yesuu nilishawahi kuzozana naye na nikamuweka kwenye ignore list oooh si wa tanga huyu may his soul rest in peace
ALINIZENGUA WAKATI ALIKUWA BEST YANGU HUKO MWANZO KHAAAA NIKAMWEKA KAPUNI MAANA NILIKUWA NIKIMUONA HAPA UBAONI MORI UNAAMKA NIKAONA BORA NI MUIGNORE KUEPUSHA SHARIKumbe alishakorofishana na wengi eeh
[emoji1] [emoji1] [emoji1]ALINIZENGUA WAKATI ALIKUWA BEST YANGU HUKO MWANZO KHAAAA NIKAMWEKA KAPUNI MAANA NILIKUWA NIKIMUONA HAPA UBAONI MORI UNAAMKA NIKAONA BORA NI MUIGNORE KUEPUSHA SHARI
DU HAYA BHANA NDO NJIA YETU SOTE[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Yangu ni mazito zaidi ila ndio hayupo tena amekwenda anapostahili
Rubiikimimi[emoji85]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]Ha ha ha akija akibisha kwamba yeye Hakuwa kimada wa Ray nitaweka.
Ujue sikupenda tufike huku. Ila siku moja kwenye Uzi mmoja alisema Mimi ni wifi yani mke wa Raimundo. Anaita watu eti waje waone . akasahau kwamba mti anaoukata ndiyo alioukalia....
Leo pia sikutaka kuchangia huu Uzi kiviile , amekuja hapa ananisema kimafumbo.
Sasa kama yeye Hakuwa kimada wa Raimundo na kilichofanya wagombane ni alidanganya kwamba ATM card imesahaulika alipie lodge na misosi halafu jamaa hajamrudishia aje hapa abishe...
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hauvumi lkn umo wewe nimekushindwa!!ikianza unite!!Jamani muvi iendelee, Ndio naingia ukumbini hivyo na barafu zanguu
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] 100%true!!SBR ni mcc wangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hawa ndio wanaume wa jf
kuna wanaume wanajielewa humu, huwezi kuwakuta kwanza majukwaa haya, pili hawana mda wa drama, busy na mambo muhimu,hata real life wako vizuri pia.uwii mpaka natamani kuwa cc[emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8] ,this is to all gentlemen here,
part 2 sasa ndio hawa utawakuta kila thread, vijembe, umbea, uchochezi yani 24/7 wapo pm mara thread hii etc kama wadada vile [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,uwiii hawa nikianza kuwa cc ni wengi mno,
mdogo angu take note, usijibu pm za namna hio, usijimix kabisa lolest, nimeandika huku nacheka
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]yesuu nilishawahi kuzozana naye na nikamuweka kwenye ignore list oooh si wa tanga huyu may his soul rest in peace
mambo na wewe huwa unapotea sana jamanii[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
..............[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] 100%true!!SBR ni mcc wangu
Cc BL
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji85] [emoji85] [emoji85] no comment!!..............
brain is the beautiful part of the body.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nani kapanic kati yangu na wewe, huongei na machizi ila umekuja kunijibu hapa, hahaha haya am backUMEALIKWA?
Kwa kifupi HAYAKUHUSU.
Hivi wewe na mwenzako si ndiyo kuna siku mlikuwa mnachamba MAITI?
Nyie baada ya msiba wa IBRA87 si mliweka kikao mkamchamba kisa aliwasemaga ? Msivyo na haya.
Kinakuuma nini Mimi kupambana na rubii aliye hai??
Ungejitokeza kipindi anasema Mimi ni mke wa Raimundo anaita na watu Waje waone. Mlidhani ningekaa kimya ??
Sijaona cha kukushangaza Mimi nadeal na mtu aliye hai singoji afe ndiyo nije nimwage povu kama kuku mwenye KIFAFA.
Ha ha ha ha mnayajua yangu?? TANGAZENI na pia pole sana.
Mimi jf nipo kivyangu na sijuani na YOYOTE Upoo? Msisahau kuja na evidence.
Kwanza mambo yenyew yameshapita sijui umetokea wapi kama jipu la mata.koni.
Sikushangai siku zote unaingiliaga sherehe ambazo haujaalikwa.
Unaishia kutukanwa tuu.
sumbai anahusika nini? Kwa kifupi umepanic... Relux
Sibishanagi na machizi Mimi .
Jinafasi.
Leo jumatatu siku ya kazi kunya ukimaliza zoa..
Nyoooooo!!!!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
kheee kumbe dada bado unanifatilia, enhe nimerudi hebu unipe hizo kikiMimi nlishaelewa kaja kutafuta kiki nkaachana nae...mara naondoka wiki sitokuwepo lkn unaona yupo tu.
hivi kuitwa tu mke wa raimundo ndio mipovu inamtoka hivi au ulimuibia mume? dogo hebu kuwa mkweli?
hebu oneni huyu si ulikuwa busy kuuliza enhe rubi alikopwa etc, now unajifanya yaishe, hadi unapewa cc katikati ya nyuzi kama hizi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,walahi uanaume kazi si ndogo,Fanya yameisha
nimekumiss, kuja watsap nimerudii. [emoji8][emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] haya
Rubiikimimi[emoji85]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] si wanaume wote wachache tuHahahaha leo humu ni wanaume wanasakamwa tu ,,, tuanze operation timua umbeya kwa wanaume maana wanatuzidi sasa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] hebu usinichekesheKumbe alishakorofishana na wengi eeh
Nipo boss.....mambo na wewe huwa unapotea sana jamanii