Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Nielekeze maana ya deep state mkuu
Kifupi..

Ni chombo tendaji kinacho jumuisha watu kadhaa ambao hufanya kzi kwa usiri wa hali ya juu, watu ambao wanaweza kuamua muelekeo wa nchi, nani ashike madaraka na kwa wakati gani. Utendaji wa hiko chombo unaweza ukajulikana kwa raisi ama usijulikane.

Utendaji wake unaweza kumhusisha raisi mwenyewe bila yeye kujua au huku akijua. Utendaji unaweza kuwa na mikono na nguvu kutoka nje kwenye madhehebu makuu ya kidunia unayoyajua iwe wazee wa novena/vatican au mpaka freemasons.

Ukienda kinyume na plani zao ndio hayo mambo ya execute yanaweza kujitokeza.

swali la msingi je hicho chombo tunacho hapa nchini? Kama kipo nani wahusika? Je wana plan nini juu ya hii nchi? Je raisi aliyepita hakuwafurahisha kwa jambo lipi mpka wam execute? Wanaplan kumweka nani? Na ili aje kutimiza yapi ambayo hayakutimizwa na aliyepita?
 
Hv wadau kama anachosema mtoa mada ni kweli hv ni nan katika nchi hii ni engineer wa kupanga hii mipango wakati Rais ndo top. Kuanzia mkurugenzi wa usalama wa taifa na vyombo vingine vya usalama wote wanaripoti kwake. Au kuna mtu mwngine nje ya mfumo Mwenye uwezo wa kuwaendesha hawa watendaj wengine bila rais kufaham?

Kuna rais na kuna urais. Rais ni mtu na urais ni kiti/nafasi na yeyote anaweza kukikalia na kukiacha.Tafakari
 
Wakuu,

Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.

August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.

Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.

Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.

Endelea kusubiri!
We jamaa acha kutuweka roho juu.Wewe ni nabii? Mbona Gwajima hajaona?
 
Wakuu,

Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.

August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.

Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.

Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.

Endelea kusubiri!
Hii inafikirisha sana dah.
 
Duh! Kwamba makamu wa rais atakayeteuliwa hivi karibuni ndio rais atakayeingia kwa mfumo wa 37(5) kabla ya 2025! Mama waachie urais wao. Mwakani jiuzulu waambie una matatizo ya kiafya unaenda kulea wajukuu. Kama historia utakuwa umeandika.
Wanasiasa hawawezi kuacha kirahisi namna hiyo.. ofisi tamu sana ile.
 
Wakuu,

Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.

August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.

Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.

Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.

Endelea kusubiri!
Walianza kwa kuikata nguzo kuu ya mh wa 17/03/2021, yaani waliikata ile nguzo yake mnamo 24/07?

Tarehe 25/07 huwa namkumbuka mla kiapo mmoja akisema, nilikuwa nasogoa na huyu wa 24/07 jana (23/07) jioni, baadaye naambiwa ametutoka, sijui alikwenda kukamilisha execution.
 
Back
Top Bottom