KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,789
- 4,951
Huyo toa kabisa tupa kule 👉1. Mzee.Abdulrahman Kinana
Jiwe anafanana na hao waliotajwa hapo juu?Upuuzi,hamjifunzi Kwa Nyerere &Jiwe tuu? Na nakuhakikishia Jiwe angekuwa hai Tanzania ingekuwa kama Zimbabwe.
Hakuna mtu anaweza ruhusu Hilo tena
Haitakuja kutokea PM akawa Rais hapa Tanzania,shika hii itakusaidia hususani ccm okiendelea kushika Dola.Japo ni ukweli mchungu ila number 4 na 5 ni very likely.
Labda mambo yaharibike sana(kwa sauti ya kutoka kwenye mananasi huko msoga)
Kumbe? Hao wote Wajamaa na makatili kasoro Mwinyi na PM kidogoJiwe anafanana na hao waliotajwa hapo juu?
Watu wa hihemko na mdomo mwingi ni zero brain hamna kitu hao mtaishia kuambulia maneno meengi ya kufarijiwa.Bashiru waluwalu.hana msimamo, kigeugeu, hana msuri wa uongozi.
Kinana atajimilikisha mbuga zote za wanyama hasa hifadhi zenye tembo.
Akili zako umezisahau wapi.Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana...
Hapo hakuna wa kumfikia Dkt Samia. Ni Dkt Samia tu!Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa
Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
Tryto be serious.Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa
Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
Chomoa Namba 1 Namba 4 tupa kule kabisaaaHii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa
Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi