Rais ajaye Tanzania atokane na mmojawapo wa viongozi wafuatao

Rais ajaye Tanzania atokane na mmojawapo wa viongozi wafuatao

Zamu kwani Ikulu ni msalani ndugu mtanzania?
Zamu kwani Ikulu ni chumba cha daktari ?
Zamu kwani Ikulu ni kitanda cha kahaba?
Zamu? Nini maana ya zamu?
Zamu zimesaidia nini mpaka sasa?



Hii dhana ya zamu imetuleta hapa tulipo. We feel entitled it’s undeniably pathetic!

Kwamba kila mmoja anajiona na haki na zamu ya kuingia Ikulu and then what? Kutimiza zamu ama kuwavusha watanzania regardless ni zamu ya nani?!

Haya tunaomba ratiba ya zamu za Hindu, Buddha Non Believers ni lini kwa mujibu wa kalenda zenu?! Au ndio wamechagulishwa pande kwa lazima?! Kimya kimya?!



Mamlaka ya Urais yanatakiwa kuongozwa na watu wenye nia ya dhati kabisa ya kuwapeleka watanzania katika nchi ya ahadi.

Watu wenye maono na malengo ya kweli juu ya Tanzania ya miaka 100 ijayo na sio miaka 10 eti zamu!







Hebu tushirikiane katika ujenzi wa nchi tusonge mbele. Ubaguzi ni dhambi!







Ikulu - Nyumba kuu/ Nyumba takatifu /Nyumba ya Mkuu




Ikulu ni mahali patakatifu na sio lango la wanyang’anyi. - Mwalimu Nyerere
[emoji106]
 
Haitakuja kutokea PM akawa Rais hapa Tanzania,shika hii itakusaidia hususani ccm okiendelea kushika Dola.

Samia ni Bora kuliko Mwinyi.
Mkuu rudi Maktaba ukafanye mapitio upya ya Historia ya nchi hii. Maana Rais wa kwanza wa nchi hii aliwahi kuwa PM
 
twende na kabudi.atatuvusha sana.harafu baada ya mh SSH lazima aje mkristo
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwanini nchi inawahitaji zaidi
Bado Katiba hauifahamu unawezaje kusema mambo ya kikatiba kirahisi hivi!
Kajifunze kwanza katiba
 
Shida sio mtu, muhimu ni taasisi imara yenye muongozo ulionyoka lakini tukibaki kwenye haiba pekee nadhani shida zitabaki pale pale. I submit!
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwanini nchi inawahitaji zaidi
Mbona umemsahau mheshimiwa January Yusuf Rajab Makamba?
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwanini nchi inawahitaji zaidi
Hiyo namba 5 ni magufuli kabisa sema hawawezi mpa tutegemee husen mwinyi mdik tetesi zilizopo mezani.
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwanini nchi inawahitaji zaidi
Hawa wote hawafai,
Mwinyi anafanya mambo ovyo ovyo kama vile hana washauri,
1. Unguja mjini kuna masoko makuu matatu,
Soko la Kwerekwe, la Darajani na la Mombasa, soko la kwerekwe alilibomoa 2022 hadi sasa halijakamilika, soko la mombasa nalo kaliangusha chini, hala kwa miezi kadhaa soko la Darajani nalo alilifunga,
Una jiuliza huyu ni rais wa aina gani?
Je huyu ana washauri kweli?
Jenga soko la kwerekwe limekamilika lifungue, kisha jenga la Mombasa then uhamie na kuwlekeza nguvu kwenye masoko mengine mapya,
Leo hii unawatesa wafabiashara wa masoko yote, umewaweka sehemu, jua na mvua pamoja na tope ni zao,
Halafu uje umpe nchi kubwa kama Tanganyika yule?
Atauza visiwa na rasilimali zote kwa wageni.
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwanini nchi inawahitaji zaidi
Actually no4 will be in near future
 
1. Mzee.Abdulrahman Kinana

Meli ya huyu dingi ilikutwa na pembe za ndovu huko Vietnam akadai eti ni kweli yeye meli ni yake ila hajui mteja alikuwa kapakia nini. Hauwezi kupakia mzigo kwenye meli bila kujua kilichopakiwa. Uadilifu wake ni mashaka matupu. Hafai kuwa Rais wa Tanzania.

2. Prof. Palamagamba Kabudi

Huyu dingi hana kashfa za ufisadi ila alishiriki kudanganya watanzania kwamba tunaidai Barric trilioni 495. Kwa uongo alioshiriki hafai kuwa Rais.

3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa

Katibu mkuu kiongozi wa zamani hafai kabisa kuongoza nchi ya kidemokrasia. Alishiriki kikamilifu kubomoa umoja wa watanzania uliojengwa kwa miaka mingi. Shukrani kwa Mama Samia kuleta maridhiano tena.

4. Dkt. Hussein Mwinyi

Dr Mwinyi anafaa kwa zaidi ya 100% kuwa Rais wa Tanzania. Sifa zake zinaeleweka hakuna haja ya ufafanuzi.

5. PM Kassim Majaliwa

PM pia anafaa sana. PM anaweza kulaumiwa ila kwa cheo chake sio mwamuzi wa mwisho kwahiyo mambo mengine sio kwa utashi wake. Imagine huyu ndo PM pekee aliyewahi kuambiwa na boss wake kuwa mashangazi zake watapigwa. PM anafaa kuwa Rais wa Tanzania.
Wakati mwengine tujaribu kutoa maoni yetu kwa kufikiria vizuri. Ukisafirisha container, unajaza nyaraka kuelezea mzigo wako, shipping agent hana haki ya kufungua container lako, ila linafunguliwa na customs au linapitishwa kwenye scanner. Shipping agent hana lawama. DIAMOND shipping haina meli wale ni shipping agents tu. Ukikodisha lorry ukapakia magnificent 50, mwenye lorry anayafungua magunia yako kucheki kuna nini ndani.
 
Wakati mwengine tujaribu kutoa maoni yetu kwa kufikiria vizuri. Ukisafirisha container, unajaza nyaraka kuelezea mzigo wako, shipping agent hana haki ya kufungua container lako, ila linafunguliwa na customs au linapitishwa kwenye scanner. Shipping agent hana lawama. DIAMOND shipping haina meli wale ni shipping agents tu. Ukikodisha lorry ukapakia magnificent 50, mwenye lorry anayafungua magunia yako kucheki kuna nini ndani.
Utetezo wako ni wa hovyo mno. Yaani sitaki hata kukuelewesha kwasababu umejitoa kabisa akili. Kwahiyo mwenye lori atajibebea tu magunia bila kujua kilichopakiwa? Kwa hizo akili zako utabebeshwa drugs kirahisi sana.
 
Hiyo namba 5 ni magufuli kabisa sema hawawezi mpa tutegemee husen mwinyi mdik tetesi zilizopo mezani.

Kwamba Khasim Majaliwa na Hayati John Magufuli wamekatwa toka kitambaa kimoja?


Sidhani.




Hayati Magufuli aliita kijiko kijiko na koleo koleo, hakujali kabisa Kama Una mwili wa nyama wala wa chuma. Alipania kupitisha ruler, tena kwa makusudi kabisa na alijua mwisho wake ni futi sita kwenda chini na haupo mbali.




While Khasim Majaliwa yeye philosophy yake ‘anataka isomeke’ as Muungwana, Mkali lakini mpole, Anazo nguvu lakini hataki kuzitumia maana anaogopa kuumiza watu, anayo meno ila hataki kung’ata. Amenyooshwa na Mfumo, hawezi kwenda mrama.
 
Kwa heshima na taadhima naomba viongozi wa kuu wa mihimili mitatu ya nchi wajao baadae wawe WANAUME.

Pia Kiongozi wa juu kabisa awe MWANAUME.
Wenye Hekima wamenielewa.
Asanteni Sana.
 
Back
Top Bottom