Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
mimi ni mpenzi sana wa odinga lakini naamini wakenya wamemchagua kenyatta kuwa raisi wao na mzee wangu odinga kubali matokeo na nina amini tume ijafanya hujumaa kabisa ni kweli mzee wangu odinga umeshindwa nakutakia maisha mema ya kupumzika na ushauri mzuri achana na siasa tena kapumzike ila nacho amini mtoto wako wa kuzaa uwenda akaja kuwa raisi wa kenya...na kikubwa waambie wajaluo wazaliane kwa wingi kwa sababu ukabila ndio umekuangusha.
Hali inatisha hofu imetanda kila kona ya jiji la nairobi wageni wanaogopa wengine wanaondoka kwenye makazi yao na kwenda mahotelini MBIVU NA MBICHI ZITAJULIKANA BAADAE KWA SASA NI NGUMU KUTABIRI NINI KITATOKEA Mungu ibariki Africa Mungu ikumbuke Kenya.
Yaani wewe kujiita kipima pembe inawakilisha wingi,jamaa anadai ana ushahidi ata concede vipi huku nafsi yake ikimsuta? Raila haitaji heshima mtu muoga kama wewe.Potea kule.Raila alishashindwa kwenye numbers pale Ruto na Uhuru walipoungana. Yaani that was obvious. Huwezi kuaashinda kenya bila kushinda mojawapo kati ya central na rift valley. Huko ndo wakenya walikojazana. Siku zote Railla alikuwa na support Rift Valley. Safari hii kashindwa kupata support kule ni lazima akubali kashindwa kihalali kabisa. Tatizo letu waafrika wengi ni cowards tunaogopa ku concede hata kama tunajua tumeshindwa. Nadhani itakuwa busara kubwa kwa Raila kuachana na waoga wanaomzuka na kumcbochea kukataa matokeo. Akubali na atoe hotuba ya kuconcede. Wengi tutamheshimu sana.
Source umesema BBC? Labda kwa ndoto yako. Raila is yet to make his position known.
Raila alishashindwa kwenye numbers pale Ruto na Uhuru walipoungana. Yaani that was obvious. Huwezi kuaashinda kenya bila kushinda mojawapo kati ya central na rift valley. Huko ndo wakenya walikojazana. Siku zote Railla alikuwa na support Rift Valley. Safari hii kashindwa kupata support kule ni lazima akubali kashindwa kihalali kabisa. Tatizo letu waafrika wengi ni cowards tunaogopa ku concede hata kama tunajua tumeshindwa. Nadhani itakuwa busara kubwa kwa Raila kuachana na waoga wanaomzuka na kumcbochea kukataa matokeo. Akubali na atoe hotuba ya kuconcede. Wengi tutamheshimu sana.
Siasa mchezo mchafu and always will be.
Hapa uwezekano wa kurudiwa uchaguzi wa urais ni jambo gumu sana unless Bwana Odinga ana strong evidence juu ya uchakachuaji wa kura ulivyofanyika.
Internal & external factors zimechamgia kwa kiasi kikubwa ku influence results. Kutokana na habari nilizokuwa naziona kwenye mtandao, nchi za magharibi pamoja na USA zilitaka Raila ashinde kwani ndio kibaraka wao na vilevile Uhuru hawamtaki ukiachilia mbali kesi aliyokuwa na The Hague.
Kwa mtazamo wangu watu wa nje kuwa na influence nyumbani kwako ni kitu ambacho mimi sikubaliani nacho hata kidogo ila Uhuru nae ana weakness zake ambazo nina wasiwasi zinaweza kuja kuwa cost waKenya wote kwa ujumla.
All in all ingekuwa na candidate mwengine aliyeshinda beside Uhuru binafsi ningefarijika zaidi.
Nawatakia amani wa Kenya wote.......
Asanate sana mkuu.
Huyo Jaluo akubali kushindwa tu na ajaribu 2017 tena
Achana na porojo za watu wa magharibi hizo.
Watu nairobi wako na shamrashamra huku wameshika picha za mtoto wa Mama Ngina mwenyewe...
Hizo habari peleka Facebook...
Ni Rais gani anaeingia mkataba wa maandishi na baadae kuukana kwa kisingizio cha ushawishi wa Shetani......
Ni Rais gani anae tuhumiwa kwa makosa ya jinai dhidi ya bin-Adam wenzie na kusimamishwa kizimbani......
Ni Rais gani anae miliki ardhi yenye rutuba sawa na nusu ya nchi anayoitawala, Huku wengine wakiishi kwenye mapango ya milima ya Ngon'g......
Huyo ni Uhuru Muigai Johnstone Kamau...Hongereni wadau.
Ni Rais gani anaeingia mkataba wa maandishi na baadae kuukana kwa kisingizio cha ushawishi wa Shetani......
Ni Rais gani anae tuhumiwa kwa makosa ya jinai dhidi ya bin-Adam wenzie na kusimamishwa kizimbani......
Ni Rais gani anae miliki ardhi yenye rutuba sawa na nusu ya nchi anayoitawala, Huku wengine wakiishi kwenye mapango ya milima ya Ngon'g......
Huyo ni Uhuru Muigai Johnstone Kamau...
Hongereni wadau.
hiyo ni historia, he is the man, ata akikutwa na makosa at least wakikuyu na kalenjin roho zao zimeburudika
...atakuwa na miaka 73 wakati huo, kama ameshindwa 2007 na 2013 wakati akiwa kwenye peak sioni uwezekano wa kufanikiwa 2017...
Hivi wanaposema apate kura 50%+1. hyo Plus one ina maana gani?
sidhani denial inamsumbua. Ameibiwa kura na wana evidence. Wait and see