The Sheriff
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 747
- 2,112
Aliyekuwa Mgombea wa Kiti cha Urais nchini Kenya na kiongozi wa Muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga anatarajiwa kuzungumza na Wakenya kupitia vyombo vya habari leo Jumanne, Agosti 16, 2022.
Taarifa hiyo iliyotolewa na Dennis Onsarigo ambaye amekuwa msimamizi wa mawasiliano katika kampeni Raila Odinga, imeeleza kuwa hotuba hiyo inatarajiwa kufanyika majira ya saa nane mchana wa leo.
UPDATES
RAILA ODINGA, KIONGOZI WA MUUNGANO WA AZIMIO LA UMOJA
Jana Agosti 15, demokrasia yetu ilikumbwa na msukosuko mkubwa.
Kutokana na hali hiyo, Kenya inakabiliwa na mzozo wa kisiasa kutokana na vitendo vya Wafula Chebukati
Sheria ya IEBC inaeleza kuwa isipokuwa uamuzi wa pamoja utaafikiwa, uamuzi kuhusu jambo lolote lililo mbele ya tume, utakuwa na wingi wa wajumbe waliohudhuria na kupiga kura
Takwimu zilizotangazwa na Bw. Chebukati ni batili na lazima zifutiliwe mbali na mahakama ya sheria
Kwa maoni yetu hakuna mshindi aliyetangazwa kihalali wala Rais mteule
Mimi na Azimio la Umoja na taifa kwa ujumla tulishangaa jana kujua kwamba Chebukati pekee ndiye aliamua kujitangaza kuwa ndiye aliyedaiwa kuwa Shujaa wa uchaguzi wa urais wa 2022
Tunakataa kabisa na bila kusita matokeo ya urais yaliyotangazwa jana
Tunafuata njia na michakato ya kikatiba na halali ili kubatilisha tamko haramu la Chebukati na lililo kinyume na katiba
Tunaelewa kuwa ni Chebukati pekee ndiye aliyeweza kujumlisha kura za urais
Aliwazuia makamishna wote kupata taarifa za kura
Taarifa hiyo iliyotolewa na Dennis Onsarigo ambaye amekuwa msimamizi wa mawasiliano katika kampeni Raila Odinga, imeeleza kuwa hotuba hiyo inatarajiwa kufanyika majira ya saa nane mchana wa leo.
UPDATES
RAILA ODINGA, KIONGOZI WA MUUNGANO WA AZIMIO LA UMOJA
Jana Agosti 15, demokrasia yetu ilikumbwa na msukosuko mkubwa.
Kutokana na hali hiyo, Kenya inakabiliwa na mzozo wa kisiasa kutokana na vitendo vya Wafula Chebukati
Sheria ya IEBC inaeleza kuwa isipokuwa uamuzi wa pamoja utaafikiwa, uamuzi kuhusu jambo lolote lililo mbele ya tume, utakuwa na wingi wa wajumbe waliohudhuria na kupiga kura
Takwimu zilizotangazwa na Bw. Chebukati ni batili na lazima zifutiliwe mbali na mahakama ya sheria
Kwa maoni yetu hakuna mshindi aliyetangazwa kihalali wala Rais mteule
Mimi na Azimio la Umoja na taifa kwa ujumla tulishangaa jana kujua kwamba Chebukati pekee ndiye aliamua kujitangaza kuwa ndiye aliyedaiwa kuwa Shujaa wa uchaguzi wa urais wa 2022
Tunakataa kabisa na bila kusita matokeo ya urais yaliyotangazwa jana
Tunafuata njia na michakato ya kikatiba na halali ili kubatilisha tamko haramu la Chebukati na lililo kinyume na katiba
Tunaelewa kuwa ni Chebukati pekee ndiye aliyeweza kujumlisha kura za urais
Aliwazuia makamishna wote kupata taarifa za kura