Gamal Sankara
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 301
- 265
Inatisha sana, mzee hafi moyo. Kuna la kujifunza hapo.Mzee anapambana mpaka mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inatisha sana, mzee hafi moyo. Kuna la kujifunza hapo.Mzee anapambana mpaka mwisho
Uchaguzi urudiwe overHapo vip!!
Raila Odinga amesema Chabukati ambaye no mwenyekiti was IEBC ni Dictator kwenye Tume.
Ila Binafsi nimshauri Raila yakwamba Ruto ni chagua la Mungu na Wakenya hatakaa mshinde kamwe
Mpaka mahakama itoe maamzi sahihi, mahakama zao zipo huru tofauti na haya matawi ya CCMKwahiyo huenda Ruto asiapishwe mpaka Kura zirudiwe kuhesabiwa?!
Tusubiri tuone 30th August itakuwaje!!!!Kwahiyo huenda Ruto asiapishwe mpaka Kura zirudiwe kuhesabiwa?!
Hapo vip!!
Raila Odinga amesema Chabukati ambaye no mwenyekiti was IEBC ni Dictator kwenye Tume.
Ila Binafsi nimshauri Raila yakwamba Ruto ni chagua la Mungu na Wakenya hatakaa mshinde kamwe
Huyu mzee apumzike tu ampishe kijana Ruto, miaka themanini unakuwa unatafuta nini.......dah!
Sasa ndo ameshashindwa, akubaliane na hali...Kwani katiba imeweka kiwango cha miaka ya mtu kugombea Uraisi huko Kenya?
Hujajibu swaliSasa ndo ameshashindwa, akubaliane na hali...
Ruto chaguo la Mungu? Miaka 10 akiwa na Kenyatta wamefanya nini zaidi ya ufisadi tu? Huyo Gachagua so alikutwa na hatia kwa ufisadi wa Mabilion ya Nairobi county?Hapo vip!!
Raila Odinga amesema Chabukati ambaye no mwenyekiti was IEBC ni Dictator kwenye Tume.
Ila Binafsi nimshauri Raila yakwamba Ruto ni chagua la Mungu na Wakenya hatakaa mshinde kamwe
swala lililopo kashindwa uchaguzi, kwa mtu wa umri wake ni busara zaidi kumwachia kijana majukumu.Hujajibu swali
Kwani katiba imeweka kiwango cha miaka ya mtu kugombea Uraisi huko Kenya?
Gape la laki moja ndio kushindwa? Ruto mwenyewe kakiri hakuna aliyeshindwa uchaguzi maana margin ni ndogo sana ingekua gape kuanzia laki 5 ange concede ila kura laki zinaweza kupikiwa tu hata na Chebukati.Sasa ndo ameshashindwa, akubaliane na hali...
katiba ndivyo inavyosema hivyo?swala lililopo kashindwa uchaguzi, kwa mtu wa umri wake ni busara zaidi kumwachia kijana majukumu.
Kenyatta si mlisema ni Rais kijana na Hendsamu.... Leo mbona mnajuta kumchagua!! Ruto naye mtarudi kulia Lia hapa baada ya ufisadi kutawala kote.Huyu mzee apumzike tu ampishe kijana Ruto, miaka themanini unakuwa unatafuta nini.......dah!
Ukishindwa uchaguzi you have to concede, mengine ni kutaka kuleta sintofahamu zisizo na msingikatiba ndivyo inavyosema hivyo?
Source ya habari yako ni IPI,au umeamu tu kupost?Hapo vip!!
Raila Odinga amesema Chabukati ambaye no mwenyekiti was IEBC ni Dictator kwenye Tume.
Ila Binafsi nimshauri Raila yakwamba Ruto ni chagua la Mungu na Wakenya hatakaa mshinde kamwe
Katiba ndivyo inavyosema hivyo?Ukishindwa uchaguzi you have to concede, mengine ni kutaka kuleta sintofahamu zisizo na msingi