Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku


Kuna simulizi ya mdau 'The bold' inaitwa vipepeo weusi inareflect kabisa haya yanayoendelea na hata mwenyewe Habibu b Anga alisema riwaya ile imezungmzia yanayoendea nq yaliyopo Kwenye siasa na intelejinsia ya Tz ..Hiyo deep state kwa jinsi ulivyoielezea sawa sawa kabisa na chombo kinachoitwa "The Board" katika riwaya hiyo .
 
Wacha weee
 
Mlijipanga muda mrefu aisee!
 
Kwakweli riwaya ile ukiisoma ni kama inajaribu kutuma ujumbe fulani ambao kwa akili ya harakaharaka unaweza kusema aj hii ni riwaya tu kumbe ndani yake kuna ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…