Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Nahisi ulifahamu mpango wa kumdhuru Magufuli na Samia achukue nchi. Hongera umefanikiwa.
Usisahau kutujuza ikiwa Samia atagombea na kusbinda au hatapaewa nafasi ya kugombea.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Rejea "Maono ya Karatasi nyeupe" Uzi wa Tumaini El.

Nawashukuru wazazi kunipeleka shule.
 
Khaa kwamba we mtabiri? Ushindwe
 
Uzi wa HUYU jamaaa wa March 28 mwaka jana unasema "operation Imesitishwa the State wamesema apewe Muda"

Lakini ishu ya FDR inachanganya!!
Naona kama vile fdr itatokea kama huyu aliyepo hatakamilisha ile ya kitabu maana alipewa muda kwenye ile ya operesheni kusitishwa.

Mstaafu naye naona bado anadunda.🤣
 
Naona kama vile fdr itatokea kama huyu aliyepo hatakamilisha ile ya kitabu maana alipewa muda kwenye ile ya operesheni kusitishwa.

Mstaafu naye naona bado anadunda.🤣
Lakini kuna shada la maua kwenye avarter ya mleta mada tena kaweka 12 September mwaka huu!sijajua kama maua yale ni ya Nini!?ya kwenye jeneza au harusi!!!

Ishu ya mstaafu kudunda inaweza ikawa walking Dead!si unajua Hao jamaa Wana nyakati zao za kukamilisha mission!Huwa hawachelewi wala kuwahi!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
 
Duh
 
May litakuja kutokea tena USA tena na sio hapa kwetu kama watu wanavyowaza.
.
.
.
Na kama ni hapa nadhani Ntibazokiza atajiuzulu kwa kashfa kipindi akiwa WF then atachaguliwa mwingine ambaye bahati itamdondokea kukawa usiku kukawa mchana akawa Rais
 
Note: Samia alikuwa mgombea mwenza wa magufuli 2015. Magufuli alipofariki, Samia akamrithi. Hivyo Samia amegombea umakamu 2015, ila hajawahi kugombea urais.
Good luck (ktk betting yako).
 
Aisee!
 
Hii ilikuwa 24 march 2021
 
Ahaaaj
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…