Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Unanikosha we mdada hadi raahaaa [emoji120][emoji2956][emoji7]Hapo hakuna wa kumfikia Dkt Samia. Ni Dkt Samia tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanikosha we mdada hadi raahaaa [emoji120][emoji2956][emoji7]Hapo hakuna wa kumfikia Dkt Samia. Ni Dkt Samia tu!
Baguzi kubwa wewe....Hussein Mwinyi hapana, hafai.
Anauza visiwa vya Zanzibar kwa Waarabu kama ambavyo Samia anauza bandari za Tanganyika kwa Waarabu wa Dubai.
Huo ni uhaini dhidi ya Jamhuri.
Uhaini unamwondolea kiongozi yeyote sifa ya kuendelea kuwa kiongozi.
KInana hapana, maana ile kashfa ya meli bado inamwandama.
Majaliwa hapana maana naye anaunga mkono hadharani kuuzwa kwa bandari zetu.
Kabudi na Kinana tuendelee kuwafikiria.
hata mmoja kati ya hao hafai. kwasa sasahivi ni zamu ya mgalatia na mtu toka bara. period.
Hata tukienda kwa zamu viongozi waadilifu wanaweza kupatikana tu. ni zamu yetu na lazima na makamo wa rais awe na akili, sio mtu anachagua alimradi siku akija kufa anatuachia msala. chalamila alisema jambo la maana sana kipindi kile.Nchi inayoongozwa kwa zamu Kama vile ni foleni ya kwenda msalani!
Bado mnategemea viongozi waadilifu na wenye nia ya dhati ya kuleta maendeleo kwa nchi na watu wake kwa akili hizi?!
Maliza matusi yote....hata tukienda kwa zamu viongozi waadilifu wanaweza kupatikana tu. ni zamu yetu na lazima na makamo wa rais awe na akili, sio mtu anachagua alimradi siku akija kufa anatuachia msala. chalamila alisema jambo la maana sana kipindi kile.
Hebu Kinana mtoe muweke LukuviHii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa
Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
Tanzania ni taifa la kipekee...Nchi inayoongozwa kwa zamu Kama vile ni foleni ya kwenda msalani!
Bado mnategemea viongozi waadilifu na wenye nia ya dhati ya kuleta maendeleo kwa nchi na watu wake kwa akili hizi?!
Hakuna kiongozi hapo.Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa
Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
Sababu ni Mtoto wa Yusufu Makamba au ?January Makamba ndiye rais wa JMT ajaye.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787]January Makamba ndiye rais wa JMT ajaye.
Hamna kitu,Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa
Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
Kobaz tupuHii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa
Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
Hussein nitasema uongo, simjui; hao wengine ni wezi, mafisadi, na, waongo wa kutupwa. Mwenyezi Mungu atupishie mbali.Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa
Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
JPM alikuwa anaipeleka Nchi pabaya sana.Jiwe anafanana na hao waliotajwa hapo juu?
Mwl. Nyerere mbona alikuwa PM na akaja kuwa Rais?Haitakuja kutokea PM akawa Rais hapa Tanzania,shika hii itakusaidia hususani ccm okiendelea kushika Dola.
Samia ni Bora kuliko Mwinyi.
Baada ya mama next ni mwinyi jrAkili zako umezisahau wapi.
Kinana msomali.
Kabudi mwongo ndumilakuwili.
Bashir si raia.
Mwinyi raia wa Zanzibar
Kasimu mwongo.Magufuli ni mzima a Achapakazi.
2030 ni Mwinyi jrNaunga mkono No. 4, nami niliwahi kumpendekeza Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke nilisema
P