Kwanini rais Samia afanye ziara ya kisiri nchini Kenya kusuruhisha maandamano yanayopinga ugumu wa maisha? Ina maana gani? Kutumia kodi za kisirisiri

 
Allenda pia Dubai kimya kimya baada ya kutrace ndege ya raisi ikaonekana yupo Dubai
 
Kwako kunaungua kwa mwenzio kunateketea nani wa kumshauri mwingine. Ruto ulifanya vyema
Anaogopa BBC CNN watatwanga maswali heavy heavy
Ila Arusha kuna mtu kitamramba maswali nje ya ukumbi yatakuwa mingi mingi muanze kusoma kidhungu yasiwakute ya naniliii
 
Kuna uwezekano pia kila Siku Kimya Kimya tunaenda kwa Mfalme Tajiri UAE Kumwambia kuwa Akili za Watanzania wa sasa siyo zile za wale wa Kupelekwapelekwa kama wa Enzi hizo.

Ila GENTAMYCINE sizishangai sana hizi Kimya Kimya Visits kwani hata miaka ya 2005 hadi 2015 kuna Mtu Mwingine nae alisafiri Kimya Kimya kwenda China Kumuokoa Mwanae 'Kidoti Dume' Muuza Dawa za Kulevya ( ambaye sasa karudia tena Kuuza ) ili asinyongwe na Wachina.

Haya nami nasafiri Kimya Kimya leo kwenda nchi Mbili fulani ila nitahakikisha Nawaonya Wenyeji wangu wasiropoke na wasiwe Wambea kama Raila Odinga.
 
Hizi safari tungekuwa tunabeba vijana kadhaa wazamiaji (stowaway) aka wabeba box tunawaacha huko huko ingesaidia sana kuwatoa vijana kwenye msoto, hasa hizi za UAE, Europe na USA.
 
Hata mie sikujua safari za kimya kimya kwa kiongozi wa Taifa !

Kidoti Dume wapo wanaosema atakuja gombea uraisi one day
 
Hata mie sikujua safari za kimya kimya kwa kiongozi wa Taifa !

Kidoti Dume wapo wanaosema atakuja gombea uraisi one day
Hana mvuto, ndo nchi itakuwa ya Wala sembe
 
Raila ameanza uongo soku hizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…