Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Mkuu fafanua waligombana nn na baba yake?Baba yake Raila alishamtabiria mwanaye yakwamba hatokuja awe Rais wa Kenya.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu fafanua waligombana nn na baba yake?Baba yake Raila alishamtabiria mwanaye yakwamba hatokuja awe Rais wa Kenya.
Raila anaenda mahakamani. Na ndani ya wiki mbili hukumu itakuwa tayari. Ukijumlisha matokeo ya jana kwa % imezidi 0.01%Kwahiyo huenda Ruto asiapishwe mpaka Kura zirudiwe kuhesabiwa?!
Basi komaa na katiba yako, uamuzi uliopo kwa sasa ni wa tume ya Chebukati......labda kama yeye anayo tume yake.Katiba ndivyo inavyosema hivyo?
Mbona unabadilka badilika kila wakati. Ustaarabu uliopo ni kuwa mtu yeyote anayo haki ya kugombea Uraisi, Pia Kama hakuridhika Na matokeo katiba Na sheria Za uchaguzi zinamruhusu kupeleka malalamiko yake mahakamani. Wewe unataka kurudisha watu nyuma Na siasa Za Nyerere Na CCM yake. Hivi ni vitu viwili tofautiBasi komaa na katiba yako, uamuzi uliopo kwa sasa ni wa tume ya Chebukati......labda kama yeye anayo tume yake.
Hiyo error ya 0.01% wanayoiongelea ni due to approximating error ya kuweka viwango viwili vya desimali, ilaukiweka matokeo interms of viwango kuanzia 5 kuendelea hiyo error inapungua au kuisha kabisaRaila anaenda mahakamani. Na ndani ya wiki mbili hukumu itakuwa tayari. Ukijumlisha matokeo ya jana kwa % imezidi 0.01%
Ambayo ninzaidi ya kura laki moja
Sio kwamba Ruto kaamua kufuata ule usemi wa Mzee Kikwete "za kuhesabiwa ongezea na za kwako Mbayuwayu au Rutowayu" 😂🤣 jocking!Raila anaenda mahakamani. Na ndani ya wiki mbili hukumu itakuwa tayari. Ukijumlisha matokeo ya jana kwa % imezidi 0.01%
Ambayo ninzaidi ya kura laki moja
Sawa, aende kwa korti maana ndo imekuwa kawaida yake sasa...Mbona unabadilka badilika kila wakati. Ustaarabu uliopo ni kuwa mtu yeyote anayo haki ya kugombea Uraisi, Pia Kama hakuridhika Na matokeo katiba Na sheria Za uchaguzi zinamruhusu kupeleka malalamiko yake mahakamani. Wewe unataka kurudisha watu nyuma Na siasa Za Nyerere Na CCM yake. Hivi ni vitu viwili tofauti
Azimio Kwanza chini ya RailaHivi kenya ndio wana wabunge au magavana, uchaguzi huo nani kashinda viti vingi?
Rud kaangalie data Ile ni lak Moja ileGape la laki moja ndio kushindwa? Ruto mwenyewe kakiri hakuna aliyeshindwa uchaguzi maana margin ni ndogo sana ingekua gape kuanzia laki 5 ange concede ila kura laki zinaweza kupikiwa tu hata na Chebukati.
USiongelee jumla jumla Leta data za magavana, senators na wabungeAzimio Kwanza chini ya Raila
Kasome hesabu. 0.01*14213027(kura zote)/100 utapta laki Moja????Raila anaenda mahakamani. Na ndani ya wiki mbili hukumu itakuwa tayari. Ukijumlisha matokeo ya jana kwa % imezidi 0.01%
Ambayo ninzaidi ya kura laki moja
Whatever hata ikiwa laki 2 but gape ya laki 2 kwenye million 14 ndio Odinga "Kaanguka" Huyo Ruto kafika 50+1 kwa kura 0.6 percent pekee then mnakuja kuleta ushabiki hapa!!Rud
Rud kaangalie data Ile ni lak Moja ile
Vipi verification ya 34 B kutoka majimbo 26 yaliyokua yamesalia ilimalizwa na kutangazwa?Kasome hesabu. 0.01*14213027(kura zote)/100 utapta laki Moja????
Unawasikiliza wale kamishanas hata hesabu hawajau, hakuna Kitu hakina margin of error, muhimu ni kujua Hyo error Ina impact yoyote.
We unaleta Nini? Kura lakimbil ni chache??? Kaangalie majimbo ya Kenya, Kuna baadhi ya kaunti nyingi tu hazijafikisha kura laki mbil Kwa ujumla wakeWhatever hata ikiwa laki 2 but gape ya laki 2 kwenye million 14 ndio Odinga "Kaanguka" Huyo Ruto kafika 50+1 kwa kura 0.6 percent pekee then mnakuja kuleta ushabiki hapa!
Court itaamua kama 2017 tupunguze ujuaji, angekua failure angeanguka kwa kura laki 2 pekee out of 14 m?Raila babu akapumzike tu na wajukuu, aache kelele, IEBC ndio ina final decision, Raila ni loser of all the time in Kenyan politics.. Pole sana Hon. Raila, there is nothing you can do..
Acha uongo Jimbo la Starehe au Embakasi tu linaleta hizo kura laki 2, simply Raila angepata 80% badala ya 70% ya Nairobi Ina maana angekua Rais. Hiyo margin sio ya kusema ni anguko ndio maana mpaka juzi hakuna aliyekua anajua Mshindi ni naniWe unaleta Nini? Kura lakimbil ni chache??? Kaangalie majimbo ya Kenya, Kuna baadhi ya kaunti nyingi tu hazijafikisha kura laki mbil Kwa ujumla wake
Basi kuna uwezekano raila akawa na hoja, nawajua Waafrika sisi huwa hatuchagui kiongozi tunachagua chama, sasa iweje TLP iwe na wabunge wengi halafu mshindi awe CUFAzimio Kwanza chini ya Raila