Rais ajaye Tanzania atokane na mmojawapo wa viongozi wafuatao

Rais ajaye Tanzania atokane na mmojawapo wa viongozi wafuatao

Kwa heshima na taadhima naomba viongozi wa kuu wa mihimili mitatu ya nchi wajao baadae wawe WANAUME.

Pia Kiongozi wa juu kabisa awe MWANAUME.
Wenye Hekima wamenielewa.
Asanteni Sana.


Ukitaka kupita njia hii ukumbuke marais wote kabla ya Rais Samia walikua wanaume.



Halafu mapungufu na madhaifu ya mtu hayatokani na jinsia yake.



Kibaya zaidi hao wanaume unaowataka kwa maisha tuliyonayo sasa na yanayoendelea huku duniani Una hakika utawapata wote wanaume kamili?



Jinsia ya mtu haishiriki katika utendaji.

Jinsia ya mtu ni kiwakilishi cha kusudi la maumbile yake katika uumbaji.

Udhaifu wa mtu hauwakilishwi na jinsia yake na jinsia haibebeshwi lawama bali mtu hubeba lawama za mapungufu na madhaifu yake.
 
Ngazi ya urais anakaa yeyote ili mradi azungukwe na wenye akili(Julius Malema),nasisitiza wenye akili na si wezi/madalali/wahuni/matapeli/majambazi

Hata akikaa Piere konki liquid ataongoza vizuri as long as wenye akili wamemzunguka.
 
Hakuna kiongozi yeyote dunianian anaweza kukuletea maendeleo, maendeleo yatakuja kwa ufahamu wa wananchi, bila hivyo ni kazi bure, au labda niseme hivi wakati kiongozi anasema tupite hapa wananchi wanasema tupite huku hapo ndipo panatokea maendeleo.
 
Ukitaka kupita njia hii ukumbuke marais wote kabla ya Rais Samia walikua wanaume.



Halafu mapungufu na madhaifu ya mtu hayatokani na jinsia yake.



Kibaya zaidi hao wanaume unaowataka kwa maisha tuliyonayo sasa na yanayoendelea huku duniani Una hakika utawapata wote wanaume kamili?



Jinsia ya mtu haishiriki katika utendaji.

Jinsia ya mtu ni kiwakilishi cha kusudi la maumbile yake katika uumbaji.

Udhaifu wa mtu hauwakilishwi na jinsia yake na jinsia haibebeshwi lawama bali mtu hubeba lawama za mapungufu na madhaifu yake.
Hivi unajua ni kwanini mataifa ya zamani yalikuwa hayamhesabu mwanamke kwenye SENSA ya watu na makazi?

Au ni kwanini Mwanamke hakuwa Mwanajeshi ?

Ni kwanini zamani hakukuwa na Kiongozi Mwanamke?

Sisi wenye imani za Dini ni kwanini zamani hakukuwa na Manabii Wanawake?

Pamoja na yote uko Ujasiri ndani ya Mwaname na kuna Udhaifu ndani ya Mwanamke.

Mfano. Mwanamme anashawishika na vitu vichache sana tufanye Rushwa.

Ila Mwanamke anashawishiwa na vitu vingi sana.
Mfano
Akivutiwa na Mwanaume wa mbali sana na mgeni kabisa na kuamua kuolewa naye, anahama kabisa katika makazi yake ya asili na nyumbani kwake na hata Nchi yake na kwenda kuishi nchi ya Ugenini Milele.

Ndio maana hadi leo kuna baadhi ya Makabila hayamrithishi Ardhi Mwanamke.
Ni rahisi kwake kuiuza ardhi ya familia kwakuwa tu ana ardhi nyingine kwenye urithi wa mumewe.

Ukisoma kwa kutafakari utagundua kitu kizuri.
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwanini nchi inawahitaji zaidi
Kinana, hafai hata kidogo.....huyu atauza nchi kwa Al Shabab tu. Nchi itakuwa salama ikiwa chini ya Majaliwa au Prof. Kabudi
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwanini nchi inawahitaji zaidi
Wamezeeka hao kiufupi vikongwe
 
Hivi unajua ni kwanini mataifa ya zamani yalikuwa hayamhesabu mwanamke kwenye SENSA ya watu na makazi?

Au ni kwanini Mwanamke hakuwa Mwanajeshi ?

Ni kwanini zamani hakukuwa na Kiongozi Mwanamke?

Sisi wenye imani za Dini ni kwanini zamani hakukuwa na Manabii Wanawake?

Pamoja na yote uko Ujasiri ndani ya Mwaname na kuna Udhaifu ndani ya Mwanamke.

Mfano. Mwanamme anashawishika na vitu vichache sana tufanye Rushwa.

Ila Mwanamke anashawishiwa na vitu vingi sana.
Mfano
Akivutiwa na Mwanaume wa mbali sana na mgeni kabisa na kuamua kuolewa naye, anahama kabisa katika makazi yake ya asili na nyumbani kwake na hata Nchi yake na kwenda kuishi nchi ya Ugenini Milele.

Ndio maana hadi leo kuna baadhi ya Makabila hayamrithishi Ardhi Mwanamke.
Ni rahisi kwake kuiuza ardhi ya familia kwakuwa tu ana ardhi nyingine kwenye urithi wa mumewe.

Ukisoma kwa kutafakari utagundua kitu kizuri.

Bado haithibitishi kwamba jinsia ya mtu ndio inasababisha makosa ya mtu.

Tambua ya kwamba makosa anayofanya mwanamke hata mwanaume anaweza kuyafanya na makosa yanayofanywa na mwanaume hata mwanamke pia anaweza kuyafanya.

Udhaifu hauna jinsia na hili nadhani hali ya mabadiriko ya mienendo ya kimaadili na ukuaji wa binaadam tayari imelithibitisha.

Watu wa kale kufanya jambo fulani haina uhalali wa kwamba jambo hilo ndio njia ya kweli na halali ya kupitia hata sasa ambapo nyakati zimebadirika.

Maisha tunayoishi sasa na vichocheo vilivyopo ndani ya mazingira yetu ni fundisho tosha kwamba binaadam wote ni Sawa.

Utu, Uadilifu, Heshima, Uthabiti na Uimara wa mtu haujengwi na jinsia yake pekee bali na mazingira ikiwemo jamii inayomzunguka.








Case study ya Rais wetu, hivi kweli hatujui kwamba Wanaume Mzee Kikwete na Mzee Mwinyi ndio washauri wake wakuu? Au ndio Kama kawaida fuko la mavi alibebe mwanamke Kisa jinsia yake?!



By the way; Enzi za John Mnyika kumuita Mzee Kikwete Dhaifu ndani ya Bunge la JMT unazikumbuka? Jinsia yake ilikua ya kike kipindi kile?
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwanini nchi inawahitaji zaidwe
Weka pembeni abdulrahmani kinana. Wewe humjui. Huyu mzee inabidi astaafu. Namba 2 na kushuka wote safi ila ongeza balozi Polepole. Yaani hapo yoyote nchi itarudia tempo ya maendeleo kama ile ya awamu ya tano.
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwanini nchi inawahitaji zaidi
Kwa nini umeanza na Abdullahman Kinana!! Futa kabisa hilo jina
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwanini nchi inawahitaji zaidi
Toa #4 weka Freeman Mbowe. Rais hawezi kutoka upande mmoja wa muungano consecutively
 
Back
Top Bottom