Raila Odinga mtu mbaya, Kafanya Ruto Achakae

Raila Odinga mtu mbaya, Kafanya Ruto Achakae

chotera

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
6,560
Reaction score
15,864
Pamoja si pamoja,

Ruto pamoja na kua Rais kiukweli kachakaa sana na ile nuru hata usoni haipo yaani mwaka mmoja kachakaa kachoka hatari.

IMG_1513.jpg
 
Pamoja si pamoja
Ruto pamoja na kua Rais kiukweli kachakaa sana na ile nuru hata usoni haipo yaani mwaka mmoja kachakaa kachoka hatari,
View attachment 2701520
Wala hajachakaa bali anajituma kuwatumikia wakenya kufanya kazi usiku na mchana.

Raila ni mpuuz tu kazi kuharibu mali za watu. Na mwisho wake utakuwa mbaya sana
 
Wala hajachakaa bali anajituma kuwatumikia wakenya kufanya kazi usiku na mchana.

Raila ni mpuuz tu kazi kuharibu mali za watu. Na mwisho wake utakuwa mbaya sana
hoja zako zote mbili uko sahihi. Lakini usumbufu anaomfanyia Ruto ni mbaya sana. Na kinachomuumiza ruto si raila ni Uhuru. Haipendezi kabisa mtu ambaye amekuachia kiti ndiye anakuwa mpinzani wako tena anafadhili harakati za kukupindua. Na wakati huo huo anakwenda DRC anajifanya mpatanishi.

Inaonekana hata Uhuru hajui dhana na thamani ya mtu kuwa rais mstaafu....
Ningekuwa ruto ningesimamisha pesheni, marupurupu, na mishahara ya viongozi wote waliomstari wa mbele kwenye maandamano bila kujali ni raila au uhuru ili itumike kulipa fidia ya uharibifu unaofanywa na panya road wao kwa kigezo cha maandamano.
 
Wala hajachakaa bali anajituma kuwatumikia wakenya kufanya kazi usiku na mchana.

Raila ni mpuuz tu kazi kuharibu mali za watu. Na mwisho wake utakuwa mbaya sana
naona humjui Jaramogi Oginga Odinga(baba yake Raila), hao ni motto wa kuotea mbali, wanarithishana tu, ni familia sumbufu kenya toka Kenyatta Mzee
usisahau pia ni Matajiri kupindukia,

naomba nikuulize, ushawahi fika Kisumu..?
 
naona humjui Jaramogi Oginga Odinga(baba yake Raila), hao ni motto wa kuotea mbali, wanarithishana tu, ni familia sumbufu kenya toka Kenyatta Mzee
usisahau pia ni Matajiri kupindukia,

naomba nikuulize, ushawahi fika Kisumu..?

Hajawahi na unadhani Uhuru alikua mjinga, kutafuta udugu wa kifamilia na wakazika tofauti zao na tofauti za wazazi wao,
 
WSR Ana blood laukemia long time ago ndo maana uhunyee alimsaliti akijua hatoboi akatamani RAO ndio akue presdaa lakin ndio hivyo mzee wa bottom up economy Mr WSR na mkewe bibie RACHEL mungu bado anampigania hiyo blood laukemia wanaiona kama mafua
 
Back
Top Bottom