Raila Odinga anachofanya kwa sasa ni uasi sio siasa. Anajaribu kutaka kufanya mapinduzi. Ruto hapaswi kuwa mpole kupitiliza

Raila Odinga anachofanya kwa sasa ni uasi sio siasa. Anajaribu kutaka kufanya mapinduzi. Ruto hapaswi kuwa mpole kupitiliza

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Nimeona kitu kinachoitwa uhuru wa kidemokrasia kwa nchi za Afrika ni ujinga mtupu! Kwa hali ilivyo hapo Kenya kwa Sasa sio uhuru ni ujinga na ni ulofa wa kisiasa. Maandamano yale anayofanya Odinga na kuwashawishi watu wapindue Serikali sio ya kuyafumbia macho hata kidogo!

Kama katiba ya Kenya ndio inaruhusu ujinga huu basi hiyo ni katiba mbovu kuliko zote duniani. Watu wanamtukana matusi ya nguoni usiku kucha mchana kutwa. Nao ni uhuru wa kidemokrasia kama si uhaini ni nini?

Rais Ruto akiendeleza upole na ulokole kwenye hii ujinga ya Raila atapelekeshwa sana. Anapaswa Sasa kutumia Magufuli style! Hao wanatakiwa wazuiwe hata kukohoa, Wanatakiwa wajifunze duniani kote uchaguzi ukiisha malalamiko ni mahakamani sio kwenda kuzuia shughuli za maendeleo mitaani kwa maandamano ya ovyo kama yale.
 
Wenzako wazae Watoto wewe uue Kwa uchizi wako.
Watu hawatakuacha,
MTawala kuangamiza wanaoangamiza nchi ni sehemu ya utukufu wa himaya !! Hata kwenye biblia wafalme na watawala wote walikuwa Wana wauwa waasi
 
MTawala kuangamiza wanaoangamiza nchi ni sehemu ya utukufu wa himaya !! Hata kwenye biblia wafalme na watawala wote walikuwa Wana wauwa waasi

Embu tupe kifungu kinachoonyesha Raila ni Muasi au ni mhaini?

Nchi inaongozwa na sheria na sio hisia na mihemko ya MTU.

Kama unamihemko itumie kuongoza Watoto uliowazaa na sio nchi. Sisi sio Watoto wako nawe sio mzazi wetu.

Hayo mambo ya Jon ndio yalimkwamisha, anadhani nchi ni familia yake.

MTU ambaye hujamzaa zungumza naye Kwa Hoja, na kufuata Sheria.

Hiyo Biblia yenyewe walikuwa wakifuata SHERIA sio maneno ya mtu
K
 
Back
Top Bottom