Rais ajaye Tanzania atokane na mmojawapo wa viongozi wafuatao

Rais ajaye Tanzania atokane na mmojawapo wa viongozi wafuatao

Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
Jinga kabisa
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
PRO MAGUFULI KWA SASA HAWANA NAFASI, WAMETUGAWA SANA KAMA TAIFA
 
Upuuzi,hamjifunzi Kwa Nyerere &Jiwe tu? Na nakuhakikishia Jiwe angekuwa hai Tanzania ingekuwa kama Zimbabwe.

Hakuna mtu anaweza ruhusu Hilo tena
Nyerere na Magufuli walifanya kazi kubwa sana, Kwa kufupisha tafuta Nyerere aliiacha nchi ikiwa namba ngapi kwa Pato la taifa (ranking per GDP worldwide), na Mwinyi aliiacha wapi, Mkapa aliiacha wapi na Magufuli aliiacha wapi?
 
Japo ni ukweli mchungu ila number 4 na 5 ni very likely.

Labda mambo yaharibike sana(kwa sauti ya kutoka kwenye mananasi huko msoga)
Kuna mpango wa kumwingiza Rais ambaye hajawahi kugombea,KWA hio Mwinyi hapana,majaaliwa labda!

Japo magamba matatu anasema ajaye ni muislam tena na atakua na nguvu sana kama jpm !majaaliwa anafit peofile hiyo na Bashiru pia!

Lakini Bashiru ana dosari hasa kipindi kile cha come down ya ku announce msiba wa mzilankende muyango!!japo si rule out kiviile coz fdr wa marekani aliongoza akiwa kwenye wheelchair inawezekana tukampata akiwa mzima then aka be wheel chaired kama yule wa America !!!hatujui NGOJA tuone hadi 2024 tutakua tunajua fdr ni nani coz akaa miaka 12 madarakani!!

NGOJA tuone!!lolote lawezekana!!
 
Kuna mpango wa kumwingiza Rais ambaye hajawahi kugombea,KWA hio Mwinyi hapana,majaaliwa labda!

Japo magamba matatu anasema ajaye ni muislam tena na atakua na nguvu sana kama jpm !majaaliwa anafit peofile hiyo na Bashiru pia!

Lakini Bashiru ana dosari hasa kipindi kile cha come down ya ku announce msiba wa mzilankende muyango!!japo si rule out kiviile coz fdr wa marekani aliongoza akiwa kwenye wheelchair inawezekana tukampata akiwa mzima then aka be wheel chaired kama yule wa America !!!hatujui NGOJA tuone hadi 2024 tutakua tunajua fdr ni nani coz akaa miaka 12 madarakani!!

NGOJA tuone!!lolote lawezekana!!
Unapotaja bashiru naona ramli zako unapiga ukiwa umevuta cha arusha. Nashiru ndio ineshatoka haitajirudia tena
 
Baguzi kubwa wewe....

Umefundishwa ubaguzi ?!!!

Yaani mtu anakuwa mpaka raia no.1 halafu unamuongelea kama vile uko ndani ya zile saloon zenu za kike mnazofundishana kupakana "mafuta"...bure kabisa we dada

Huna habari!
Tayari ardhi yote iliyoko kati ya barabara ya KIlwa Road na Bahari ya Hindi imeanguka mikononi mwa Waarabu wa Dubai. Ununuzi na malipo vinaendelea kwa kasi!
Wauzaji ni Rais Samia, Makame Mbarawa, Johari Hamza, Katibu Mkuu Kiongozi, Tulia Ackson, na timu yao ya madalali wa kimataifa.
Bado unaona shaka kuhusu nikichokisema?
Fikiri upya.
 
Japo ni ukweli mchungu ila number 4 na 5 ni very likely.

Labda mambo yaharibike sana(kwa sauti ya kutoka kwenye mananasi huko msoga)
Number 4 sawa Ila 5 hafai Bora hata mwendazake kuliko katelephone.
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
Huyu mjinga propaganda zimemwingia mpaka hajitambui na hatumii tena akili zake, Tanzania inataka viongozi wapya kabisa na sio hawa uliotaja wengine umri umeshawatupa mkono, tunataka raisi aliyezaliwa miaka ya 90 yaani kwa muda huo anagombea awe hajazidi 35. Hao wazee wameshaumizwa na ukoloni na ukoloni mamboleo
 
Maliza matusi yote....

Hivi CCM impitishe makamu wa Rais mwepesi kichwani ?!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Ain't serious.....
nadhani sasahivi wamejifunza kitu kwenye kupitisha mgombea urais na makamu wake. magufuli aliwaburuza sana hata wao na next time rais atakayependekezwa nao atakuwa tofauti kabisa na magufuli. kwa upande wa wapinzani, nawashauri watafute kichwa kinachokubalika hii ccm ni rahisi saana kuiondoa tukiungana na tukiamia kwa pamoja. hata wakiiba kura wataishia tu kuua watu ila watang'oka.
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwanini nchi inawahitaji zaidi
Mh! Haya
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwanini nchi inawahitaji zaidi
Hapa angalao anaweza kuwepo mmoja japo wote hapo juu kwenye UADILIFU ni shida bado!
Kwangu namba 2 ni muadilifu tofauti na hao wengine.
Ila kuwataja akina makamba, madeu ni aibu na dharau kwa Taifa letu,
 
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:

1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa

Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwanini nchi inawahitaji zaidi
nchi hii wapumbavu kumbe bado.mko wengi?
Kinana mbona ni mchafu sana, ni fisadi na ana kashfa nyingi, sio mzalendo!
Majaliwa ana tofauti gani na samia? au labda kwakua yeye mwanaume?
Husein Mwinyi nae jizi tu kama baba yake na dada yake, tumechoka viongozi wa type zake!
Kabudi hana sifa za uongozi,

hapo labda bashiru
 
2030 ni Mwinyi jr

Huyu hapana kwa sababu mbili.

Kwanza ameuza visiwa vya Zanzibar kwa Waarabu, na hivyo kuimega Jamhuri ya

Tanzania, jambo ambalo ni uhaini wa kiuchumi.

Pili, hatutaki utawala wa kifalme Tanzania. Angalia tatizo lilivyo:

1. Ali HASSAN MWINYI alikuwa Rais wa Zanzibar kisha Rais wa Tanzania.

2. Samia Suluhu HASSAN MWINYI ni Rais wa Tanzania.

3. Hussein HASSAN MWINYI ni Rais wa Zanzibar.

4. Yaani, Hussein HASSAN MWINYI na Samia Suluhu HASSAN MWINYI ni watoto wa baba mmoja, lakini kutokana na mama tofauti.

5. Kikwete alikuwa Rais wa Tanzania na ni mkwewe Ali HASSAN MWINYI, maana Kikwete amemzalia Mzee Ruksa wajukuu wawili. Mama yao ni Samia Suluhu HASSAN MWINYI.

6. Hivyo, ukoo wa HASSAN MWINYI na wakweze ndio unaitawala Tanzania kwa miongo kadhaa sasa, yaani tangu enzi za Mzee Ruksa, 1985 hadi 1995.

7.
Kuna lolote chanya kutoka kwenye ungozi wa ukoo huu wa HASSAN MWINYI?

8. Hapana! Wote ni madalali wa kuuza nchi yetu vipande vipande. Imetisha

1693315857655.png
 
Hata tukienda kwa zamu viongozi waadilifu wanaweza kupatikana tu. ni zamu yetu na lazima na makamo wa rais awe na akili, sio mtu anachagua alimradi siku akija kufa anatuachia msala. chalamila alisema jambo la maana sana kipindi kile.

Zamu kwani Ikulu ni msalani ndugu mtanzania?
Zamu kwani Ikulu ni chumba cha daktari ?
Zamu kwani Ikulu ni kitanda cha kahaba?
Zamu? Nini maana ya zamu?
Zamu zimesaidia nini mpaka sasa?



Hii dhana ya zamu imetuleta hapa tulipo. We feel entitled it’s undeniably pathetic!

Kwamba kila mmoja anajiona na haki na zamu ya kuingia Ikulu and then what? Kutimiza zamu ama kuwavusha watanzania regardless ni zamu ya nani?!

Haya tunaomba ratiba ya zamu za Hindu, Buddha Non Believers ni lini kwa mujibu wa kalenda zenu?! Au ndio wamechagulishwa pande kwa lazima?! Kimya kimya?!



Mamlaka ya Urais yanatakiwa kuongozwa na watu wenye nia ya dhati kabisa ya kuwapeleka watanzania katika nchi ya ahadi.

Watu wenye maono na malengo ya kweli juu ya Tanzania ya miaka 100 ijayo na sio miaka 10 eti zamu!







Hebu tushirikiane katika ujenzi wa nchi tusonge mbele. Ubaguzi ni dhambi!







Ikulu - Nyumba kuu/ Nyumba takatifu /Nyumba ya Mkuu




Ikulu ni mahali patakatifu na sio lango la wanyang’anyi. - Mwalimu Nyerere
 
Back
Top Bottom