ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Anapoteza muda huyu babuUnadhani anakubali hovyo kama nyinyi wachumba wa Tz na bwana yenu CCM?
Ambae huwageuza geuzwa atakavyo!
kushoto, kulia, chini juu, Popo kanyea mbingu etc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapoteza muda huyu babuUnadhani anakubali hovyo kama nyinyi wachumba wa Tz na bwana yenu CCM?
Ambae huwageuza geuzwa atakavyo!
kushoto, kulia, chini juu, Popo kanyea mbingu etc
Uchaguzi gani alikubali kushindwa? Odinga akapumzike sasaAkubali uhuni wa ruto na chebugati?
Hiyo ni haki yake , wewe Kama umekasirika Polen sanaSawa, aende kwa korti maana ndo imekuwa kawaida yake sasa...
Hata asipokubali mwisho wa siku ataongozwa kwa miaka mitano na baada ya hapo anarudi tena kugombeaUnadhani anakubali hovyo kama nyinyi wachumba wa Tz na bwana yenu CCM?
Ambae huwageuza geuzwa atakavyo!
kushoto, kulia, chini juu, Popo kanyea mbingu etc
He is a master of Kenyan politics. He will go down to history as one of the greatestAnapoteza muda huyu babu
Akajiandae upya 2027 anaweza kupataHata asipokubali mwisho wa siku ataongozwa kwa miaka mitano na baada ya hapo anarudi tena kugombea
Kwani akiongoza raila ndo itakuwaje?Kenyatta si mlisema ni Rais kijana na Hendsamu.... Leo mbona mnajuta kumchagua!! Ruto naye mtarudi kulia Lia hapa baada ya ufisadi kutawala kote.
RAILA akomae uchaguzi urudiwe, ila fisadi asiachiwe ikulu.
RAILA ni mbabe zaidi ya JPM au Kagame same to Mama Karua ndio watanyoosha mafisadi ya Kenya. Huyo Ruto Hana moral authority ya kumaliza ufisadi maana utajiri wote kaupata akiwa Waziri na Makam wa RaisKwani akiongoza raila ndo itakuwaje?