adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Kabisa , yaani raia wengi mitaani wamechoshwa kabisa na Imani kwake imepungua tofauti na alivyoanza ila yeye anaona shwari tu.Kwa yanayoendelea naanza kuamini, mtaani mama amepoteza kuungwa mkono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa , yaani raia wengi mitaani wamechoshwa kabisa na Imani kwake imepungua tofauti na alivyoanza ila yeye anaona shwari tu.Kwa yanayoendelea naanza kuamini, mtaani mama amepoteza kuungwa mkono
Ni mtu ambaye yupo jikoni sio karama za unajimu. But ninavyoona game is can change.Miongoni mwa mamajusi uliobaki hai duniani bw tumia akili anakarama ya unajimu haswaaaa.
Hapana,Ni mtu ambaye yupo jikoni sio karama za unajimu. But ninavyoona game is can change.
Hapo mwishoni hapo umeandika nini, tunaomba tafsiri kwa faida ya wengiNi mtu ambaye yupo jikoni sio karama za unajimu. But ninavyoona game is can change.
Coincidence17 March 2017 - Makonda anavamia Clouds TV , tukio linalosababisha Nape aliyekuwa waziri wa Habari kufutwa kazi na Magufuli
17 March 2021 - Kifo Cha Magufuli kinatangazwa
????????
Mkuu nimecheka sana.Huyu jamaa ni director wa ile movie, kimbembe aseme waliosoma thread watapukutika hapo ndio tutajua hatujui😂😂😂
Mserereko umefikia wapi sahivi kuelekea Ikulu 😀😀😀😀Tumia akili,
Yule mama wa mipasho akishika nchi Chadema kuchukua nchi itakuwa sawa na keserereka kwenye barafu za mlima K'Njaro.
Unabii huu nasubiri sasa hivi.Mama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.
Amesema yatatokea soon!!tusubiri!!Unabii huu nasubiri sasa hivi.
Kwamba mama atateua mtu kushika uVP, then Mama nae atangulie/atangulizwe mbele za haki au ajiuzuru (kwa kulazimishwa nyuma ya pazia) ili huyo VP wa mfukoni atwae Nchi?
Hii Thread ni ya May 2020. Wagagagigikoko! 🙂
Mkuu mtabiri wa kweli hutabiri mwisho wa mtu.Hapana,
Huyu jamaa si mara ya kwanza kutabiri vifo kwa viongozi,
Binafsi ninachoamini hayati amekufa natural death hakuuwawa.
Hawa watu wapo,nina mama yangu mdogo akiota fulani kafa mjiandae hajawahi kukosea
HaTumia akili,
Yule mama wa mipasho akishika nchi Chadema kuchukua nchi itakuwa sawa na keserereka kwenye barafu za mlima K'Njaro.
DuhMama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.