Raia wa Zanzibar wapigwe marufuku kupiga kura ya kumchagua Rais wa Tanganyika

Kwa kawaida migambo TANZANIA wanamiliki virungu.
Pia migambo TANZANIA wana jezi zao.
Hao migambo wa Zanzibar wapo hivyo?
Kuna mfanano wowote kuanzia mavazi hadi siraha kati ya mgambo wa huku bara na hao wazanzibari?
Migambo kibao wana silaha!. Makampuni kibao, ya ulinzi wana silaha!.
P
 
Hilo litawekana kama tutakuwa na rais wa tanganyika na wa muungano. Au tubadili muundo, zanzibar na bara @ waongozwe na waziri mkuu na rais abaki wa muungano.

Sasa ni confusion
 

Mkanganyiko wa namba 2 na 4 ndio unatufanya tulio na akili za nje ya ccm kuona hakuna muungano, bali uhuni wa wazi wa Nyerere.
 
Ili hyo marufuku iwepo bas lazma uwepo wa tanganyika kwa mana serikali ya tanganyika na sio Tanzania.
 
Kuna tofauti gani na wale wanaotaka serekali za majimbo? Maana siku zote ccm mkisikia sera za serekali za majimbo mnataka kuwehuka, wakati hilo la Zanzibar tayari ni Jimbo?
 
Na wazuiwe kumiliki ardhi Bara wakae huko huko hadi wakose nafasi walale wamesimama
 
Naendelea kusisitiza mtu ukiwa hujui kitu ni mjinga!, kuwa mjinga sio kosa, dawa yake ni kuelimishwa. Vatican ni nchi, a City State yenye sovereignty. Zanzibar haina sovereignty hivyo sio nchi!.
P

Tufanye uko sahihi kwa maelezo yako, lakini kiuhalisia hapo hakuna muungano wa watu wenye akili, bali wanaokubaliana na huo muungano kama mazombie.
 
Hili na mengine mengi tulishayazungumzia kuwa ni mazao ya upumbavu wa watu mnaowaita wabara
 
Lengo la mwalimu 7likuwa zanzibar itambulike kama mkoa mmojawapo wa Tanzania lakini mchakato ukawa na upinzani wa chini kwa chini kwa wazanzibar kukataa nchi kuwa mkoa au jimbo

Lengo jingine ilikuwa ni kuimiliki sehemu kubwa ya bahari ya hindi iwe mali ya bara pia(hapa hadi sasa faida ipo nzuri tu)
 
Hilo litawekana kama tutakuwa na rais wa tanganyika na wa muungano. Au tubadili muundo, zanzibar na bara @ waongozwe na waziri mkuu na rais abaki wa muungano.

Sasa ni confusion
Hoja imeungwa mkono.
 
Safi sana mtaalam. Umeeleza hali ilivyo! Je unasemaje kuhusu haki za watanganyika ndani ya Tanzania!kwenye nchi sehemu ya Tanganyika na sehemu ya zanzibar? baada ya Tanganyika" kufa"?
 
Zanzibar ina Katiba yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…