Raila Odinga akataa matokeo na ameahidi kufikisha malalamiko Mahakama Kuu.

Raila Odinga akataa matokeo na ameahidi kufikisha malalamiko Mahakama Kuu.

Kenya imekabidhiwa kwa watu wa ajabu kweli kweli, time will tell na haitachukua muda president na makamu wake kukorofishana wakati wa kugawana madaraka.
 
I will not be surprised if the next thing i hear is that mungiki have sent another letter, i trust the stewardship of willy mutunga the way i trust that Hillary Clinton is a true friend of kenya.
 
ha ha ha ha ha ha!!atakuja na single ya matokeo yameibiwa!!
 
Mimi naweza kutoa sababu zangu mbili kuu zilizosababisha Raila kushindwa
1. Ruto ndo aliyekuwa anchor wa Raila 2007, nafikiri Raila alijiaminisha ndivyo sivyo. Isingekuwa Ruto mwaka 2007 angeshindwa kirahisi sana na wala asingekuwa PM.

2. Rafiki zake wa magharibi walimwaminisha ndivyo sivyo, walifikiri jamaa waki-washitaki ICC, basi watawatisha wakenya kutowachagua. Lakini badala yake, ilimpa Uhuru position njema hasa unapotaja tu neno wazungu wasituchagulie kiongozi.Neno wazungu lilikuwa na bad implication kwa Raila na it was working against him. Hasa kama tz wakimkumbuka chief Magungo wa usovero.
 
Mimi hizi kauli not yet uhuru, au kama ndugu zetu wa chadema wanavyosema wanataka kuikomboa nchi, huwa naona wanadownplay jitihada za wazee walipigania uhuru. Nadhani bora watafute lugha nyingine ya kuhamasisha watu...

My friend, the word "Uhuru" has got very broad meaning that covers all aspects of our daily life. even yourself, you can define on any how that you think the majority will understand you. If you have gone through that book, his dad narrated the political environment at that time in Kenya and came to a conclusion that NOT yet Uhuru, and his son since past election in Kenya and the recently announced results, he has come to a conclusion that "democracy is on trial". Therefore to me, even Chadema when they are using such word "wanataka Kuimboa Nchi" it doesn't mean that they are undermining the effort of our heroes. That is just a political slogan that is easy to be undestood by indigenous citizens on what Chadema need to do to other aspects of Uhuru that are not been accomplished by others since we got Uhuru (in case they have power). You are allowed to critisize them that the language used by Chadema is not accepted.
 
Hii ndiyo laana ya Afrika. Hatuheshim matakwa ya raia wala misingi ya utawala tunaojiwekea. Ilikuwaje System mpya, iliyogharim mabillion, ikafa ghafla? Kibaki ndiye mwenye vyombo vya dola,mtu aliye na uchu madaraka wa kupindukia , aliyeapishwa usiku, hawezi kushindwa kutumia machinery kuchakachua matokeo.

Wazungu ndio maana wanatudharau sana. Siku zote wanatuchukulia kama watu wenye taahila ya akili na mtindio wa ubongo. Afrika pamoja na kuwa na watu zaidi ya milioni 600 lakini haina nguvu UN, haina VETO UN wala haiaminiki. ipo ipo tu na biashara hii ya kuchakachua matokeo, kukuza umasikini na kutukuza upumbavu. hakuna maendeleo ya teknolojia, elimu inazidi kushuka chini. Kwasababu ya watu wake kukata tamaa wana-resort kwenye ngono. Hivyo afrika linabakia kuwa bara lililo duni sana lakini lenye kipaji cha ngono.

kwa biashara hii ya ukabila na uchakachuaji, kenya haiwezi kuwa na heshima hata kidogo na wala haiwezi kuaminika. Hii zana ya East Africa community itakufa tu. Kama Mkikuyu hawezi kuwaheshimu wakenya wengine awezaje kuwaheshim waganda na watanzania?
 
Ana haki ya kuhoji matokeo. Tatizo la Waafrika, ukimchukia mtu, unachukia na hoja zake hata kama ni za maana. Kwa mfano, Raila anasema kuna vituo ambavyo kura zimekuwa nyingi kuliko watu waliojiandikisha! Tena basi, si kituo kimoja! NI zaidi ya vituo 10. Mawakala wake walitolewa nje. Kura zilijumlishwa na kutangazwa matokeo wakiwa hawakushirikishwa. Je, kukubali upuuzi wa aina hiyo ndiyo kuimarika kwa demokrasia? Ushindi wa hila si ushindi.

Hilo sio Tatizo, tatizo hapa ni kwamba huyu jamaa Bw. Odinga ndio mkubwa wa Serikali, na sio mpinzani, mimi sijawahi kusikia ktk historia ya Dunia hii kwamba Serikali inalalamika kuibiwa kura, angekuwa mpinzani sawa angalau ungesema Serikali kwa kutumia machinery yake imeamuibia, lkn ni mkubwa Serikali na Mgombea mwenza wake Bw. Musyoka ni Makamu wa Raisi wa Serikali hiyo hiyo sasa, anamlalamikia nani, haswa?

 
Hii ndiyo laana ya Afrika. Hatuheshim matakwa ya raia wala misingi ya utawala tunaojiwekea. Ilikuwaje System mpya, iliyogharim mabillion, ikafa ghafla? Kibaki ndiye mwenye vyombo vya dola,mtu aliye na uchu madaraka wa kupindukia , aliyeapishwa usiku, hawezi kushindwa kutumia machinery kuchakachua matokeo.

Wazungu ndio maana wanatudharau sana. Siku zote wanatuchukulia kama watu wenye taahila ya akili na mtindio wa ubongo. Afrika pamoja na kuwa na watu zaidi ya milioni 600 lakini haina nguvu UN, haina VETO UN wala haiaminiki. ipo ipo tu na biashara hii ya kuchakachua matokeo, kukuza umasikini na kutukuza upumbavu. hakuna maendeleo ya teknolojia, elimu inazidi kushuka chini. Kwasababu ya watu wake kukata tamaa wana-resort kwenye ngono. Hivyo afrika linabakia kuwa bara lililo duni sana lakini lenye kipaji cha ngono.

kwa biashara hii ya ukabila na uchakachuaji, kenya haiwezi kuwa na heshima hata kidogo na wala haiwezi kuaminika. Hii zana ya East Africa community itakufa tu. Kama Mkikuyu hawezi kuwaheshimu wakenya wengine awezaje kuwaheshim waganda na watanzania?

Msimamizi wa shughuri za serikali
Alikuwa waziri mkuu, Odinga na kwanini wasilaumiwe yeye ?
 
Hilo sio Tatizo, tatizo hapa ni kwamba huyu jamaa Bw. Odinga ndio mkubwa wa Serikali, na sio mpinzani, mimi sijawahi kusikia ktk historia ya Dunia hii kwamba Serikali inalalamika kuibiwa kura, angekuwa mpinzani sawa angalau ungesema Serikali kwa kutumia machinery yake imeamuibia, lkn ni mkubwa Serikali na Mgombea mwenza wake Bw. Musyoka ni Makamu wa Raisi wa Serikali hiyo hiyo sasa, anamlalamikia nani, haswa?


uchaguzi uliendeshwa na tume HURU, siyo serikali ya Kenya
 
I don't think if it will work out!

Why not?
Nimemkubali odinga anaandika upya historia mpya ya demokrasia ya africa mashariki.
Safi sana Odinga. Ni haki yako kikatiba.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kenya imekabidhiwa kwa watu wa ajabu kweli kweli, time will tell na haitachukua muda president na makamu wake kukorofishana wakati wa kugawana madaraka.


Kivipi ni watu wa ajabu Mazee.

Ni madaraka gani hayo ya kugawana wakati teyari tunajuwa nani ni Rais, nani ni Makamu na kazi zao katika jamii etc etc etc??!!!
 
Ahsante sana Mkuu. Kama kuna dosari lazima zirekebishwe vinginevyo chaguzi katika nchi nyingi za Kiafrika zitaendelea kuwa upuuzi mtupu ambao mabilioni ya pesa yanatumika lakini matokeo yanachakachuliwa miaka nenda miaka rudi.

wacha arekebishe demokrasia...
 
Mimi hizi kauli not yet uhuru, au kama ndugu zetu wa chadema wanavyosema wanataka kuikomboa nchi, huwa naona wanadownplay jitihada za wazee walipigania uhuru. Nadhani bora watafute lugha nyingine ya kuhamasisha watu...

You know nothing about Literature,
You know nothing about interpretations.
Kaa kimya hujui kitu.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Odinga is always up to something, I don't trust him at all.
 
uchaguzi uliendeshwa na tume HURU, siyo serikali ya Kenya

Sio kweli, Tume iko Huru lkn, Lakini ni jukumu la Serikali kuisimamia na kuhahakisha kwamba inafwata Sheria za nchi, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kwamba kura haziibiwi, kuilipa hiyo tume na ndio maana tume inafanya kazi na Jeshi la Polisi watu wa Usalama n.k ambao ni Serikali!
 
Sio kweli, Tume iko Huru lkn, Lakini ni jukumu la Serikali kuisimamia na kuhahakisha kwamba inafwata Sheria za nchi, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kwamba kura haziibiwi, kuilipa hiyo tume na ndio maana tume inafanya kazi na Jeshi la Polisi watu wa Usalama n.k ambao ni Serikali!
Mkuu njoo Kenya ujifunze sio kubwabwaja mashudu.

*Hii ni tume huru na mipaka ya kenya na haipaswi kuingiliwa utendaji wake na serikali, inafanyakazi katika mazingira kama ya kimahakama.
Na kama inaweza kuingiliwa basi wa kwanza kufanya hivyo atakuwa ni Rais Kibaki ambaye ni Uhuru supporter.

*Ni kweli katika uhalisia wa matokeo Raila kashindwa lakini kama kuna kasoro kadhaa ambazo zinampa nguvu kuhoji matokeo hayo kisheria na ikibidi kubadilisha mwenendo wa matokeo ya uchaguzi, basi hapo yuko sahihi kabisa.

*Japokuwa mimi sio supporter wa siasa za Kenya hususani siasa za Raila Udinga, lakini mambo haya yanayosemwa yanatia mashaka pia kama demokrasia ilifuata mkondo wako
1/Kuna vituo kadhaa vya uchaguzi ambavyo idadi ya kura ilizidi watu waliojiandikisha!!

2/Sheria ya sasa inataka kura zihesabiwe kwa Electronic machine lakini utaratibu ulibadilishwa ili zihesabiwe kwa mikono kwa sababu mitambo ilishindwa!!

3/Wakati wa kuhesabu kura kwa mitambo Zaidi ya kura laki tatu zilikuwa zimeharibika kabla hata kura zote hazijahesabiwa, zoezi la kuhesabu lilipobadilishwa na kuwa kwa mikono kura zilizoharibika zilipungua na kuwa chini ya laki moja!!!

4/Mitambo ya kuhesabu kura iliweza kuzidisha kura zilizoharibika hadi mara 8 zaidi, na sheria inataka kura zote zihesabiwe kwa mitambo!!!
 
La msingi safari hii hawapigani mapanga. Ingefaa Raila akubali tu yaishe, ipo siku yake. Huyu Kenyatta ni sungura kwa ujanja, amefanya hesabu zake vyema na kumshangaza kila mtu. Kwa kuwa sasa wana katiba nzuri ya mfano atalazimika kuwa rais mzuri.
 
Mkuu njoo Kenya ujifunze sio kubwabwaja mashudu.

*Hii ni tume huru na mipaka ya kenya na haipaswi kuingiliwa utendaji wake na serikali, inafanyakazi katika mazingira kama ya kimahakama.
Na kama inaweza kuingiliwa basi wa kwanza kufanya hivyo atakuwa ni Rais Kibaki ambaye ni Uhuru supporter.

*Ni kweli katika uhalisia wa matokeo Raila kashindwa lakini kama kuna kasoro kadhaa ambazo zinampa nguvu kuhoji matokeo hayo kisheria na ikibidi kubadilisha mwenendo wa matokeo ya uchaguzi, basi hapo yuko sahihi kabisa.

*Japokuwa mimi sio supporter wa siasa za Kenya hususani siasa za Raila Udinga, lakini mambo haya yanayosemwa yanatia mashaka pia kama demokrasia ilifuata mkondo wako
1/Kuna vituo kadhaa vya uchaguzi ambavyo idadi ya kura ilizidi watu waliojiandikisha!!

2/Sheria ya sasa inataka kura zihesabiwe kwa Electronic machine lakini utaratibu ulibadilishwa ili zihesabiwe kwa mikono kwa sababu mitambo ilishindwa!!

3/Wakati wa kuhesabu kura kwa mitambo Zaidi ya kura laki tatu zilikuwa zimeharibika kabla hata kura zote hazijahesabiwa, zoezi la kuhesabu lilipobadilishwa na kuwa kwa mikono kura zilizoharibika zilipungua na kuwa chini ya laki moja!!!

4/Mitambo ya kuhesabu kura iliweza kuzidisha kura zilizoharibika hadi mara 8 zaidi, na sheria inataka kura zote zihesabiwe kwa mitambo!!!

Sihitaji kwenda Kenya kujifunza chochote kwa maana walichonacho ni copy paste ya mfumo unaotumiwa na nchi nyingi Duniani!

Ninachoongelea mimi sio u-haki wake wa Kikatiba kwenda Mahakamni, ninachoongelea ni kwamba ni jambo la kushangaza kwenda Mahamakani kulalamikia mfumo ambao wewe ndio kiongozi wake, hayo yote anayoyalalamikia yeye ndio alipaswa ahakikishe hayatokei, maana ya Tume huru sio kwamba wako juu ya Sheria za nchi, ni lazima waachwe wafanye kazi zao kwa Uhuru ndio, sasa ni nani anayesimamia hayo? Tume haina Jeshi wala Polisi au usalama wa Taifa, na ndio kazi ya Serikali!

Narudia sijasema hana haki ya kikatiba kwenda Mahakamani, kila mtu ana hiyo haki, ila ni jambo tu ajabu kwa Mkuu wa Serikali kwenda kulalamika mambo ambayo yeye ndio alipaswa kuhakikisha hata kabla ya uchaguzi hayatokei, ni hilo tu, na hayo ni maoni wala Sio hukumu, hivyo usiwe na jazba!
 
Back
Top Bottom