Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani ni sahihi?Sio yeye tu, ndo Wakenya wanavyose siku zote.
HakikaMimi nimeshuhudia kinyume chake kwa maandamano ya siku ile ya Jumatatu ingekuwa Tanzania na ingekuwa enzi za mzilankende watu wangelala kweri kweri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Katika kuwaponda Polisi wa Kenya kuelwkea siku ya Maandamano Makubwa yanayoendelea , Mh Raila Odinga amedai kwamba Polisi wa Tanzania ni waungwana na werevu kama Polisi wa Ulaya , na kwamba wakitaka kukukamata wanasema "NDUGU TUNAOMBA TUKUKAMATE"
Hivi kweli jamani hiki alichokisema Odinga ndicho wanachofanya Polisi wa Tanzania ?
Toa maoni yako .
Eeee bhana eeee!!!Anajua akiivuruga Kenya atakimbilia Tanzania.
Police Force siku zote haina kubembelezana mpaka itakapo Kuwa Police Service...
Si tu sio sahihi, ila sio kweli.Unadhani ni sahihi ?
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji3578][emoji3578]Anajua akiivuruga Kenya atakimbilia Tanzania...
AmenSi tu sio sahihi, ila sio kweli.
Hivi yule afande mjinga yuko wapi na anajisikiaje leo ?Ni sahihi kabisa, Sugu alikuwa anambishia afande tena very senior kule Mbeya alikwenda kumkamata, akaonbwa kwa upole kuwa alinde heshima yake. Kisha akakamatwa kwa heshima na taadhima [emoji41].
Mkuu umeandika facts. Inaonekana ushakuwa victim wa vitendo vya police??Anajua akiivuruga Kenya atakimbilia Tanzania.
Police Force siku zote haina kubembelezana mpaka itakapo Kuwa Police Service...
Achaga toa siri za kambiRaila kaongeza sana chumvi 😀😀😀🙌. Ila kimaadili polisi wa Tanzania wana nafuu kuliko wa Kenya. Hao polisi wa Kenya ni wapenda rushwa na makatili kupindukia...
Wasiojua watakupinga.Kwa jinsi police wa kenya [emoji1139] walivyo wakwetu ni wasafi na waadilifu kabsa ,hajakosea lolote apo.