakenya mnaloa tepe tepe bila sababu za msingi.
Wewe unaweza kwenda kuishi Rwanda bila vibali au kutambuliwa na Serikali
Ukienda Rwanda watakufatilia uso, pua, kimoja n. K
Rwanda huishi au huvamii kama huku kwetu
 
Bora wanyarwanda ila kuna hawa kenge wa kutoka BURUNDI aloo wanaingia nchini kama utitiri na wakijua kiswahili wanajiita WAHA,WASUBI,WASHUBI,WAHANGAZA ambapo hayo makabira mawili wanafanana lafudhi na pia wanasikilizana
Hawana madhala Kama hao wa pk
 
Wabongo wengi hawawapendi sana raia wageni wa Kenya na Rwanda, nafikiri kuna hali fulani ya wivu mbaya dhidi ya hizi nchi. Kila wakati utakapozungumziwa uhamiaji haramu reference kubwa zaidi ni Wanyarwanda na Wakenya.
Tanzania wangeni wanaishi Kwa Raha sana watu wanachopinga ni uhamiaji haram ambao wananyarwanda ndo na warundi wanaonekana wako wengi kulinga na historia na machafuko kwenye nchi zao na hakuna raia wa nchi yoyote wanaofurahia wahamiaji Haram Hilo wakenya nashangaa kwanini umewahusisha hatujawahi kuwa na tatizo na wakenya labda Kwa upande wa wamasai ambao wanachanganyika Masai wa Tanzania na kenya

Sema mnajistukia tu kama tuwachukia hakuna anayewachukia ni kwamba uhamiaji haram haukubaliki bila kujali mnatokea wapi

Lakini naona umeamua kuwaingiza wakenya ili uonekane relevant
 
Tanzania wangeni wanaishi Kwa Raha sana watu wanachopinga ni uhamiaji haram ambao wananyarwanda ndo na warundi wanaonekana wako wengi kulinga na historia na machafuko kwenye nchi zao na hakuna raia wa nchi yoyote wanaofurahia wahamiaji Haram Hilo wakenya nashangaa kwanini umewahusisha hatujawahi kuwa na tatizo na wakenya labda Kwa upande wa wamasai ambao wanachanganyika Masai wa Tanzania na kenya

Sema mnajistukia tu kama tuwachukia hakuna anayewachukia ni kwamba uhamiaji haram haukubaliki bila kujali mnatokea wapi

Lakini naona umeamua kuwaingiza wakenya ili uonekane relevant
Hawana akili hao watusi
 
Mtu kuongea Kinyarwanda hiyo tu inatosha kumfanya mtu kuwa mhamiaji haramu? Hayo ndo madai ya mleta uzi.

Mimi nikiongea Kiswahili London downtown, does that make me an illegal immigrant?

Umewahi kusikia malalamiko ya wabongo against wamalawi, wacongo, wazambia nk zaidi ya kelele against Rwanda na Kenya?
Mzee wewe ni mnyaruanda? Naona wanatajwa wakongo na warundi kama wahamiaji haramu ila naona hujishughulishi kuwatetea, ila Wanyarwanda a unawaka na kupiga kelele kama subaru..!!!!? Je wewe ni mnyarwanda?
 
Pengine vitambulisho vya kidigiti vikitamalaki( nida, namba jamii) vinaweza saidia kuwagundua wavamizi Hawa lakini kwa Sasa maingiliano ya kijamii ni makubwa mno haswa kigoma niliwahi kuishi huko nasi watanzania pia si haba kwenye nchi za watu huko tupo tukisaka makaratasi.....
 
Mzee wewe ni mnyaruanda? Naona wanatajwa wakongo na warundi kama wahamiaji haramu ila naona hujishughulishi kuwatetea, ila Wanyarwanda a unawaka na kupiga kelele kama subaru..!!!!? Je wewe ni mnyarwanda?

Haya mimi ni mrwanda what can you do nyie mitanganyika minyonge?

Nionyeshe hiyo comment inayosema warundi au wacongo wanahatarisha usalama wa taifa?

Mitanganyika, kama huyu mleta uzi, huwa inalalamika kuhusu warwanda na wakenya tu ila sio nchi zingine. Hizi nyuzi zipo kibao humu na story mitaani zinazunguka kila mtu anazijua.

Kila mtu anajua wabongo ni wanyonge kwa wakenya na warwanda ni unyonge mliojijengea na kujiona dhaifu ndo maana mnawaogopa na kuona wanahatarisha usalama wenu bila sababu yeyote ile ya msingi.
 
Wewe unaweza kwenda kuishi Rwanda bila vibali au kutambuliwa na Serikali
Ukienda Rwanda watakufatilia uso, pua, kimoja n. K
Rwanda huishi au huvamii kama huku kwetu

Jielimisheni nyie mitanganyika muache unyonge . I rest my case.

Screenshot 2025-01-21 055418.png
 
Haya mimi ni mrwanda what can you do nyie mitanganyika minyonge?

Nionyeshe hiyo comment inayosema warundi au wacongo wanahatarisha usalama wa taifa?

Mitanganyika, kama huyu mleta uzi, huwa inalalamika kuhusu warwanda na wakenya tu ila sio nchi zingine. Hizi nyuzi zipo kibao humu na story mitaani zinazunguka kila mtu anazijua.

Kila mtu anajua wabongo ni wanyonge kwa wakenya na warwanda ni unyonge mliojijengea na kujiona dhaifu ndo maana mnawaogopa na kuona wanahatarisha usalama wenu bila sababu yeyote ile ya msingi.
Kwanini unaingiza Wakenya
Wakenya ni watu safi sio kama Wanyarwanda, walipeleka uasi Congo, Burundi Uganda na Mozambique

Yaani unaona kuruhusu Wanyarwanda kujaa nchini bila vibali ndo kutokuwa na unyonge
 
Bora wanyarwanda ila kuna hawa kenge wa kutoka BURUNDI aloo wanaingia nchini kama utitiri na wakijua kiswahili wanajiita WAHA,WASUBI,WASHUBI,WAHANGAZA ambapo hayo makabira mawili wanafanana lafudhi na pia wanasikilizana
Wanyarwanda na warundi ni haohao Burundi na Rwanda kabila kubwa ni Tutsi na Hutu na wanafanana vibaya
 
Kwahio wanyarwanda ni hatari zaidi kuliko majirani wote? Yaani jamaa wanaweza kutusumbua kuliko wengine tuliopakana nao?
Hakika si wageni wazuri
Ukitaka hilo hebu nenda Congo, Burundi, Uganda na Msumbiji waulize kuhusu hao watu
 
Back
Top Bottom