Hoffenheim
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 1,077
- 2,505
Chuki haiwezi kupandikizwa.Kuandamana sio shida nenda kafuatilie YouTube maneno ya odinga na washirika wake !
Raila watu wanamjua sana ndiyo maana raisi hangaiki naye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuki haiwezi kupandikizwa.Kuandamana sio shida nenda kafuatilie YouTube maneno ya odinga na washirika wake !
Kagame ameua watoto wa wangapi na leo ni mwaka wa ngapi yuko kwenye utawala?
Mtoto wa mtu akiwa kiherehere anapaswa ale njugu tu ili kumkata wenge. Huyo Raila ataonywa ila asiposikia kitakachomkuta atafurahiNi mshenzi tuu!
Hao anaowatumikia NAO ni washenzi
Wasaidizi wake pia.
Kuua mtoto wa mtu bila sababu zenye mantiki, kiukweli haivumiliki.
Kuna kaukakasi kengine kwenye kinaoitwa "MAHAKAMA KUU" kubariki USHOGANimeona kitu kinachoitwa uhuru wa kidemokrasia kwa nchi za Afrika ni ujinga mtupu! Kwa hali ilivyo hapo Kenya kwa Sasa sio uhuru ni ujinga na ni ulofa wa kisiasa. Maandamano yale anayofanya Odinga na kuwashawishi watu wapindue Serikali sio ya kuyafumbia macho hata kidogo!
Kama katiba ya Kenya ndio inaruhusu ujinga huu basi hiyo ni katiba mbovu kuliko zote duniani. Watu wanamtukana matusi ya nguoni usiku kucha mchana kutwa. Nao ni uhuru wa kidemokrasia kama si uhaini ni nini?
Rais Ruto akiendeleza upole na ulokole kwenye hii ujinga ya Raila atapelekeshwa sana. Anapaswa Sasa kutumia Magufuli style! Hao wanatakiwa wazuiwe hata kukohoa, Wanatakiwa wajifunze duniani kote uchaguzi ukiisha malalamiko ni mahakamani sio kwenda kuzuia shughuli za maendeleo mitaani kwa maandamano ya ovyo kama yale.
Mtoto wa mtu akiwa kiherehere anapaswa ale njugu tu ili kumkata wenge. Huyo Raila ataonywa ila asiposikia kitakachomkuta atafurahi
Mtoto wa watu ndio kama nani? Kama ni innocent citizens sawa, ila kama ndio hao watoto za watu wanaoua raia wengine (mfano kwa kuwauzia madawa ya kulevya), wao ndio hawatakiwa kuuliwa na mamlaka ya rais?Ni mshenzi tuu!
Hao anaowatumikia NAO ni washenzi
Wasaidizi wake pia.
Kuua mtoto wa mtu bila sababu zenye mantiki, kiukweli haivumiliki.
Tulieni polepole falsafa za jpm mnazielewaNimeona kitu kinachoitwa uhuru wa kidemokrasia kwa nchi za Afrika ni ujinga mtupu! Kwa hali ilivyo hapo Kenya kwa Sasa sio uhuru ni ujinga na ni ulofa wa kisiasa. Maandamano yale anayofanya Odinga na kuwashawishi watu wapindue Serikali sio ya kuyafumbia macho hata kidogo!
Kama katiba ya Kenya ndio inaruhusu ujinga huu basi hiyo ni katiba mbovu kuliko zote duniani. Watu wanamtukana matusi ya nguoni usiku kucha mchana kutwa. Nao ni uhuru wa kidemokrasia kama si uhaini ni nini?
Rais Ruto akiendeleza upole na ulokole kwenye hii ujinga ya Raila atapelekeshwa sana. Anapaswa Sasa kutumia Magufuli style! Hao wanatakiwa wazuiwe hata kukohoa, Wanatakiwa wajifunze duniani kote uchaguzi ukiisha malalamiko ni mahakamani sio kwenda kuzuia shughuli za maendeleo mitaani kwa maandamano ya ovyo kama yale.
Mtoto wa watu ndio kama nani? Kama ni innocent citizens sawa, ila kama ndio hao watoto za watu wanaoua raia wengine (mfano kwa kuwauzia madawa ya kulevya), wao ndio hawatakiwa kuuliwa na mamlaka ya rais?
Magufuli style yake ilimfikisha wapi?
Kuna watu wako juu ya sheria na wako humohumo serikalini. Wao wanajiona hawagusiki. Ila wanaua na kuharibu maisha ya raia wasio na nguvu either directly au indirect kutokana na maamuzi yao au kutokuwajibika kwao wakati walipokua na nafasi. Hao ni kuua na kufukilia mbali kimyakimya. Kama wao sheria haziwawajibishi wanapoua na kuumiza wengine basi nao ni wa kuua tu kimyakimyaSheria za nchi zinajieleza.
Kama jitu linauza madawa kulevya, sheria zibadilishwe kuwa ukikutwa unauza madawa ya kulevya uuawe.
Sio sheria iseme hivi, alafu MTU aadhibiwe vile. Ni uhuni.
Ndio maana ya serikali, yaani unasheria na taratibu. Na sio Maoni na mihemko ya MTU.
Kuna watu wako juu ya sheria na wako humohumo serikalini. Wao wanajiona hawagusiki. Ila wanaua na kuharibu maisha ya raia wasio na nguvu either directly au indirect kutokana na maamuzi yao au kutokuwajibika kwao wakati walipokua na nafasi. Hao ni kuua na kufukilia mbali kimyakimya. Kama wao sheria haziwawajibishi wanapoua na kuumiza wengine basi nao ni wa kuua tu kimyakimya
Hahhaha mkuu unaijua Kenya? Nakwambia siku akiuwawa ndio itakua mwisho wa taifa la Kenya. Yaani kuanzia Luhyalanda, Nyanza, Coast, Na Ukambana bendera ya Kenya itashushwa itakua ni vita kwenda mbele. Kule siasa ni za kikabila mfano kama huku unakuta ACT ni ya waha so kigoma, Tabora, Rukwa unakuta hakuna chama kingine. Ukienda Kanda ya ziwa unakuta labda CCM ukienda kaskazini ni Chadema so ukigusa kiongozi wa chama umegusa kabila Zima.Mtoto wa mtu akiwa kiherehere anapaswa ale njugu tu ili kumkata wenge. Huyo Raila ataonywa ila asiposikia kitakachomkuta atafurahi
Hahhaha mkuu unaijua Kenya? Nakwambia siku akiuwawa ndio itakua mwisho wa taifa la Kenya. Yaani kuanzia Luhyalanda, Nyanza, Coast, Na Ukambana bendera ya Kenya itashushwa itakua ni vita kwenda mbele. Kule siasa ni za kikabila mfano kama huku unakuta ACT ni ya waha so kigoma, Tabora, Rukwa unakuta hakuna chama kingine. Ukienda Kanda ya ziwa unakuta labda CCM ukienda kaskazini ni Chadema so ukigusa kiongozi wa chama umegusa kabila Zima.Mtoto wa mtu akiwa kiherehere anapaswa ale njugu tu ili kumkata wenge. Huyo Raila ataonywa ila asiposikia kitakachomkuta atafurahi
Ananyooshwa na Kenya inaendelea kuwepo kama kawaida.Hahhaha mkuu unaijua Kenya? Nakwambia siku akiuwawa ndio itakua mwisho wa taifa la Kenya. Yaani kuanzia Luhyalanda, Nyanza, Coast, Na Ukambana bendera ya Kenya itashushwa itakua ni vita kwenda mbele. Kule siasa ni za kikabila mfano kama huku unakuta ACT ni ya waha so kigoma, Tabora, Rukwa unakuta hakuna chama kingine. Ukienda Kanda ya ziwa unakuta labda CCM ukienda kaskazini ni Chadema so ukigusa kiongozi wa chama umegusa kabila Zima.
Kama Moi hakumuua Odinga ndio sembuse Ruto aliyefundishwa siasa na Odinga?? Narudia Tena siku akiuwawa Odinga ndio mwisho wa nchi inaitwa Kenya.
Sawa subiri uoneAnanyooshwa na Kenya inaendelea kuwepo kama kawaida.
Mbona Kikwete bado yupo?Wenzako wazae Watoto wewe uue Kwa uchizi wako.
Watu hawatakuacha,
Na hiyo ndiyo siasa tofauti ya hapo ni maigizo tu.Nimeona kitu kinachoitwa uhuru wa kidemokrasia kwa nchi za Afrika ni ujinga mtupu! Kwa hali ilivyo hapo Kenya kwa Sasa sio uhuru ni ujinga na ni ulofa wa kisiasa. Maandamano yale anayofanya Odinga na kuwashawishi watu wapindue Serikali sio ya kuyafumbia macho hata kidogo!
Kama katiba ya Kenya ndio inaruhusu ujinga huu basi hiyo ni katiba mbovu kuliko zote duniani. Watu wanamtukana matusi ya nguoni usiku kucha mchana kutwa. Nao ni uhuru wa kidemokrasia kama si uhaini ni nini?
Rais Ruto akiendeleza upole na ulokole kwenye hii ujinga ya Raila atapelekeshwa sana. Anapaswa Sasa kutumia Magufuli style! Hao wanatakiwa wazuiwe hata kukohoa, Wanatakiwa wajifunze duniani kote uchaguzi ukiisha malalamiko ni mahakamani sio kwenda kuzuia shughuli za maendeleo mitaani kwa maandamano ya ovyo kama yale.