Rais ajaye Tanzania atokane na mmojawapo wa viongozi wafuatao

Rais ajaye Tanzania atokane na mmojawapo wa viongozi wafuatao

Hussein Mwinyi hapana, hafai.
Anauza visiwa vya Zanzibar kwa Waarabu kama ambavyo Samia anauza bandari za Tanganyika kwa Waarabu wa Dubai.
Huo ni uhaini dhidi ya Jamhuri.
Uhaini unamwondolea kiongozi yeyote sifa ya kuendelea kuwa kiongozi.
KInana hapana, maana ile kashfa ya meli bado inamwandama.
Majaliwa hapana maana naye anaunga mkono hadharani kuuzwa kwa bandari zetu.
Kabudi na Kinana tuendelee kuwafikiria.
Baguzi kubwa wewe....

Umefundishwa ubaguzi ?!!!

Yaani mtu anakuwa mpaka raia no.1 halafu unamuongelea kama vile uko ndani ya zile saloon zenu za kike mnazofundishana kupakana "mafuta"...bure kabisa we dada
 
hata mmoja kati ya hao hafai. kwasa sasahivi ni zamu ya mgalatia na mtu toka bara. period.

Nchi inayoongozwa kwa zamu Kama vile ni foleni ya kwenda msalani!

Bado mnategemea viongozi waadilifu na wenye nia ya dhati ya kuleta maendeleo kwa nchi na watu wake kwa akili hizi?!
 
Nchi inayoongozwa kwa zamu Kama vile ni foleni ya kwenda msalani!


Bado mnategemea viongozi waadilifu na wenye nia ya dhati ya kuleta maendeleo kwa nchi na watu wake kwa akili hizi?!
Hata tukienda kwa zamu viongozi waadilifu wanaweza kupatikana tu. ni zamu yetu na lazima na makamo wa rais awe na akili, sio mtu anachagua alimradi siku akija kufa anatuachia msala. chalamila alisema jambo la maana sana kipindi kile.
 
hata tukienda kwa zamu viongozi waadilifu wanaweza kupatikana tu. ni zamu yetu na lazima na makamo wa rais awe na akili, sio mtu anachagua alimradi siku akija kufa anatuachia msala. chalamila alisema jambo la maana sana kipindi kile.
Maliza matusi yote....

Hivi CCM impitishe makamu wa Rais mwepesi kichwani ?!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Ain't serious.....
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
Hebu Kinana mtoe muweke Lukuvi
 
Nchi inayoongozwa kwa zamu Kama vile ni foleni ya kwenda msalani!


Bado mnategemea viongozi waadilifu na wenye nia ya dhati ya kuleta maendeleo kwa nchi na watu wake kwa akili hizi?!
Tanzania ni taifa la kipekee...

Lina muungano wa kipekee...

Kwani ni lazima tuige kwa wengine ?!!! Kwanini haswa ?!!!

Upekee wake ndio hizo uitazo "foleni"....

Upekee wake ni amani na utulivu tulionao.....

#SiempreSSH[emoji120]
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
Hakuna kiongozi hapo.
And it won't be.
Maybe for Hussein.
 
Huwa napatwa na hasira sana pale punguani anapojitokeza na kumuhusisha huyo bashiru na uraisi. Hv tuko serious kweli?!! Bashiru awe raisi?!!!! Huyo mwenye mawazo na hotuba za 1960s aje atutawale sasa hivi?!!!!!! Hapana aisee, kama nchi yatupasa tuwe serious tunapozungumzia uraisi.
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
Hamna kitu,
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
Kobaz tupu
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
Hussein nitasema uongo, simjui; hao wengine ni wezi, mafisadi, na, waongo wa kutupwa. Mwenyezi Mungu atupishie mbali.
 
Nasubiria iyo part two ndio niweke comment yangu sawa
 
Akili zako umezisahau wapi.

Kinana msomali.
Kabudi mwongo ndumilakuwili.
Bashir si raia.
Mwinyi raia wa Zanzibar
Kasimu mwongo.Magufuli ni mzima a Achapakazi.
Baada ya mama next ni mwinyi jr
 
Back
Top Bottom