Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Haka kajamaa Tumia akili kangese sana kalivyoona Jiwe amezikwa kweli kakaja na uzi humu kuwa operation ya kumuondoa aliyepo imesitishwa. Ila hayati jiwe alikufa kifara sana sijui alikuwa kapigwa upofu gani au zile helicopter & mibunduki kwenye ziara zake za kuzindua vyoo vya stand za mabus ndizo zilimfanya akawa anahisi yuko salama
 
Haka kajamaa Tumia akili kangese sana kalivyoona Jiwe amezikwa kweli kakaja na uzi humu kuwa operation ya kumuondoa aliyepo imesitishwa. Ila hayati jiwe alikufa kifara sana sijui alikuwa kapigwa upofu gani au zile helicopter & mibunduki kwenye ziara zake za kuzindua vyoo vya stand za mabus ndizo zilimfanya akawa anahisi yuko salama
Lakini kalikuja na nyuzi tatu baada ya huo wa uperation kusitishwa!ambazo ni;-

1.franklin D Roosevelt na utawala wa miaka 12 ndani ya Tanzania

2.mstaafu alikwisha kustaafu lakini hataki kustaafu kustaafishwa!

3.kitabu kilichoandikwa kisha kikaachwa kitamaliziwa kwa hesabu hii!!

Sasa hatujui kulikoni hadi sasa!!
 
Lakini kalikuja na nyuzi tatu baada ya huo wa uperation kusitishwa!ambazo ni;-

1.franklin D Roosevelt na utawala wa miaka 12 ndani ya Tanzania

2.mstaafu alikwisha kustaafu lakini hataki kustaafu kustaafishwa!

3.kitabu kilichoandikwa kisha kikaachwa kitamaliziwa kwa hesabu hii!!

Sasa hatujui kulikoni hadi sasa!!
Sasa hivi GENTAMYCINE anasema mama anarandaranda Duniani kusaka tiba ya ugonjwa usiojulikana
 
Back
Top Bottom