Hoffenheim
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 1,077
- 2,505
Ni kweli. Kenya ndiyo namba moja kwa EAST AFRICA.wanajisifia wana katiba nzuri
Andika vizuri nikupe like kijana, usikimbie...Katina nzuri kabisa
Anapandikiza chuki kuweka hali ya sintofahamu kwa jamii !!Ni kweli. Kenya ndiyo namba moja kwa EAST AFRICA.
Unamkumbuka Raila Odinga? Alijiapisha tena na polisi walikuwepo wanamlinda. Alifika wapi?
Mtu hana hata wembe mfukoni unaanzaje kumuendea na magari ya kuwasha washa na bunduki wakati una jeshi, polisi na viongozi. Utakuwa kichaa kuhangaika na mtu huyu.
Muache aandamane kama sheria na katiba inavyosema, atachoka mwenyewe.
Familia inayopiga makelele kutwa kucha nje ya nyumba na baba yupo ni ya vichaa tupu ! Lazima itembee fimbo ndipo wajue kuheshimu babaEmbu tupe kifungu kinachoonyesha Raila ni Muasi au ni mhaini?
Nchi inaongozwa na sheria na sio hisia na mihemko ya MTU.
Kama unamihemko itumie kuongoza Watoto uliowazaa na sio nchi. Sisi sio Watoto wako nawe sio mzazi wetu.
Hayo mambo ya Jon ndio yalimkwamisha, anadhani nchi ni familia yake.
MTU ambaye hujamzaa zungumza naye Kwa Hoja, na kufuata Sheria.
Hiyo Biblia yenyewe walikuwa wakifuata SHERIA sio maneno ya mtu
K
Familia inayopiga makelele kutwa kucha nje ya nyumba na baba yupo ni ya vichaa tupu ! Lazima itembee fimbo ndipo wajue kuheshimuEmbu tupe kifungu kinachoonyesha Raila ni Muasi au ni mhaini?
Nchi inaongozwa na sheria na sio hisia na mihemko ya MTU.
Kama unamihemko itumie kuongoza Watoto uliowazaa na sio nchi. Sisi sio Watoto wako nawe sio mzazi wetu.
Hayo mambo ya Jon ndio yalimkwamisha, anadhani nchi ni familia yake.
MTU ambaye hujamzaa zungumza naye Kwa Hoja, na kufuata Sheria.
Hiyo Biblia yenyewe walikuwa wakifuata SHERIA sio maneno ya mtu
K
Mwambie ajaribu aweone WakenyaBora uue wachache uokoe wengi ni mbinu ya kawaida kabisa ya kibindamu hata madereva huitumia kwa road
Kaburini
Sintofahamu unaiona wewe yasiyokuhusu! Btw Pilipili si yako yakuwashia nini?Anapandikiza chuki kuweka hali ya sintofahamu kwa jamii !!
Familia inayopiga makelele kutwa kucha nje ya nyumba na baba yupo ni ya vichaa tupu ! Lazima itembee fimbo ndipo wajue kuheshimu baba
Ni hofu tu. Chuki haiwezi kuenezwa kwa maandamano madogo kama hayo.Anapandikiza chuki kuweka hali ya sintofahamu kwa jamii !!
Kuandamana sio shida nenda kafuatilie YouTube maneno ya odinga na washirika wake !Ni hofu tu. Chuki haiwezi kuenezwa kwa maandamano madogo kama hayo.
Sasa hivi kuna mitandao ya kijamii mingi sana na ni njia ya haraka na rahisi ya kueneza chuki.
Hili jambo la Raia kuandamana nilikuwa sijui nimelijua hapa. Kama ni chuki huoni kuwa ni njia ya haraka sana kuliko maandamano?
Kagame ameua watoto wa wangapi na leo ni mwaka wa ngapi yuko kwenye utawala?Sio kwenye Serikali.
Ukitaka upasuke mapema ukiwa Rais WA nchi Hii jifanye kiherehere kuua Watoto wa wenzako. Udhani kila MTU atakuchekea.
Usipoheshimu watoto wa wenzako ukawaua Kwa sababu za kijingajinga, nakuhakikishia kuna Watu watakuua tuu.
Zipo namna nyingi za kudili na watu lakini kuua, hakika hata ni Mimi MTU wa hivyo sioni Shida
Hii dunia ukijifanya mbabe kuna wababe zaidi yako. Sasa hivi anakoholea kaburini.Ruto akiiga mambo ya JPM Odinga hakohoi.
Wasaliti ndio sumu ya nchi yeyote na chanzo cha machafuko.Hii dunia ukijifanya mbabe kuna wababe zaidi yako. Sasa hivi anakoholea kaburini.
Hakuna watu wasiojulikana tena
MK254 unakubaliana na huyu mataga wa Ccm ?Nimeona kitu kinachoitwa uhuru wa kidemokrasia kwa nchi za Afrika ni ujinga mtupu! Kwa hali ilivyo hapo Kenya kwa Sasa sio uhuru ni ujinga na ni ulofa wa kisiasa. Maandamano yale anayofanya Odinga na kuwashawishi watu wapindue Serikali sio ya kuyafumbia macho hata kidogo!
Kama katiba ya Kenya ndio inaruhusu ujinga huu basi hiyo ni katiba mbovu kuliko zote duniani. Watu wanamtukana matusi ya nguoni usiku kucha mchana kutwa. Nao ni uhuru wa kidemokrasia kama si uhaini ni nini?
Rais Ruto akiendeleza upole na ulokole kwenye hii ujinga ya Raila atapelekeshwa sana. Anapaswa Sasa kutumia Magufuli style! Hao wanatakiwa wazuiwe hata kukohoa, Wanatakiwa wajifunze duniani kote uchaguzi ukiisha malalamiko ni mahakamani sio kwenda kuzuia shughuli za maendeleo mitaani kwa maandamano ya ovyo kama yale.