Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Code coded uncoded
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii kenge huwa inajifanya kutabiri vifo vya watu

Kumbe nyuma ya pazia iko kwenye mipango ya kufanya mauaji

Siku yako itafika.
 
Hizi sijazipata mkuu, wanaanzisha maeneo gani hapa nchini? Kaazi kweli kweli.
Tetesi zipo kitambo mbona, ila currently nadhani kambi itakuwa sambamba na ujenzi wa bandari ya Bagamoyo.

Inasemekana kuwa kwenye bandari hapo hapo ndo itakuwapo base yao (Navy) hivyo vitu kama ku-repair meli zao za kivita nk vitafanyika hapo.

Pia tetesi zinasema kuna gesi wanailenga (probably maeneo hayo kuna gesi au ile ya kusini).

Kiufupi kuna mambo mengi kwenye hiyo bandari ambayo watu hawayasemi.
 
Miaka ile juma nature alishawahi kuimba
"Tembea mwendo wa pesa nchi ishauzwa hii" nyimbo inaitwa "ya leo kali"........


Naona yanatimia sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…