Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Huu uzi huyu mama yetu asiuone, atanyong'onyea na kushindwa kuongoza kwa utulivu
Tatizo tunamchukulia Poa sana Madam President Samia!
Show yake ........tusubiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uzi huyu mama yetu asiuone, atanyong'onyea na kushindwa kuongoza kwa utulivu
Anamaanisha kuwa huyu Mama hatafika 2025
kwa hiyo na sisi tunaelekea kufanana na Marekani au....?Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
unaonekana upo vizuri up stairsTatizo tunamchukulia Poa sana Madam President Samia!
Show yake ........tusubiri
Sasa kwanini alipaswa kuja kuwa Rais ili afe? Na amekufa ili nchi iwe salama au ndio nchi inaenda mikononi mwa watu wachacheKifo cha Magufuri sio Corona wala Tatizo la moyo ila magonjwa haya mawili yametumika kama kivuli,sababu kubwa ni jinsi alivyokuwa anaongoza nchi.Tatizo lenu tukitabiri mnatuona wapuuzi na Mods wanafuta nyuzi zetu.Hili swala nililiota 2016 na hata kabla ya kuwa Rais niliota kwamba yeye ndio Rais,kwakifupi nilioneshwa maisha ya mwisho ya Magufuri kuja kuwa Rais na kifo chake
Inapangwa hivyo kwa faida ya nani?Sio miujiza hii kitu ilipangwa iwe hivi
masha sioNdio hivyo wanasema Ni imma, Imma mwenyewe ametoka huko nga'mbo
navyoona ni kwamba mtu anagombea urais baada ya kuteuliwa na baadhi ya viongozi wa chamaHv wadau kama anachosema mtoa mada ni kweli hv ni nan katika nchi hii ni engineer wa kupanga hii mipango wakati Rais ndo top. Kuanzia mkurugenzi wa usalama wa taifa na vyombo vingine vya usalama wote wanaripoti kwake. Au kuna mtu mwngine nje ya mfumo Mwenye uwezo wa kuwaendesha hawa watendaj wengine bila rais kufaham?
Heee! Ulijuaje haya yaliyotokea leo kwenye nchi yetu?Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
What does this suppose to mean?!
Stay tuned mkuu, mambo yanakaribia kuanza..
Mkuu kuna operation imeshapewa next stage.. 'execute'.. itakuwa mixed feelings kwa wengi.
Tangu nimejiunga jf hakuna uzi ulionishangaza na kuniacha na mshangao kama uzi huu.
[emoji15][emoji15][emoji15]Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
Ninaamini ataweza kupambana na kusimama.. labda yaje mapenzi ya Mungu.Tatizo tunamchukulia Poa sana Madam President Samia!
Show yake ........tusubiri