Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Home of great thinkers.pleas wait and see.Hakuna mantiki ya kuleta uzi bila kuelezea. Mambo gani yanakaribia kuanza
Hahaha tumesubiri na imetokea baada ya miezi kama 10 hivi,hakika jamaa kuna kitu alikuwa anakijua.King Kong III na Wangari Maathai mmepitia hapa?
Una maana haya madharau dhidi ya covid19 yata backfire na kumpiga kulekule alikojificha?😎
Au unakusudia kusema nini?
Napita tu jameni....
Hayaa sasaTumia akili,
Yule mama wa mipasho akishika nchi Chadema kuchukua nchi itakuwa sawa na keserereka kwenye barafu za mlima K'Njaro.
Tumesubscribe kumsubiria huyu jamaa maana si mchezo mchezo.Mweh mweh...we kaka sijui baba hebu njoo na ID nyingine utupe muendelezo..maana last seen yako ni one day after msiba🙄
Kifupi..
Ni chombo tendaji kinacho jumuisha watu kadhaa ambao hufanya kzi kwa usiri wa hali ya juu, watu ambao wanaweza kuamua muelekeo wa nchi, nani ashike madaraka na kwa wakati gani. Utendaji wa hiko chombo unaweza ukajulikana kwa raisi ama usijulikane.
Utendaji wake unaweza kumhusisha raisi mwenyewe bila yeye kujua au huku akijua. Utendaji unaweza kuwa na mikono na nguvu kutoka nje kwenye madhehebu makuu ya kidunia unayoyajua iwe wazee wa novena/vatican au mpaka freemasons.
Ukienda kinyume na plani zao ndio hayo mambo ya execute yanaweza kujitokeza.
swali la msingi je hicho chombo tunacho hapa nchini? Kama kipo nani wahusika? Je wana plan nini juu ya hii nchi? Je raisi aliyepita hakuwafurahisha kwa jambo lipi mpka wam executke? Wanaplan kumweka nani? Na ili aje kutimiza yapi ambayo hayakutimizwa na aliyepita?
Kifupi..
Ni chombo tendaji kinacho jumuisha watu kadhaa ambao hufanya kzi kwa usiri wa hali ya juu, watu ambao wanaweza kuamua muelekeo wa nchi, nani ashike madaraka na kwa wakati gani. Utendaji wa hiko chombo unaweza ukajulikana kwa raisi ama usijulikane.
Utendaji wake unaweza kumhusisha raisi mwenyewe bila yeye kujua au huku akijua. Utendaji unaweza kuwa na mikono na nguvu kutoka nje kwenye madhehebu makuu ya kidunia unayoyajua iwe wazee wa novena/vatican au mpaka freemasons.
Ukienda kinyume na plani zao ndio hayo mambo ya execute yanaweza kujitokeza.
swali la msingi je hicho chombo tunacho hapa nchini? Kama kipo nani wahusika? Je wana plan nini juu ya hii nchi? Je raisi aliyepita hakuwafurahisha kwa jambo lipi mpka wam execute? Wanaplan kumweka nani? Na ili aje kutimiza yapi ambayo hayakutimizwa na aliyepita?
Kuna simulizi ya mdau 'The bold' inaitwa vipepeo weusi inareflect kabisa haya yanayoendelea na hata mwenyewe Habibu b Anga alisema riwaya ile imezungmzia yanayoendea nq yaliyopo Kwenye siasa na intelejinsia ya Tz ..Hiyo deep state kwa jinsi ulivyoielezea sawa sawa kabisa na chombo kinachoitwa "The Board" katika riwaya hiyo .Kifupi..
Ni chombo tendaji kinacho jumuisha watu kadhaa ambao hufanya kzi kwa usiri wa hali ya juu, watu ambao wanaweza kuamua muelekeo wa nchi, nani ashike madaraka na kwa wakati gani. Utendaji wa hiko chombo unaweza ukajulikana kwa raisi ama usijulikane.
Utendaji wake unaweza kumhusisha raisi mwenyewe bila yeye kujua au huku akijua. Utendaji unaweza kuwa na mikono na nguvu kutoka nje kwenye madhehebu makuu ya kidunia unayoyajua iwe wazee wa novena/vatican au mpaka freemasons.
Ukienda kinyume na plani zao ndio hayo mambo ya execute yanaweza kujitokeza.
swali la msingi je hicho chombo tunacho hapa nchini? Kama kipo nani wahusika? Je wana plan nini juu ya hii nchi? Je raisi aliyepita hakuwafurahisha kwa jambo lipi mpka wam execute? Wanaplan kumweka nani? Na ili aje kutimiza yapi ambayo hayakutimizwa na aliyepita?
Wacha weeeWakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
Mlijipanga muda mrefu aisee!Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
Hatimaye nimeona mstari muhimu sana....Mkuu kuna operation imeshapewa next stage.. 'execute'.. itakuwa mixed feelings kwa wengi.
Imeendeshwa na nani hii operation, open code.Mkuu kuna operation imeshapewa next stage.. 'execute'.. itakuwa mixed feelings kwa wengi.
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44] Nani?Mama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.
Itakuwa alitumia ule utabiri wa 2006 wa shehe YahyaKwa hii Tanzania?
Sikubaliani nawe wala sikataliani nawe.
Kwakweli riwaya ile ukiisoma ni kama inajaribu kutuma ujumbe fulani ambao kwa akili ya harakaharaka unaweza kusema aj hii ni riwaya tu kumbe ndani yake kuna ukweliKuna simulizi ya mdau 'The bold' inaitwa vipepeo weusi inareflect kabisa haya yanayoendelea na hata mwenyewe Habibu b Anga alisema riwaya ile imezungmzia yanayoendea nq yaliyopo Kwenye siasa na intelejinsia ya Tz ..Hiyo deep state kwa jinsi ulivyoielezea sawa sawa kabisa na chombo kinachoitwa "The Board" katika riwaya hiyo .